Pigo la mwisho kwa Thadei Ole Mushi: Katoliki wakataa kumzika kwa kuwa aliwapinga TEC kuhusu DPW

Duh! Mkuu; Hebu fanya ka-utafiti kako binafsi kasikoegemea kuvuma kwa Taarifa za Mitandaoni halafu urudi tena hapa.
 
Vipi kuhusu na wale wakatoliki waliopinga hadharani waraka wa Papa kuhusu kuwabariki mabwabwa. Nao watatengwa? Wakifa watagomewa kuzikwa kikatoliki?
Naongezea: Je, na maaskofu wa Zambia na Malawi nao itakuwaje bila kusahau na yule Padre aliyefukuzwa?
Nionavyo mm ni kwamba Hoja ya kutozikwa kwa huyo ndg. SIO narudia tena SIO kupinga waraka wa TEC. Arejee mambo yake Katika Jumuiya Ndogondogo(JNNK). Huko ndo lilipo chimbuko la kunyimwa huduma ya kuzikwa na kanisa.
 
Kwa hiyo ina mana maaskofu wa RC wanavyompinga Papa wao kuhusu kubariki ndoa za jinsia moja nao watatengwa sababu uamazi wa Papa ndio uamuzi wa kanisa? pia mbona katibu wa baraza la maaskofu yeye alihudhuria ile hafla juu ya bandari kule ikulu ina maana nae watamfungia milango ya kanisa itakapofika siku yake?
 
WAmejaa unafiki hao watu
 
Hapa ndio dini yangu huwa inanichosha kabisa!

Hata wakatae kumsalia, what difference does it make to a dead man?🧟‍♂️ AbsoFREAKINGlutely NONE!!!!
Kama hakuna any difference Kwa nini ndugu wa huyo dead man walienda kuomba marehemu wao asaliwe wasingekwenda kuomba hiyo misa kabisa.
Umeleta hoja ya hovyo sana.
Huyo marehemu namkumbuka sana alikuwa ana hoja za hovyo hovyo sana.
Kumbe kanisa halikusalia mwili wake mfu.
Safi sana Kwa kanisa katoliki halina unafki.
Natumaini kwa sasa kiimani jamaa litakuwa motoni linaungua.
Wanasiasa acheni unafki na kanisa katoliki liheshimiwe milele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…