Pigo la mwisho kwa Thadei Ole Mushi: Katoliki wakataa kumzika kwa kuwa aliwapinga TEC kuhusu DPW

Pigo la mwisho kwa Thadei Ole Mushi: Katoliki wakataa kumzika kwa kuwa aliwapinga TEC kuhusu DPW

Ole Mushi ni mwalimu aliyejichanganya .

Mara Yuko srikalini ni mwajiriwa, mara Yuko Chadema ni mwanachama, mara Yuko CCM ni chawa.

Hivi alikuwa na watoto huyu bwana.
 
Rc wamejaa ubaguzi sana.
Waumini makapuku wanazikwa na Katekista ama Mwenyekiti wa jumuia.
Akiwa na uwezo kidogo ama anafahamika basi atakuja Padre,
Akipanda kidogo basi anakuja Paroko
Ukiwa maarufu sana ama tajiri mkubwa atakuja Askofu tena bila maswali maswali..hata kama ukiwa na wake wengi wanakuzika.
Hii dunia hiii mmmmh
Mimi nilikuwa Arusha bwana Mrema wa Impala alipofariki. Kwa viwango vya kati pengine vya juu, Mrema alikuwa tajiri- alimilki Impala hotel, Ngurdoto hotel, Naura springs hotel, Classic tours, bureau de change kadhaa etc. Kanisa halikutoa huduma rasmi ktk mazishi yake, bila kujali utajiri wake, bali liliangalia kama alikuwa mshirika ktk kanisa au la!. Hakuwa mshirika hivyo hakustahili huduma ile.
Kuhusu marehemu Tadei Mushi, kama kweli kanisa halikutoa huduma, huku mitandaoni hutapata jibu ni kwanini.
Utaratibu wa kanisa katoliki ktk haya masuala unaeleweka wazi na wakatoliki (walio hai ktk ukatoliki). Mtu anapofariki, jumuiya yake hupeleka taarifa parokiani kuthibitisha kuwa huyu alikuwa mshirika hai ktk jumuiya, na hivyo paroko/padri anapata uhalali wa kutoa huduma.
Kama marehemu anasafirishwa kuzikwa mbali na alipofia, lazima barua iandikwe na paroko wa eneo alilokuwa anashiriki kwenda kwa paroko wa anakoenda kuzikwa kuthibitisha kuwa huyu anastahil huduma.
 
Bila shaka wewe Dr Lizzy hujui nguvu ya kitu kinachoitwa "DINI" ktk maisha ya watu...

And as for this, Yes, it makes a big difference and on the other hand it doesn't make any for people like you..

👉Haileti tofauti yoyote kwa mfu (maiti) kwa sababu hana uhai tena, amekufa. This is a dead fact..!

👉 However, on the other hand there's a living fact. Kwamba, hii inaleta maana na tofauti kubwa sana kuliko akili yako iwazavyo hasa kwa sisi (mimi, wewe na wengine wote) hususani nduguze marehemu walio hai..

That's why wanahangaika huku na huku kwa ajili ya maiti yao. Why?

Ni kwa sababu hayo ni matokeo ya maisha aliyoyaishi ndugu yao alipokuwa hai, kwamba mwisho wa siku waje wahangaike wanapotaka kumzika..!!

√ Ukiwa na mahusiano mabaya na watu automatic hutakuwa na mahusiano mema na Mungu. Au hujui kuwa imeandikwa mahali fulani ktk Biblia kwamba;

"....utasemaje una mahusiano mema na Mungu usiyemwona iwapo una uhusiano mbaya na nduguyo unayemwona....?"

√ Baada ya kifo chako, walio hai (nduguzo na marafiki zako) lazima wa - feel na kukabiliana na matokeo ya maisha yako uliyoyaishi duniani ukiwa hai.

√ Usifikiri mambo ni rahisi kwa hawa ndugu kwa kufanyiwa hivi na dini yao. It's obvious kuwa, hawa nduguze huyo marehemu are psychologically & emotionally very much disturbed na yanayaowakuta sasa..

√ Wangekuwa wana fikiri kama wewe kwa kauli ya "what difference does it make", wangepakia maiti wao kwenye pick up na kwenda kumzika huko au kmtupa wanakojua wao. Lakini walianya kila njia ili ndugu yao azikwe kwa protocol za kidini waliyoiishi maisha yao yote

Sasa kama ulikuwa hujui nguvu ya DINI ianze kuijua leo na fanya kila uwezalo Dr Lizzy kuiheshimu dini uliyoamua kuwa nayo...

Kama umeamua kuwa ktk dini ya shetani, iheshimu na fuatana misingi na kanuni zake. Kama umeamua kuwa ktk dini ya Mungu Yehova wa kweli, hivyo hivyo iheshimu na ishi kwa misingi na kanuni zake..

Acha kujifariji na vijikauli kama "what difference does it make". Mimi nakuambia, everything makes big difference to one another..!!
Mungu wa Mbinguni anayebariki watu, akubariki utokapo na uingiapo. Amina
 
Kumbuka lililofungwa duniani na mbinguni limefungwa kwa kadri ya imani yetu ya kikatoliki.pia hilo ni fundisho kwa wapenda rushwa na chawa wao.
 
