Pigo la mwisho kwa Thadei Ole Mushi: Katoliki wakataa kumzika kwa kuwa aliwapinga TEC kuhusu DPW

Pigo la mwisho kwa Thadei Ole Mushi: Katoliki wakataa kumzika kwa kuwa aliwapinga TEC kuhusu DPW

Kanisa Katoliki lagoma kuendesha Ibada ya misa ya mazishi ya Thadei Ole Mushi kwa sababu ALIPINGA WARAKA WA BARAZA LA MAASKOFU WA KANISA KATOLIKI TANZANIA (TEC) Uliopinga uuzwaji wa Bandari, uliotolewa tarehe 18 August 2023 na TEC.

Thadei Ole Mushi alipinga hadharani waraka wa TEC, kupitia andiko lake la tarehe 18 August 2023 lenye kichwa cha Habari "WARAKA WA MAASKOFU SIO ITHIBATI ZA MAONI YA WATANZANIA"

Juzi ndugu na msemaji wa familia Bwana Victor Tesha, alitangazia dunia kwamba ibada ya mazishi ya kumuaga ndugu yetu Thadei Ole Mushi kwa Dar es Salaam ingefanyika katika kanisa la St. Peter - Oysterbay.

Lakini watu wengi ikiwemo mimi tulipofika kanisa la St. Peter's Oysterbay, tulikuta milango ya kanisa imefunga na hakuna dalili ya kuwepo kwa misa yoyote.

Uamuzi wa haraka kutaarifu watu waelekee Muhimbili katika kanisa la Pamoja (siyo Katoliki) ukafanyika na pakaendeshwa ibada na mapadre ambao ni marafiki wa karibu wa Thadei Ole Mushi na siyo Paroko anayehusika katika parokia yake ya Muhimbili.

Leo familia imekwaa tena kisiki kingine Mkoani Kilimanjaro, Uru nyumbani kwa Thedei Ole Mushi baada ya Parokia ya Uru nyumbani kwa marehemu kugomea kuendesha mazishi na kufunga milango kiasi cha kupelekea kutafutwa kwa wachungaji wa madhehebu ya Kipentekoste pale Uru.

Baadae ibada ikaendeshwa na kasisi akiwa amevaa t-shirt nyeusi na sio mavazi halisi ya ibada kwa mujibu wa taratibu. Na wala hakukuwa na kwaya ya Kanisa.

Wajuzi na wasomi wa kanisa Katoliki wanasema ukipinga Waraka wa Maaskofu ni sawa na kuasi kanisa kwa kukataa mafundisho yake, hivyo kama utafariki kabla ya kurudishwa kundini utakuwa umefariki kama muasi nje ya kanisa na hivyo kanisa halitohusika na mazishi yako.

Hili ni Somo kubwa na funzo kwa wanasiasa na watu wote ambao tulikuwa hatujui uzito na maana ya waraka wa baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) ambao hutolewa na kusomwa makanisa yote ya waumini wao.

Kama na wewe ni muuumini wa kanisa katoliki na unajua uliropoka na kupinga lolote kuhusu waraka ule wa TEC fanya haraka urudishwe kundini.

VIJANA[emoji849]
BAADHI YA CCM HAWATAKIWI KUZIKWA KABISA.....NI KUCHOMWA NA MAJIVU YARUSHWE ANGANI
 
Kwanzaa hizi misa zinaulazima gani? Binadam tumejiwekea mfumo wa kihovyo. Azikwe au lah won’t change any thing ,and Mushi is at peace now

Kabla ya katolic, watu walikuwa wanazikwa vip
Dini ni institutions km institutions nyingine
Dini hazitoki kwa mungu. Dini zinatoka kwa binadamu ndio maana haya hutokea
Sasa mbona tunalalamika?
 
