Na unawabanjua utakavyo.....Umeona eeh alafu uzuri wa hiv wala huna shida ya sijui arv, wee ni msosi mazoezi, maji kwa wingi na kulala vyakutosha. Mwaka wa 16 nadunda mzeya.
Wadada watamu bwana sema ndio hivyo yanga nae kazingua majuzi tukakosa mishangaziNa unawabanjua utakavyo.....
Wadada kazi wanayo π π
Wee jilie zako tuu mashangazi si yanataka maisha marahisi?? Uwe unawashauri kula vzr na kupumzika ili wadumu kama wewe..Wadada watamu bwana sema ndio hivyo yanga nae kazingua majuzi tukakosa mishangazi
Vipi, mchujo umekua mkali sana tulegeze kidogo?Mmh utatoboa kweli kupata mwenza???
Vijijiji huko mboana wanaoana na maisha yanaendelea? Au hii inahusu watu wa mjini pekee?1. HIV -UKIMWI
2. Rhesus
3. Genotype
4.Hepatitis B
5. Hepatitis C
6. Magonjwa sugu
7. Magonjwa ya akili
8. Makundi ya damu
9. Magonjwa ya zinaa
10. Magonjwa ya kurithi11.Vipimo vya uzazi, mbegu za kiume na mirija kuziba
NB:
The spiritual status of both families, wengine wachawi, waabudu sanamu, devil worshipers au wana mikataba na vitu gani sijui Familia haishi mikosi na matatizo zaidi unaweza jikuta wewe ndio kiota cha kutotolea watoto wa kafara kwenye ukoo.
Una kipini puani? Umetoboa sikio mara tatu? Uko na tattoo? Hivi ni vipimo vya harakaharaka (rapid test) ndugu mtani.Kwamba? Tumbo limeshuka au? Titri zimelala au? Yani unajuajeee... mkuu huwezi jua bana. Ni kama wenye HIV huwezi watambua kwa macho
usikariri maisha mpwa.Vijijiji huko mboana wanaoana na maisha yanaendelea? Au hii inahusu watu wa mjini pekee?
1. HIV -UKIMWI
2. Rhesus
3. Genotype
4.Hepatitis B
5. Hepatitis C
6. Magonjwa sugu
7. Magonjwa ya akili
8. Makundi ya damu
9. Magonjwa ya zinaa
10. Magonjwa ya kurithi11.Vipimo vya uzazi, mbegu za kiume na mirija kuziba
NB:
The spiritual status of both families, wengine wachawi, waabudu sanamu, devil worshipers au wana mikataba na vitu gani sijui Familia haishi mikosi na matatizo zaidi unaweza jikuta wewe ndio kiota cha kutotolea watoto wa kafara kwenye ukoo.
Tutakua hatuoi sasa1. HIV -UKIMWI
2. Rhesus
3. Genotype
4.Hepatitis B
5. Hepatitis C
6. Magonjwa sugu
7. Magonjwa ya akili
8. Makundi ya damu
9. Magonjwa ya zinaa
10. Magonjwa ya kurithi11.Vipimo vya uzazi, mbegu za kiume na mirija kuziba
NB:
The spiritual status of both families, wengine wachawi, waabudu sanamu, devil worshipers au wana mikataba na vitu gani sijui Familia haishi mikosi na matatizo zaidi unaweza jikuta wewe ndio kiota cha kutotolea watoto wa kafara kwenye ukoo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]weka jibu lako ubaki nalo.
Nimekaa nalo... πweka jibu lako ubaki nalo.
100% mpwa nakuambia π― mpwa πππGetting married now is the riskiest decision a man can make both financially and health wise
SanaInafikirisha
Dah bwana omerta a.k.a mafioso [emoji28][emoji28] wewe ni member wa familia ya Corleone au tattiglia?Nishapoa, haya maisha Mwanaume ukiwa mnyonge ni shida- ila sisi mafioso tunajua Cha kufanya mkuu