Pigo kwa Israel: Bunge lapiga kura kuruhusu Wapalestina kuwa raia wa Israel

Pigo kwa Israel: Bunge lapiga kura kuruhusu Wapalestina kuwa raia wa Israel

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Kulikuwa na sheria ambayo ilikuwa inawawekea vikwazo wapalestina wanaoishi israel kuleta wake au waume zao ambao wapo upande wa israel kwa sababu za kiusalama hapo zamani.

Kura zimepigwa leo juu ya kuendeleza hii sheria na cha ajabu kina Netanyahu ambao walikuwa wana piga kura kwa vipindi tofauti kuiwekea msisitizo hii sheria leo hii wamepiga kura kuitoa hio sheria.

Naona saizi Israel kabla hawaja shambulia gaza wawe makini sana maana kikulacho tayari ki nguoni mwao. Tulizoea mashambulizi ya roketi kutoka Gaza ila kwa sasa kwa hii tiketi mpalestina akichokozwa ana shughulika na wa israel humo humo ndani ya israel 💥💥

Kazi kweli kweli, Haya sasa wapalestina haooo 😎😎 na venye wanavyozaliana kwa speed acha tu.

Siasa ni kama mchezo tu kwa wanasiasa, wataopitia huu mziki ni wananchi wa kawaida, lazima kiumane tu huko mitaani.
 
Wewe una furahia wenzako wakipata matatizo? Hii ni mentality ya aina gani? Hizi ni tabia za kichawi kabisa, watu wa aina yako mnakua masikini mnaonuka midomo na vikwapa mnaokaa vijiweni kuomba omba hela.
Kuna vitu vinasikitisha ila ukianza kuanglaia chanzo unaona ni upuuzi unafanyika inabidi ucheke tu kwa ujinga wa wanaofanya watu wachache huku ukidononeka kwa maafa yatayowakuta wengi.

Netanyahu kakasiriks kutolewa uwaziri ndio kageuzia kisasi kiwe kwa kufanya maisha ya wa israel yawe magumu zaidi, haiingii akilini miaka yote nyuma yeye na chama chake walikuwa wanapiga kura za ndio hio sheria ya kuwalinda wa israel iendelee kutumika ila saizi katoswa anaanza kupiga kura ya hapana akijua kabisa ni hatari wapalestina kuzidi kujaa israel maana hata hasira za mashambulizi yaliyopita bado hazijapoa kwa wapalestina, This is messed up.
 
Kuna vitu vinasikitisha ila ukianza kuanglaia chanzo unaona ni upuuzi unafanyika inabidi ucheke tu kwa ujinga wa wanaofanya watu wachache huku ukidononeka kwa maafa yatayowakuta wengi..
Aliyemtoa Netanyahu alitumia backup nyingi ikiwemo cooliation ya Waarabu ndiyo akaweza kumuondoa Netanyahu, do Netanyahubnaye ametumia fimbo ile ile kumchapia mwenzake

Fundisho:
Wanakumbushans kwamba linapokuja swala la kushindana wao kwa wao ni vizori wakatumia every ligical means badala ya kutumia every possible means.
 

uchaguzi mpya unaweza kufanyika
 

uchaguzi mpya unaweza kufanyika
Labda huko mbele ila saizi wapelestina wanarusiwa kuwa raisa wa israel, na wapo wengi mnooo, Israel inaenda kumezwa na wapalestina
 
Mwenye macho haambiwi tazama! Mnashangaa ya Israel ya hapa kwenu hamyajui? Mbona wakati wake Magu wateuliwa wake walimuunga mkono baba yao kuhusu Korona? Leo hayupo walewale utawala umebadirika wamehamia upande wa pili 100%. Nimejifunza kutowaamini wanasiasa, always wanajali maslahi yao kwanza. Bob aliimba kwenye Revolution kwamba never make a politician! 'cause you 'll have favour!

Kingine intermarriage ni mbinu ya kimkakati ya ushindi katika siasa au maisha kwa ujumla. Leo Mimi nimeoa uchagani, nikikutana na Mangiz wananiona mtu wa kwao kabsaa sababu nimeoa kwao. Ndivyo Tanzania ina amani na utulivu sababu tumeoleana. Hata kwenye Bible Kuna sehemu MUNGU aliwaonya Wana wa Israel juu ya ndoa na wafilisti sababu totoz za kifilisti zilikuwa bomba mbaya. Wana wa Israel wakaanguka huko.