Ni ubabaishaji tu!πŸ˜•
Unajuwa maana ya Jumuiya au unasema upuuzi tu bila kujua chochote
Yaani wewe ushirikiani na wenzako then uje upate tatizo watu waje kwako
Kama umeamua kujitenga jitenge hadi kwenye matatizo yako. Sio ukipata tatizo uanze kutafuta huruma za watu
 
Ila ukitoa sadaka hawa
Ukitoa sadaka hawakuulizi kama unahudhuria jumuiya wala kama unafahamika. Wanachukua Ila siku ukifa maswali yanaanza
Yaan una akili ndogo kama Pandas
Kwa hiyo unataka watu wanapotoa sadaka waulizwe?? Unajielewa kweliπŸ˜…
Kuna viongozi wa jumuiya ambao ndio wanawajua waumini wao kuliko hata Padre sababu ndio wanaishi nao mtaani
Jumiya ina maana kubwa sana ndani ya kanisa kama ujui kuna mambo mengi yanayoendelea ndani ya jumuiya
Jumiya ni kama familia ya kikristo katika mtaa husika hivyo kuna mambo mengi yanafanyika ndani ya Jumiya kama michango pale mmoja wapo wa familia anapopatwa na matatizo kukutana pamoja wanajumuiya kusali na kujadili mwenendo wa jumuiya walau mara moja kila wiki hasa jumamosi. Ambapo wengi wao wanakuwa free

Sasa nikuulize wewe umeamua kujitenga na jumuiya unapopatwa tatizo kitu cha kwanza kanisa linarudi kwenye jumuiya yako kuuliza kama wewe ni muumini wetu au laah kwa sababu jumuiya ndio inakujua zaidi kuliko askofu. Wasije wakazika mtu ambaye sio muumini

Sasa wewe umeamua kujitenga mwenyewe na jumuiya ukipatwa na tatizo usianze kutia huruma coz hicho kitu kila mkatoriki anajua na huo ni utaritibu wa muda mrefu wa kanisa so unapotaka kujibu kitu tafuta details sio unaandika utumbo tu bila kufikiria.
 
Ngoja tuone wataenda sehemu Gani motoni au , mana huyu inaonekana alikuwa mtu wa kusifu na kuabudu
 
Yaan una akili ndogo kama Pandas
Kwa hiyo unataka watu wanapotoa sadaka waulizwe?? Unajielewa kweliπŸ˜…
Kuna viongozi wa jumuiya ambao ndio wanawajua waumini wao kuliko hata Padre sababu ndio wanaishi nao mtaani
Jumiya ina maana kubwa sana ndani ya kanisa kama ujui kuna mambo mengi yanayoendelea ndani ya jumuiya
Jumiya ni kama familia ya kikristo katika mtaa husika hivyo kuna mambo mengi yanafanyika ndani ya Jumiya kama michango pale mmoja wapo wa familia anapopatwa na matatizo kukutana pamoja wanajumuiya kusali na kujadili mwenendo wa jumuiya walau mara moja kila wiki hasa jumamosi. Ambapo wengi wao wanakuwa free

Sasa nikuulize wewe umeamua kujitenga na jumuiya unapopatwa tatizo kitu cha kwanza kanisa linarudi kwenye jumuiya yako kuuliza kama wewe ni muumini wetu au laah kwa sababu jumuiya ndio inakujua zaidi kuliko askofu. Wasije wakazika mtu ambaye sio muumini

Sasa wewe umeamua kujitenga mwenyewe na jumuiya ukipatwa na tatizo usianze kutia huruma coz hicho kitu kila mkatoriki anajua na huo ni utaritibu wa muda mrefu wa kanisa so unapotaka kujibu kitu tafuta details sio unaandika utumbo tu bila kufikiria.
Yani ni vitu vya kushangaza sana, mtu anajitenga mwenyewe alafu baadae analalamika kuwa kanisa limemtenga.
 
Mnaosema papa hatumpingi..tumempinga mpk unywele wake...
 
Jamani ee hizo ni sheria zetu fateni zenyu...
###hatupangwingwi##
Shughulikeni na yenyu
 
Kanisa Katoliki lagoma kuendesha Ibada ya misa ya mazishi ya Thadei Ole Mushi kwa sababu ALIPINGA WARAKA WA BARAZA LA MAASKOFU WA KANISA KATOLIKI TANZANIA (TEC) Uliopinga uuzwaji wa Bandari, uliotolewa tarehe 18 August 2023 na TEC.

