Pima kabla ya kuingia kwenye ndoa, usitake kujuta

Pima kabla ya kuingia kwenye ndoa, usitake kujuta

1. HIV -UKIMWI
2. Rhesus
3. Genotype
4.Hepatitis B
5. Hepatitis C
6. Magonjwa sugu
7. Magonjwa ya akili
8. Makundi ya damu
9. Magonjwa ya zinaa
10. Magonjwa ya kurithi11.Vipimo vya uzazi, mbegu za kiume na mirija kuziba

NB:
The spiritual status of both families, wengine wachawi, waabudu sanamu, devil worshipers au wana mikataba na vitu gani sijui Familia haishi mikosi na matatizo zaidi unaweza jikuta wewe ndio kiota cha kutotolea watoto wa kafara kwenye ukoo.
Vijijiji huko mboana wanaoana na maisha yanaendelea? Au hii inahusu watu wa mjini pekee?
 
1. HIV -UKIMWI
2. Rhesus
3. Genotype
4.Hepatitis B
5. Hepatitis C
6. Magonjwa sugu
7. Magonjwa ya akili
8. Makundi ya damu
9. Magonjwa ya zinaa
10. Magonjwa ya kurithi11.Vipimo vya uzazi, mbegu za kiume na mirija kuziba

NB:
The spiritual status of both families, wengine wachawi, waabudu sanamu, devil worshipers au wana mikataba na vitu gani sijui Familia haishi mikosi na matatizo zaidi unaweza jikuta wewe ndio kiota cha kutotolea watoto wa kafara kwenye ukoo.

Muhimu sana sanaaaaa
 
1. HIV -UKIMWI
2. Rhesus
3. Genotype
4.Hepatitis B
5. Hepatitis C
6. Magonjwa sugu
7. Magonjwa ya akili
8. Makundi ya damu
9. Magonjwa ya zinaa
10. Magonjwa ya kurithi11.Vipimo vya uzazi, mbegu za kiume na mirija kuziba

NB:
The spiritual status of both families, wengine wachawi, waabudu sanamu, devil worshipers au wana mikataba na vitu gani sijui Familia haishi mikosi na matatizo zaidi unaweza jikuta wewe ndio kiota cha kutotolea watoto wa kafara kwenye ukoo.
Tutakua hatuoi sasa
 
Hilo gonjwa namba moja ni Mwenyezi Mungu atuepushe nalokabisa maana hata kama hana na wewe huna unaweza ukaletewa tuu kama Mungu ataamua kukuacha.. ila hayo Mengine yanavumilika
 
Back
Top Bottom