Pikipiki za masafa marefu (Cross countries)

Pikipiki za masafa marefu (Cross countries)

Nunua kinglion uone inavyofanya kazi, naitumia, ina speed meter 180/hr
Hii hapa ni KM 180 kwa saa.

1405451433688.jpg
1405451457326.jpg
1405451737109.jpg
1405451820117.jpg
 
Kuna group facebook 1. Hotbikes in Tanzania 2. Kawe motorsports(Tanzania). Huko utakutana na wapenzi wa Hot bikes pia waweza mtu anayeuza pikipiki yake.
 
Wakuu anayefahamu aina hizo za pikipiki anijuze nahitaji kununua.
Ni pikipiki kubwa kimuundo na ni nene, pembeni nyuma huwa na kitu kama begs ngumu. Mara nyingi nawaona nazo raia wa kigeni hasa wanaotokea South Africa....
Chagua hapa kisha tufanye buzy!!!!!
 
Aisee mkuu Pasco ni genius kila thread unayochangia unaweka na evdence yani hii unaonesha ni jinsi gani upo sambamba na Dunia mie ni mpenzi sana wa motorbycle sana sana hizi big lakini ukata ndio unasababisha nitamani instead ya kumiliki asante kwa picha na maelezo ya kina thanks Pasco
 
Chagua hapa kisha tufanye buzy!!!!!

Mkuu mimi sihitaji kupiga dili za kidalali kwani kuna wadau wamesema hapa bongo hakuna dealer wa CROSS countries halafu mimi nahitaji new brand hivyo nategemea kuifuata mwenyewe huko majuu.
 
Last edited by a moderator:
Wakuu anayefahamu aina hizo za pikipiki anijuze nahitaji kununua.
Ni pikipiki kubwa kimuundo na ni nene, pembeni nyuma huwa na kitu kama begs ngumu. Mara nyingi nawaona nazo raia wa kigeni hasa wanaotokea South Africa.......

2012 Triumph motorcycle. 675cc. 5000kms. excellent condition. asking 13mil.
Piga simu kabla haijaondoka +255755999720
10402952_10152251108977514_215531672761958509_n.jpg

10513485_10152251108692514_8855968091794979275_n.jpg

10532568_10152251109282514_862298876349551792_n.jpg
 
Zipo nyingi tu dogo ila bei yake nikuanzia milion 15, 17, na kuendelea na hiyo ni bei ya kununulia tu, bado usajili.
 
Back
Top Bottom