Hii ni tafsiri kuwa kanisa Katoliki haliwezi kubadilisha taratibu kisa una fedha nyingi au una mamlaka, kanisa Katoliki sio chawa wa mtu. Ndio maana watu wanasoma vizuri waelewe Maandiko Matakatifu, Sheria za kanisa, Falsafa na Historia ya kanisa.Yeye na Marehemu Bilionea Mrema wa Ngurdoto nani ana hela nyingi na nani aliechangia shughuli nyingi za kanisa hasa kwaya? Bilionea Mrema alizikwa bila Padri.
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Sasa wewe nani kalazimisha kanisa lifuate matakwa yangu? Mimi nimesifia tu upande wa piliKama huwezi ku comply na tatatibu za sehemu hamia kule kwingine unapoona unaweza kufuata taratibu zao, usilazimishe Kanisa Katoliki lifuate matakwa yako.
Ndio ukwwli huo.Katika uislamu sio lazima aje Sheikh,Imam,Maalimu.Hata wanao,watoto wa ndugu,wanafamilia,wasio waislamu,majirani,utazikwa tu.Kitakachokusaidia huko uwendako ni matendo yako mema,kuacha aliyokataza Mungu,na kufanya aliyoamrisha.Hii nihara dini hii utumwa mi mkristo ila nabadili dini ,Hii dini biashara
kwa hiyo wewe unasema je labla maana pumzi ikishaachana na mwili, huo mwil hata umtupie mbwa km alikuwa mtu wa mungu haitabadili chochote, kwani mwil ni km kasha tuu halina uhai tena, yaan hata ukizikwa na papa haibadili chochote,YOU ARE RIGHT KAMA HUAMINI UWEPO WA mUNGU.
Hili kanisa tuwe nalo makini sanaNa wao ndio walioratibu uandishi wa hiyo hiyo bible unayoitumia. Nipo tayari kukuwekea jinsi Kanisa (hapa namaanisha RC) walivyoratibu uandishi wa bible, na wewe ujiandae kionyesha hiyo bible ya vitabu 66 uliitoa wapi kama sio subset ya bible ya RC
Nawashaurii waumini wao waokoke ndipo watakuwa huruu.PIGO LA MWISHO KWA THADEI OLE MUSHI.
Kanisa Katoliki lagoma kuendesha Ibada ya misa ya mazishi ya Thadei Ole Mushi kwa sababu ALIPINGA WARAKA WA BARAZA LA MAASKOFU WA KANISA KATOLIKI TANZANIA (TEC) Uliopinga uuzwaji wa Bandari, uliotolewa tarehe 18 August 2023 na TEC.
Thadei Ole Mushi alipinga hadharani waraka wa TEC, kupitia andiko lake la tarehe 18 August 2023 lenye kichwa cha Habari "WARAKA WA MAASKOFU SIO ITHIBATI ZA MAONI YA WATANZANIA"
Juzi ndugu na msemaji wa familia Bwana Victor Tesha, alitangazia dunia kwamba ibada ya mazishi ya kumuaga ndugu yetu Thadei Ole Mushi kwa Dar es Salaam ingefanyika katika kanisa la St. Peter - Oysterbay.
Lakini watu wengi ikiwemo mimi tulipofika kanisa la St. Peter's Oysterbay, tulikuta milango ya kanisa imefunga na hakuna dalili ya kuwepo kwa misa yoyote.
Uamuzi wa haraka kutaarifu watu waelekee Muhimbili katika kanisa la Pamoja (siyo Katoliki) ukafanyika na pakaendeshwa ibada na mapadre ambao ni marafiki wa karibu wa Thadei Ole Mushi na siyo Paroko anayehusika katika parokia yake ya Muhimbili.
Leo familia imekwaa tena kisiki kingine Mkoani Kilimanjaro, Uru nyumbani kwa Thedei Ole Mushi baada ya Parokia ya Uru nyumbani kwa marehemu kugomea kuendesha mazishi na kufunga milango kiasi cha kupelekea kutafutwa kwa wachungaji wa madhehebu ya Kipentekoste pale Uru.
Baadae ibada ikaendeshwa na kasisi akiwa amevaa t-shirt nyeusi na sio mavazi halisi ya ibada kwa mujibu wa taratibu. Na wala hakukuwa na kwaya ya Kanisa.
Wajuzi na wasomi wa kanisa Katoliki wanasema ukipinga Waraka wa Maaskofu ni sawa na kuasi kanisa kwa kukataa mafundisho yake, hivyo kama utafariki kabla ya kurudishwa kundini utakuwa umefariki kama muasi nje ya kanisa na hivyo kanisa halitohusika na mazishi yako.
