Great, great, ndoa inapofungwa na wawili inaweza kuvunjwa na mmoja.
Kama zanzibar wanaona wanaonewa wajiondoe mapema wasitubabaishe hata kidogo. KWA VILE WAO NI FIRST BENEFICIARIES AND FIRST COMPLAINERS! NDIYO MAANA WANAJUA NA HAWAJIONDOI NG'oooooooooooo!!
ONDOKENI MWAMBIE KARUME ATANGAZE KUJUIONDOA ILI KAMA TANNANYIKA ITANG'ANG'ANIA BASI uN IIINGILIE KATI ILI MUACHIWE MWENDE KWA WAARABU WENU.
MSITUBABABISHE JIONDOE HARAKA SANA
Wapi Bwana huo ni mtizamo wako lakini wakubwa wako hawana mtizamo huo. Angalia yaondolewe mafuta tu kipovu kinawatoka hawana haya wala soni wakizani Muungano ni Mafuta tu leo Wazanzibari waseme wanajitowa si mauwaji na mafunzo ya kuuwa . Angalia wakati wa uchaguzi tu leo useme kujitangazia kujitowa Muungano. Muungwana ni vitendo kama mmechoka kuambiwa ukweli tangazeni nyie ili Wazanzibari wasage meno kama mnavyodhania.