Pigo lingine kwa Hezbollah. Jeshi la Israel lamuua kamanda mkuu wa kikosi cha mizinga na makombora

Pigo lingine kwa Hezbollah. Jeshi la Israel lamuua kamanda mkuu wa kikosi cha mizinga na makombora

Hezbollah wamekuwa compromised sana hawajamaa yaani viongozi wao muhimu Ndio wanakufa... Si bure serikali ya Lebanon inawapa Siri za Hezbollah Israel
Lebanon na Hezbollah ni kama Tako na chupi huwezi kuwatenganisha.
 
Una uhakika?
It is considered the most heavily armed non-state group in the world, with its armed strength assessed to be equivalent to that of a medium-sized army in 2016. In 2021, Hezbollah leader Hassan Nasrallah said the group had around 100,000 fighters.
1727196122896.png

Wikipedia, the free encyclopedia › wiki › H...

Hezbollah - Wikipedia




Feedback
About featured snippets
 
Lebanon kuna upande wa shia ndio hao hezbollah,
Upande mwingine ni sunni wanaoshirikiana na Christians.
Ndio maana unaona upande unaoshambuliwa ni wa shia, na ule upande wa pili waligoma kupokea wanaokimbia vita japo ni nchi moja.
Acha uwongo watu wamepokelewa makanisani na kupewa hifadhi au unataka ushahidi? Usiwe mwepesi kudaka fitina za wazayuni kwa waarabu.
 
Wananchi wengi wa Lebanon wanaichukua Hezbollah na hata ndani ya jamii za Hezbollah wanachukia unyanyasaji wao, Ni rahisi Israel kupata taarifa
Hivi Kuna Wananchi wanaomchukia Netanyahu na serikali yake kama wayahudi kwa sasa? Hizi habari Huwa mnazipata wapi?
 
Hivi Kuna Wananchi wanaomchukia Netanyahu na serikali yake kama wayahudi kwa sasa? Hizi habari Huwa mnazipata wapi?
Wanaompinga Netanyahu ni kundi dogo la wayahudi tabaka la Hasidic Jews, wanaishi Israel lakini wanasapoti Israel isiwepo na hawataki kujiunga kwenye jeshi la Israel, ajabu ni kwamba wanaishi ndani ya nchi wanayopinga uwepo wake badala ya wao kwenda nchi nyingine, ndio hawa unawaona wakisapoti Palestina, Kutemea mate wakristo, n.k.
 
Acha uwongo watu wamepokelewa makanisani na kupewa hifadhi au unataka ushahidi? Usiwe mwepesi kudaka fitina za wazayuni kwa waarabu.
People are fleeing Southern Lebanon in large numbers.
Meanwhile, Christians in Beirut say, "Displaced muslims from southern Lebanon are not welcome here!"

Clashes occured in the Ain al-Ramanah area, a Christian suburb of Beirut.
The reason: the residents of the Christian suburb refuse to accept in their territory, Nasrallah's Shia Muslims who fled from southern Lebanon.
The Lebanese army was called in to restore order.
Screenshot_20240924-122009~2.png
 
People are fleeing Southern Lebanon in large numbers.
Meanwhile, Christians in Beirut say, "Displaced muslims from southern Lebanon are not welcome here!"

Clashes occured in the Ain al-Ramanah area, a Christian suburb of Beirut.
The reason: the residents of the Christian suburb refuse to accept in their territory, Nasrallah's Shia Muslims who fled from southern Lebanon.
The Lebanese army was called in to restore order.
View attachment 3105590
Source: Trust me Bro
 
Wanaompinga Netanyahu ni kundi dogo la wayahudi tabaka la Hasidic Jews, wanaoishi Israel halafu wanapinga Israel isiwepo badala ya wao kwenda nchi nyingine, ndio hawa unawaona wakisapoti Palestina, Kutemea mate wakristo, n.k.
Kwahiyo wale maelfu kwa maelfu wanaondamana Kila siku Tel Aviv na kwingine na kupambana na police ni kundi dogo siyo? Huna akili
 
Wapo Karibu kijiografia lakini haziivi, Jana watu wa hezbollah walikuwa wanakimbilia miji mingine ya Lebanon walifukuzwa, walioruhusiwa ni wale ambao ni walebanon wapinga Hezbollah
Walebanon wapo christians, Muslims na Others wote ni waarabu.kama ilivyo tu hapa Tanzania hiyo akili yenu ya kulazimisha kuwatenganisha nyie wapuuzi it doesn't work.
 
Kwahiyo wale maelfu kwa maelfu wanaondamana Kila siku Tel Aviv na kwingine na kupambana na police ni kundi dogo siyo? Huna akili
Ndio madhara ya kupuuza elimu dunia, Rudi shuleni ukajifunze topic inaitwa Percentage / Asilimia.

Bila kuzijua percentage utaendelea kuzuzuka, Rudi darasani !!
 
People are fleeing Southern Lebanon in large numbers.
Meanwhile, Christians in Beirut say, "Displaced muslims from southern Lebanon are not welcome here!"

Clashes occured in the Ain al-Ramanah area, a Christian suburb of Beirut.
The reason: the residents of the Christian suburb refuse to accept in their territory, Nasrallah's Shia Muslims who fled from southern Lebanon.
The Lebanese army was called in to restore order.
View attachment 3105590
Nimeona sky news wamesema Kuna road traffic kwa masaa zaidi ya 20
 
INNA LILLAHI WA INNA ILAYHI RAJI'UN

Rest in Peace
View attachment 3105539

aliekuwa Kamanda wa Hezbollah kikosi cha mizinga, Ibrahim Muhammad Qabisi, ameuawa akiwa ndani ya nyumba aliyojificha jijini Beirut, Lebanon.

Ni baada ya Mossad kupata intelejensia sahihi kwa wakati sahihi na mahali sahihi, wakazifowadi taarifa kwenda jeshi la anga la Israel kummaliza.

View attachment 3105561

View attachment 3105536

The IDF announces that today (Tuesday), September 24, 2024, with the direction of precise IDF intelligence, the IAF struck in the area of Dahieh in Beirut and eliminated the terrorist Ibrahim Muhammad Qabisi, Head of the Missiles and Rockets Force of the Hezbollah terrorist organization. Qabisi was struck alongside additional central commanders in Hezbollah's Missiles and Rockets Force.

Qabisi commanded several missile units within the Hezbollah terrorist organization, including the Precision Guided Missile Unit.

Over the years and during the war, he was responsible for launching missiles toward the Israeli civilians.

Qabisi was a significant source of knowledge in the field of missiles and had close ties to senior military leaders in Hezbollah.

Ibrahim Muhammad Qabisi joined Hezbollah in the 1980s and has since held several significant military roles within the terrorist organization, including as a senior officer in Hezbollah's Operations Unit in southern Lebanon and commanding the Badr Unit on Hezbollah’s Southern Front.

In these roles, he was responsible for planning and executing numerous terror attacks against Israeli civilians and soldiers.
Kwani huyu kamanda asijifiche kwenye Banker mpaka anajificha gorofani?
 
Back
Top Bottom