Thadei Ole Mushi alipinga hadharani waraka wa TEC, kupitia andiko lake la tarehe 18 August 2023 lenye kichwa cha Habari "WARAKA WA MAASKOFU SIO ITHIBATI ZA MAONI YA WATANZANIA"

Juzi ndugu na msemaji wa familia Bwana Victor Tesha, alitangazia dunia kwamba ibada ya mazishi ya kumuaga ndugu yetu Thadei Ole Mushi kwa Dar es Salaam ingefanyika katika kanisa la St. Peter - Oysterbay.

Lakini watu wengi ikiwemo mimi tulipofika kanisa la St. Peter's Oysterbay, tulikuta milango ya kanisa imefunga na hakuna dalili ya kuwepo kwa misa yoyote.

Uamuzi wa haraka kutaarifu watu waelekee Muhimbili katika kanisa la Pamoja (siyo Katoliki) ukafanyika na pakaendeshwa ibada na mapadre ambao ni marafiki wa karibu wa Thadei Ole Mushi na siyo Paroko anayehusika katika parokia yake ya Muhimbili.

Leo familia imekwaa tena kisiki kingine Mkoani Kilimanjaro, Uru nyumbani kwa Thedei Ole Mushi baada ya Parokia ya Uru nyumbani kwa marehemu kugomea kuendesha mazishi na kufunga milango kiasi cha kupelekea kutafutwa kwa wachungaji wa madhehebu ya Kipentekoste pale Uru.

Baadae ibada ikaendeshwa na kasisi akiwa amevaa t-shirt nyeusi na sio mavazi halisi ya ibada kwa mujibu wa taratibu. Na wala hakukuwa na kwaya ya Kanisa.

Wajuzi na wasomi wa kanisa Katoliki wanasema ukipinga Waraka wa Maaskofu ni sawa na kuasi kanisa kwa kukataa mafundisho yake, hivyo kama utafariki kabla ya kurudishwa kundini utakuwa umefariki kama muasi nje ya kanisa na hivyo kanisa halitohusika na mazishi yako.

Hili ni Somo kubwa na funzo kwa wanasiasa na watu wote ambao tulikuwa hatujui uzito na maana ya waraka wa baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) ambao hutolewa na kusomwa makanisa yote ya waumini wao.

Kama na wewe ni muuumini wa kanisa katoliki na unajua uliropoka na kupinga lolote kuhusu waraka ule wa TEC fanya haraka urudishwe kundini.

VIJANA[emoji849]
Kama ilivyo ndoa ya kiserikali, hata mazishi yawepo ya kiserikali.

Italeta uwiano kwa wasio na dini au waliopinga kitu kisichoeleweka.
 
Kanisa Katoliki lagoma kuendesha Ibada ya misa ya mazishi ya Thadei Ole Mushi kwa sababu ALIPINGA WARAKA WA BARAZA LA MAASKOFU WA KANISA KATOLIKI TANZANIA (TEC) Uliopinga uuzwaji wa Bandari, uliotolewa tarehe 18 August 2023 na TEC.

Thadei Ole Mushi alipinga hadharani waraka wa TEC, kupitia andiko lake la tarehe 18 August 2023 lenye kichwa cha Habari "WARAKA WA MAASKOFU SIO ITHIBATI ZA MAONI YA WATANZANIA"

Juzi ndugu na msemaji wa familia Bwana Victor Tesha, alitangazia dunia kwamba ibada ya mazishi ya kumuaga ndugu yetu Thadei Ole Mushi kwa Dar es Salaam ingefanyika katika kanisa la St. Peter - Oysterbay.

Lakini watu wengi ikiwemo mimi tulipofika kanisa la St. Peter's Oysterbay, tulikuta milango ya kanisa imefunga na hakuna dalili ya kuwepo kwa misa yoyote.

Uamuzi wa haraka kutaarifu watu waelekee Muhimbili katika kanisa la Pamoja (siyo Katoliki) ukafanyika na pakaendeshwa ibada na mapadre ambao ni marafiki wa karibu wa Thadei Ole Mushi na siyo Paroko anayehusika katika parokia yake ya Muhimbili.

Leo familia imekwaa tena kisiki kingine Mkoani Kilimanjaro, Uru nyumbani kwa Thedei Ole Mushi baada ya Parokia ya Uru nyumbani kwa marehemu kugomea kuendesha mazishi na kufunga milango kiasi cha kupelekea kutafutwa kwa wachungaji wa madhehebu ya Kipentekoste pale Uru.

