Pinda: Wingi wa wabunge wa CCM bungeni hauwaondolei uhalali wao kufanya mamuzi kikatiba!

Pinda: Wingi wa wabunge wa CCM bungeni hauwaondolei uhalali wao kufanya mamuzi kikatiba!

truth is not about numbers
nyie vikaragosi wa ccm mnaodhani hii nchi ni yenu au ya babayenu you are wrong, walikuwepo watu kwenye hizo nafasi na kwa sasa wengine wamekufa na wengine tunawaona wako wako tu
alikuweko malecela, lowasa na wengine je wako wapi leo?
 
Wewe wa ajabu kweli mkuu wadada washawishiwe na wewe unalilia kushawishiwa hili hili taifa mnalipeleka wapi? Acha umayai mkuu gangamala.

Lizaboni na Simiyu Yetu ni mabingwa wa kujaza seva kwa useless posts... Hawajui hata wanachokitetea masikini. Nendeni shule, tafuteni namna nyingine ya kuongeza kipato. Biashara mnaoifanya humu itaota matairi siku si nyingi!
 
Yeah!!! 286 who were elected through unfair election.

Strange democracy this!
When 40 or so odd Sugus' try to impose their will on 286 sane parliamentarians, and the Sugus' expect the rest of us intelligent beings to understand their whimps and stomps.

Ikishindikana there is always the law of the jungle, the better man will win.
 
kauli zenyewe zimepinda kama pinda sishangaa maccm wakimsifia Mungu amewanyima busara maccm wote.
 
Jk amesaini mswada jana hakuna mjadala tena hatuwezi kuwa na taifa linaloongozwa kwa mashinikizo.

Kama Kikwete amesaini huo muswada jana kama mnavyosema, basi mjue he has signed a recipe for this country's disaster!!! Nadhani chama cha magamba kinaBEEP kuona hasira ya wananchi ina ukomo gani!
 
Demokrasia huwa ni utumbo, hukufundishwa shuleni?
Kwa msemo rahisi unoweza kuelewa unaitwa "Wengi wape".

Sasa kama nyie wachache mnaweza kuandamana dhidi ys wengi you are welcome.

Mkuu umenielewaa vibaya..however democracy haimaanishi wengi wape tuu, pia how you treat minority count a lot. Akili za wanasiasa wanafahamu democracy ni katika kipindi cha uchaguzi tu.

BTW pinda ni Mzigo katika hili taifa, hana impact yoyote nafasi yake inaonekana kama ceremonial position kiasi kwamba akienda sehemu kama Arusha akina mama wanamuona Lema mkombozi bila kujua Pinda ana nguvu ya kuleta mabadiliko ya harka kuliko Lema

Pinda ni aina ya wale watu waliokuwa waoga na wenye akili darasani (za kukariri), akiambiwa fanya hivi anafanya bila kushirikisha ubongo, in short pinda ni aibu kwa taifa.
 
waziri mkuu Pinda ameyasema hayo mkoani kigoma katika hadhara iyohudhuriwa na wananchi wachache, wengi wao wakiwa watoto. Nakuongeza kwamba tukatae kurudishwa nyuma na watu wanaotaka vurugu na wasioitakia mema nchi yao..Kwani wabunge wa ccm wamechaguliwa kwa kura nyingi,vile vile rais Kikwete..hivyo maamuz watakayofanya ni kwa niaba ya umma na ni halal.
My Take..

Waziri mkuu anaungana na makada wengi wa ccm wanaofanya kampeni ya kufa na kupona kuhakikisha kuwa rais anasaini mswada wa katiba mpya uliopitishwa kwa mbwembwe na wabunge wa ccm huku ukikosolewa vikal na asas za kiraia pamoja na kukataliwa na wabunge wote wa upinzani.
leo mh. pinda anaungana na mw/kiti wa jumuia ya wazaz wa ccm bw. Abdalah Bulembo anaekebeh kaz kubwa ya tume na kumuonya jaj warioba asiwalishe watanzania maoni na kwamba kaz yake ni kuandaa rasimu ya katiba bhaasi.
maono yangu..

kuna uwezekano mkubwa kuwa rais atasaini mswada huo uwe sheria ili ku keep up na pressure ya akina wasira,pinda, bulembo na chikawe...!
ITV

tym wil tell.

Hiyo ndiyo tabu ya kuwa kiongozi wa serikali inayovururnda na chama kinachopoteza mvuto kwa kasi. Kimsingi ukimsikiliza Pinda na wenzake ni like wanalalamika flani. Sasa tutegemee nini pale familia inapokuwa na baba analalamika, mama anamuuliza baba tufanyeje na watoto wanachanganyikiwa?

Ushauri wa bure kwo ni kuwa waanze kuangalia uelekeo mpya. wachague kuacha wizi ,ufisadi na uhuni. Au wawe wapinzani kwa hiyari yao, kwani tunakoelekea wataachia tu hata na ubabe na wizi wa kura wanaofanya.
 
Mkuu umenielewaa vibaya..however democracy haimaanishi wengi wape tuu, pia how you treat minority count a lot. Akili za wanasiasa wanafahamu democracy ni katika kipindi cha uchaguzi tu.

