Fortilo
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 5,807
- 17,416
waziri mkuu Pinda ameyasema hayo mkoani kigoma katika hadhara iyohudhuriwa na wananchi wachache, wengi wao wakiwa watoto. Nakuongeza kwamba tukatae kurudishwa nyuma na watu wanaotaka vurugu na wasioitakia mema nchi yao..Kwani wabunge wa ccm wamechaguliwa kwa kura nyingi,vile vile rais Kikwete..hivyo maamuz watakayofanya ni kwa niaba ya umma na ni halal.
My Take..
Waziri mkuu anaungana na makada wengi wa ccm wanaofanya kampeni ya kufa na kupona kuhakikisha kuwa rais anasaini mswada wa katiba mpya uliopitishwa kwa mbwembwe na wabunge wa ccm huku ukikosolewa vikal na asas za kiraia pamoja na kukataliwa na wabunge wote wa upinzani.
leo mh. pinda anaungana na mw/kiti wa jumuia ya wazaz wa ccm bw. Abdalah Bulembo anaekebeh kaz kubwa ya tume na kumuonya jaj warioba asiwalishe watanzania maoni na kwamba kaz yake ni kuandaa rasimu ya katiba bhaasi.
maono yangu..
kuna uwezekano mkubwa kuwa rais atasaini mswada huo uwe sheria ili ku keep up na pressure ya akina wasira,pinda, bulembo na chikawe...!
ITV
tym wil tell.
My Take..
Waziri mkuu anaungana na makada wengi wa ccm wanaofanya kampeni ya kufa na kupona kuhakikisha kuwa rais anasaini mswada wa katiba mpya uliopitishwa kwa mbwembwe na wabunge wa ccm huku ukikosolewa vikal na asas za kiraia pamoja na kukataliwa na wabunge wote wa upinzani.
leo mh. pinda anaungana na mw/kiti wa jumuia ya wazaz wa ccm bw. Abdalah Bulembo anaekebeh kaz kubwa ya tume na kumuonya jaj warioba asiwalishe watanzania maoni na kwamba kaz yake ni kuandaa rasimu ya katiba bhaasi.
maono yangu..
kuna uwezekano mkubwa kuwa rais atasaini mswada huo uwe sheria ili ku keep up na pressure ya akina wasira,pinda, bulembo na chikawe...!
ITV
tym wil tell.