Baadae ibada ikaendeshwa na kasisi akiwa amevaa t-shirt nyeusi na sio mavazi halisi ya ibada kwa mujibu wa taratibu. Na wala hakukuwa na kwaya ya Kanisa.

Wajuzi na wasomi wa kanisa Katoliki wanasema ukipinga Waraka wa Maaskofu ni sawa na kuasi kanisa kwa kukataa mafundisho yake, hivyo kama utafariki kabla ya kurudishwa kundini utakuwa umefariki kama muasi nje ya kanisa na hivyo kanisa halitohusika na mazishi yako.

Hili ni Somo kubwa na funzo kwa wanasiasa na watu wote ambao tulikuwa hatujui uzito na maana ya waraka wa baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) ambao hutolewa na kusomwa makanisa yote ya waumini wao.

Kama na wewe ni muuumini wa kanisa katoliki na unajua uliropoka na kupinga lolote kuhusu waraka ule wa TEC fanya haraka urudishwe kundini.

VIJANA[emoji849]
PONGEZI KWA KANISA KATOLIKI KWA UAMUZI HUO WA BUSARA WAJINGA WAJINGA KAMA THADEO MUSHI hayo ndio Malipo ya Rushwa aliyopewa na ccm ili alikane KANISA aishabikie ccm kama Msaliti Yuda alipomkana YESU

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Kanisa Katoliki lagoma kuendesha Ibada ya misa ya mazishi ya Thadei Ole Mushi kwa sababu ALIPINGA WARAKA WA BARAZA LA MAASKOFU WA KANISA KATOLIKI TANZANIA (TEC) Uliopinga uuzwaji wa Bandari, uliotolewa tarehe 18 August 2023 na TEC.

Thadei Ole Mushi alipinga hadharani waraka wa TEC, kupitia andiko lake la tarehe 18 August 2023 lenye kichwa cha Habari "WARAKA WA MAASKOFU SIO ITHIBATI ZA MAONI YA WATANZANIA"

Juzi ndugu na msemaji wa familia Bwana Victor Tesha, alitangazia dunia kwamba ibada ya mazishi ya kumuaga ndugu yetu Thadei Ole Mushi kwa Dar es Salaam ingefanyika katika kanisa la St. Peter - Oysterbay.

Lakini watu wengi ikiwemo mimi tulipofika kanisa la St. Peter's Oysterbay, tulikuta milango ya kanisa imefunga na hakuna dalili ya kuwepo kwa misa yoyote.

Uamuzi wa haraka kutaarifu watu waelekee Muhimbili katika kanisa la Pamoja (siyo Katoliki) ukafanyika na pakaendeshwa ibada na mapadre ambao ni marafiki wa karibu wa Thadei Ole Mushi na siyo Paroko anayehusika katika parokia yake ya Muhimbili.

Leo familia imekwaa tena kisiki kingine Mkoani Kilimanjaro, Uru nyumbani kwa Thedei Ole Mushi baada ya Parokia ya Uru nyumbani kwa marehemu kugomea kuendesha mazishi na kufunga milango kiasi cha kupelekea kutafutwa kwa wachungaji wa madhehebu ya Kipentekoste pale Uru.

Baadae ibada ikaendeshwa na kasisi akiwa amevaa t-shirt nyeusi na sio mavazi halisi ya ibada kwa mujibu wa taratibu. Na wala hakukuwa na kwaya ya Kanisa.

Wajuzi na wasomi wa kanisa Katoliki wanasema ukipinga Waraka wa Maaskofu ni sawa na kuasi kanisa kwa kukataa mafundisho yake, hivyo kama utafariki kabla ya kurudishwa kundini utakuwa umefariki kama muasi nje ya kanisa na hivyo kanisa halitohusika na mazishi yako.

Hili ni Somo kubwa na funzo kwa wanasiasa na watu wote ambao tulikuwa hatujui uzito na maana ya waraka wa baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) ambao hutolewa na kusomwa makanisa yote ya waumini wao.

Kama na wewe ni muuumini wa kanisa katoliki na unajua uliropoka na kupinga lolote kuhusu waraka ule wa TEC fanya haraka urudishwe kundini.

VIJANAπŸ™„


Hili sio pigo kwa Marehemu
 
Back
Top Bottom