BTW pinda ni Mzigo katika hili taifa, hana impact yoyote nafasi yake inaonekana kama ceremonial position kiasi kwamba akienda sehemu kama Arusha akina mama wanamuona Lema mkombozi bila kujua Pinda ana nguvu ya kuleta mabadiliko ya harka kuliko Lema

Pinda ni aina ya wale watu waliokuwa waoga na wenye akili darasani (za kukariri), akiambiwa fanya hivi anafanya bila kushirikisha ubongo, in short pinda ni aibu kwa taifa.
Mkuu with all due respect, the truth cannot be denied or bent to suit ones whims.
Pinda kasema kweli na hilo halina ubishi.

Na pengine yaliyotokea yatakuwa fundisho kubwa kwa vyama vidogo vyenye uwakilishi bungeni.
Kususia Bunge was actually a blunder on the part of CHADEMA an Co.
Kama kuingia chupa, basi CHADEMA and Co wameingia sawia ndani ya cgupa ya CCM, na hakuna maandamano wala kelele zitakazobadilisha ukweli huo.

Busara ilikuwa inataka vyama vya upinzani waende sambamba katika mjadala ambao ulikuwa haujaisha anyway.
Ingetupendeza hata sisi wana CCM tunaopendelea serikali tatu.

Lakini kwa fujo zilizoonekana bungeni , na yaliyojiri mikutanoni, matusi na vingine vingi havitawasaidia sana CHADEMA kupata kile wanachotaka kijadiliwe, kwa vile kama ni ubabe hata CCM wako wababe, kama ni uhuni hata CCM wako wa aina hiyo.

Busara zaidi inatakiwa , na lazima kuwe na situation ya give and take, katika negotiations ya Tanzania ile tunayoitaka.
 
Yeah!!! 286 who were elected through unfair election.
Mkuu uwe unakubali basi kushindwa with grace!
Hiyo ndio demokrasia.
Mkishinda 2015, na sisi tukaandamana ili mtoke madarakani hiyo itakuwa anarchy!
 
Hiyo kauli ya wengi wape kuna mahara pake na sio kwa kila jambo,ccm na wabunge wao wengi hatujawahi kuona wakipitsha jambo lenye masilahi kwa wapiga kura,walisaini mikataba ya madini hakuna maslihi kwa wananchi,walipitsha sheria ya manunuzi haina masilah kwa wananchi,walipitisha sheria ya mafao ya kujitoa haikuwa na masilahi kwa wananchi,wakapitisha sheria ya rushwa kuwa takrima nayo ni tatzo,wamepitisha sheria ya kodi ya simu ni kilio kila kona,natafta faida ya wingi wa wabunge wa ccm katka taifa hili sioni.
We acha tu mkuu nchi hii tutaona na kusikia mengi
 
waziri mkuu Pinda ameyasema hayo mkoani kigoma katika hadhara iyohudhuriwa na wananchi wachache, wengi wao wakiwa watoto. Nakuongeza kwamba tukatae kurudishwa nyuma na watu wanaotaka vurugu na wasioitakia mema nchi yao..Kwani wabunge wa ccm wamechaguliwa kwa kura nyingi,vile vile rais Kikwete..hivyo maamuz watakayofanya ni kwa niaba ya umma na ni halal.
My Take..

Waziri mkuu anaungana na makada wengi wa ccm wanaofanya kampeni ya kufa na kupona kuhakikisha kuwa rais anasaini mswada wa katiba mpya uliopitishwa kwa mbwembwe na wabunge wa ccm huku ukikosolewa vikal na asas za kiraia pamoja na kukataliwa na wabunge wote wa upinzani.
leo mh. pinda anaungana na mw/kiti wa jumuia ya wazaz wa ccm bw. Abdalah Bulembo anaekebeh kaz kubwa ya tume na kumuonya jaj warioba asiwalishe watanzania maoni na kwamba kaz yake ni kuandaa rasimu ya katiba bhaasi.
maono yangu..

kuna uwezekano mkubwa kuwa rais atasaini mswada huo uwe sheria ili ku keep up na pressure ya akina wasira,pinda, bulembo na chikawe...

tym wil tell.[/QU
Tatizo wabunge hao wa CCM wameweka maslahi ya chama zaidi kuliko utaifa, akitokea mbunge mwenye mtazamo tofauti ataitwa msaliti
 
Acha kuongea kama umevurugwa tatizo lenu bavicha kila kitu manaweka ushabiki mnataka wabunge wa ccm wakubaliane na hoja za akina mbowe za kuleta fujo bungeni na kupigana bila hata ya kuheshimu kiti cha spika kitu ambacho ni ujuha mkubwa sana.

utaheshimuje kiti kinachoongozwa na mburula,anafanya maamuzi ya kipuuz kukitetea chama chake kinachozama.na angejua tunavyowachukia angeomba hata afe huyo gamba
 
Samahani kuuliza. Mh Pinda yuko kwenye ziara ya kiserikali ama kichama?. Kwa gharama za nani?.

Kwa sasa tuna vyama vingi Tanzania na wala si chama kimoja kama zamani.

Viongozi ni lazima na ni muhimu kuelewa hilo.
 
Back
Top Bottom