Hili ni Somo kubwa na funzo kwa wanasiasa na watu wote ambao tulikuwa hatujui uzito na maana ya waraka wa baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) ambao hutolewa na kusomwa makanisa yote ya waumini wao.
Kama na wewe ni muuumini wa kanisa katoliki na unajua uliropoka na kupinga lolote kuhusu waraka ule wa TEC fanya haraka urudishwe kundini.
Umeuliza maswali ya kipumbavu sana. Wewe ni mrundi?Chadema mnatunga hii story, je mwendazake alikuwa ni mwanajumuia hai? Alishiriki michango ya kanisa ?
Ndio hii inashangaza.Mungu ndio anayehukumu.Inakuwaje binadamu tunahukumu?Si wanasemaga anaehukumu ni Mungu tu?
Kitambo tu mbonaRC wanaweza kuwa wapuuzi wa kiwango hiki?
Hakuna kanisa pale, lile ni kundi la wajanja waliojitengenezea mfumo wao wa kuishi vizuri hapa duniani. Wanawatumikisha waumini wao kuliko enzi za manamba. Wenye akili tulishakimbia huko. Kanisa gani padre ni mhuni na ana roho mbaya kuliko pagani?PIGO LA MWISHO KWA THADEI OLE MUSHI.
Kanisa Katoliki lagoma kuendesha Ibada ya misa ya mazishi ya Thadei Ole Mushi kwa sababu ALIPINGA WARAKA WA BARAZA LA MAASKOFU WA KANISA KATOLIKI TANZANIA (TEC) Uliopinga uuzwaji wa Bandari, uliotolewa tarehe 18 August 2023 na TEC.
Thadei Ole Mushi alipinga hadharani waraka wa TEC, kupitia andiko lake la tarehe 18 August 2023 lenye kichwa cha Habari "WARAKA WA MAASKOFU SIO ITHIBATI ZA MAONI YA WATANZANIA"
Juzi ndugu na msemaji wa familia Bwana Victor Tesha, alitangazia dunia kwamba ibada ya mazishi ya kumuaga ndugu yetu Thadei Ole Mushi kwa Dar es Salaam ingefanyika katika kanisa la St. Peter - Oysterbay.
Lakini watu wengi ikiwemo mimi tulipofika kanisa la St. Peter's Oysterbay, tulikuta milango ya kanisa imefunga na hakuna dalili ya kuwepo kwa misa yoyote.
Uamuzi wa haraka kutaarifu watu waelekee Muhimbili katika kanisa la Pamoja (siyo Katoliki) ukafanyika na pakaendeshwa ibada na mapadre ambao ni marafiki wa karibu wa Thadei Ole Mushi na siyo Paroko anayehusika katika parokia yake ya Muhimbili.
Leo familia imekwaa tena kisiki kingine Mkoani Kilimanjaro, Uru nyumbani kwa Thedei Ole Mushi baada ya Parokia ya Uru nyumbani kwa marehemu kugomea kuendesha mazishi na kufunga milango kiasi cha kupelekea kutafutwa kwa wachungaji wa madhehebu ya Kipentekoste pale Uru.
Baadae ibada ikaendeshwa na kasisi akiwa amevaa t-shirt nyeusi na sio mavazi halisi ya ibada kwa mujibu wa taratibu. Na wala hakukuwa na kwaya ya Kanisa.
Wajuzi na wasomi wa kanisa Katoliki wanasema ukipinga Waraka wa Maaskofu ni sawa na kuasi kanisa kwa kukataa mafundisho yake, hivyo kama utafariki kabla ya kurudishwa kundini utakuwa umefariki kama muasi nje ya kanisa na hivyo kanisa halitohusika na mazishi yako.
Hili ni Somo kubwa na funzo kwa wanasiasa na watu wote ambao tulikuwa hatujui uzito na maana ya waraka wa baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) ambao hutolewa na kusomwa makanisa yote ya waumini wao.
Kama na wewe ni muuumini wa kanisa katoliki na unajua uliropoka na kupinga lolote kuhusu waraka ule wa TEC fanya haraka urudishwe kundini.
We juha hayo maelezo mueleze kitima sio mimi.Sio issue za wema au la. Ni kufuata taratibu. Kama wewe mwema, si ukabebe maiti zote za mochwari ambazo hazina ndugu uendeshe ibada?