Sijawahi kuona waislam wanamsusia marehemu. Wana ushirikiano sana kwenye misiba, taarifa zikitolewa chaap wamefika shughuli inaanza.
Nishaona wengi sana waliosuswa na kuzikwa kisela na pia sheikh flani kutolewa sehemu nyingine kwa kitu kidogo ili kuombea marehemu.
 
Sasa Hapo Niseme Tu Ukweli Wakatoliki Wote Waliopo CCM Wameasi Bila Kusema Kuandika Hadharani
 
Hili ni funzo kwamba tusithubutu kushirikiana na shetani

Hujui dini wewe
Wewe mpumbavu wa chadomo umeshupaza shingo na kanisa la mashoga
Au kwa vile ni alikuwa CCM
Mbuzi kabisa wewe
Na hao TEC wote ni genge la mashoga, haiwezekani mwanaume akatazwe kuoa, ndio mwanzo wa kuliwa mtaro
 
Kama alikuwa ametengeneza na Mungu kabla hajafa hata maiti yake ingetupwa baharini yeye tayari roho yake inakuwa Paradiso! Lakini kama hakutengeneza maisha yake na Mungu kabla hajafa, hata angefanyiwa misa na Papa haisaidii!
Mungu atusaidie kingali anatupa pumzi tutengeneze maisha yetu ili tukiondoka dunia tukapumzike kwa amani.
 
Sasa kinachokuliza nini ?
Moron
Kukataa kumuombea muumini mwenzio aliyetangulia ni ushenzi

1707677981110.png
 
Marahemu hapungukiwi kitu maana ameshafariki. Mtihani na aibu hubaki kwa waliobaki (ndugu).
Sidhani kama kuna mtihani au aibu hapo kwa ndugu waliobaki kwani issue ni je, Marehemu amezikwa?. Marehemu akishazikwa, bila kujali kazikwa-zikwaje yatazungumzwa/jadiliwa kichinichini tuu(Wala sio kwa mhemuko sana) na baada ya siku 3-4 tanga likianuliwa, kila mtu anaendelea na shughuli zake - mchezo umeisha.
 
Kanisa Katoliki lagoma kuendesha Ibada ya misa ya mazishi ya Thadei Ole Mushi kwa sababu ALIPINGA WARAKA WA BARAZA LA MAASKOFU WA KANISA KATOLIKI TANZANIA (TEC) Uliopinga uuzwaji wa Bandari, uliotolewa tarehe 18 August 2023 na TEC.

Thadei Ole Mushi alipinga hadharani waraka wa TEC, kupitia andiko lake la tarehe 18 August 2023 lenye kichwa cha Habari "WARAKA WA MAASKOFU SIO ITHIBATI ZA MAONI YA WATANZANIA"

Juzi ndugu na msemaji wa familia Bwana Victor Tesha, alitangazia dunia kwamba ibada ya mazishi ya kumuaga ndugu yetu Thadei Ole Mushi kwa Dar es Salaam ingefanyika katika kanisa la St. Peter - Oysterbay.

Lakini watu wengi ikiwemo mimi tulipofika kanisa la St. Peter's Oysterbay, tulikuta milango ya kanisa imefunga na hakuna dalili ya kuwepo kwa misa yoyote.

Uamuzi wa haraka kutaarifu watu waelekee Muhimbili katika kanisa la Pamoja (siyo Katoliki) ukafanyika na pakaendeshwa ibada na mapadre ambao ni marafiki wa karibu wa Thadei Ole Mushi na siyo Paroko anayehusika katika parokia yake ya Muhimbili.

Leo familia imekwaa tena kisiki kingine Mkoani Kilimanjaro, Uru nyumbani kwa Thedei Ole Mushi baada ya Parokia ya Uru nyumbani kwa marehemu kugomea kuendesha mazishi na kufunga milango kiasi cha kupelekea kutafutwa kwa wachungaji wa madhehebu ya Kipentekoste pale Uru.

Baadae ibada ikaendeshwa na kasisi akiwa amevaa t-shirt nyeusi na sio mavazi halisi ya ibada kwa mujibu wa taratibu. Na wala hakukuwa na kwaya ya Kanisa.

Wajuzi na wasomi wa kanisa Katoliki wanasema ukipinga Waraka wa Maaskofu ni sawa na kuasi kanisa kwa kukataa mafundisho yake, hivyo kama utafariki kabla ya kurudishwa kundini utakuwa umefariki kama muasi nje ya kanisa na hivyo kanisa halitohusika na mazishi yako.

Hili ni Somo kubwa na funzo kwa wanasiasa na watu wote ambao tulikuwa hatujui uzito na maana ya waraka wa baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) ambao hutolewa na kusomwa makanisa yote ya waumini wao.

Kama na wewe ni muuumini wa kanisa katoliki na unajua uliropoka na kupinga lolote kuhusu waraka ule wa TEC fanya haraka urudishwe kundini.

VIJANA🙄
Vipi kuhusu na wale wakatoliki waliopinga hadharani waraka wa Papa kuhusu kuwabariki mabwabwa. Nao watatengwa? Wakifa watagomewa kuzikwa kikatoliki?
 
Back
Top Bottom