Hapa Sasa wapalestina Kama walikuwa na ajenda hiyo peleka binti zetu waolewe na Hawa wayahudi in along run siku watakuja kuta sisi sio adui zao Bali ni ndugu zao! Sasa wayahudi wamenasa kwenye huo mtego!

Huko Brazil tunaambiwa 80 percent ya raia ni descendant wa Africa, wale waafrika kule Brazil baada ya utumwa kuondolewa waliamua ili kutobaguiwa Tena, wachanganye damu na wazungu ili kutobaguliwa. in a long run Sasa mnaona mulatoes au halfcast aka point 5 wakutosha wamejaa huko na maisha yanaenda. Hiyo ni silaha tosha imewafavour wapalestina Sasa Israel wasiposhtuka inaenda kuwa mixed up hence amani itakwepo hapo!
 
Kuna vitu vinasikitisha ila ukianza kuanglaia chanzo unaona ni upuuzi unafanyika inabidi ucheke tu kwa ujinga wa wanaofanya watu wachache huku ukidononeka kwa maafa yatayowakuta wengi.

Netanyahu kakasiriks kutolewa uwaziri ndio kageuzia kisasi kiwe kwa kufanya maisha ya wa israel yawe magumu zaidi, haiingii akilini miaka yote nyuma yeye na chama chake walikuwa wanapiga kura za ndio hio sheria ya kuwalinda wa israel iendelee kutumika ila saizi katoswa anaanza kupiga kura ya hapana akijua kabisa ni hatari wapalestina kuzidi kujaa israel maana hata hasira za mashambulizi yaliyopita bado hazijapoa kwa wapalestina, This is messed up.
Lakini sheria zaweza badilika. Pia hiyo sheria ilikuwa ya kibaguzi.
 
Tofauti na miaka mingine nyuma Mwaka huu wapalestina wa West bank, Gaza na wa ndani ya Israel wameungana na kufanya maandamano dhidi ya ukatili wa Israel. Israel anachotaka kufanya ni kuwapa wapalestina waliopo Israel unafuu fulani wa maisha ili wakose sababu ya kuwaunga mkono Hamas na Fatah.

Pili, Israel wanajisafisha sababu mwaka huu watu wengi wameona na kujua Isreael inavyowakandamiza wapalestina.
 
Wapalestinia watazaana na Waisraeli na Dini flani mbovu itaisha kabisa,Nisiletewe Makasiriko sijataja Dini yoyote
 
Waisrael wa ikwiriri watanuna hiyo sheria ikipitishwa wakati mazayuni wenyewe wa tel Aviv wameridhia...
 
Kwani hiyo Ina athari gani? Kwa sababu hayo yote yapo tangia zamani
Ultra Zionists kama kina Netanyahu walipiga hesabu kuwa, hawa Waarabu wanazaliana kwa kasi kuliko Wayahudi. So, wakiwa na haki ndani ya Israeli, maana yake baada ya muda fulani, wao watakuwa Minority na wapalestine ni majority. Inakadiriwa Waarabu fertility rate yao ni 3.3 huku wayahudi iko 3. Hivyo waarabu wanaongezeka kwa kasi zaidi ya wayahudi.
Screenshot_20210709-164519.jpg
 
Israel imejichanganya, wawaulize waingereza,saivi kuna mpaka wabunge wa arabu, hawa jamaa wakipata fursa hawaichezei, kwanza watazaliana haraka sana, halafu wanaweka utawala wao
 
Labda huko mbele ila saizi wapelestina wanarusiwa kuwa raisa wa israel, na wapo wengi mnooo, Israel inaenda kumezwa na wapalestina
Hizi ni siasa tu mzee bado haijapitishwa halafu kuna Mahakama. Netanyahu mwenyewe anajua adhari za kuwakubalia wapalestina kuwa raia wa Israel.
 
Imagine Miili 12 za Wakenya waliokuwa wafanyakazi Saudi zimeletwa na Ndege,Hawa Waarabu wanatesa Sana Waafrika,Ni wanyama kabisa No wonder Mungu kaleta Corona
 
Back
Top Bottom