Pinda: Wingi wa wabunge wa CCM bungeni hauwaondolei uhalali wao kufanya mamuzi kikatiba!

Pinda: Wingi wa wabunge wa CCM bungeni hauwaondolei uhalali wao kufanya mamuzi kikatiba!

Liwalo na liwe! Wapigwe tu....hapo ni hakuna kitu ni basi tu jamani ili mradi hicho cheo kinaonekana kuna anayeitwa hivyo...
 
Ugomvi uliyopo si uwingi wa wabunge wa CCM bali nipale ambapo wabunge CCM wanapotumia uwingi wao kukitetea chama badala ya wananchi.
Acha kuongea kama umevurugwa tatizo lenu bavicha kila kitu manaweka ushabiki mnataka wabunge wa ccm wakubaliane na hoja za akina mbowe za kuleta fujo bungeni na kupigana bila hata ya kuheshimu kiti cha spika kitu ambacho ni ujuha mkubwa sana.
 
Slaa alisema lazima wabunge watandikane makonde kwanza bungeni kwa hiyo hayo ndiyo mawazo mnayoyataka?
 
waziri mkuu Pinda ameyasema hayo mkoani kigoma katika hadhara iyohudhuriwa na wananchi wachache, wengi wao wakiwa watoto. Nakuongeza kwamba tukatae kurudishwa nyuma na watu wanaotaka vurugu na wasioitakia mema nchi yao..Kwani wabunge wa ccm wamechaguliwa kwa kura nyingi,vile vile rais Kikwete..hivyo maamuz watakayofanya ni kwa niaba ya umma na ni halal.
My Take..

Waziri mkuu anaungana na makada wengi wa ccm wanaofanya kampeni ya kufa na kupona kuhakikisha kuwa rais anasaini mswada wa katiba mpya uliopitishwa kwa mbwembwe na wabunge wa ccm huku ukikosolewa vikal na asas za kiraia pamoja na kukataliwa na wabunge wote wa upinzani.
leo mh. pinda anaungana na mw/kiti wa jumuia ya wazaz wa ccm bw. Abdalah Bulembo anaekebeh kaz kubwa ya tume na kumuonya jaj warioba asiwalishe watanzania maoni na kwamba kaz yake ni kuandaa rasimu ya katiba bhaasi.
maono yangu..

kuna uwezekano mkubwa kuwa rais atasaini mswada huo uwe sheria ili ku keep up na pressure ya akina wasira,pinda, bulembo na chikawe...!
ITV

tym wil tell.
Nyie mamburula wa kisiasa sijui lini mtaelewa utaratibu wa kutunga sheria.

PM hapigi kampeni ywye ni mwanasheria wa siku nyingi. Anawaeleza jinsi vyama pinzani vinavyofikiri vinaweza kuteka uyaratibu wa kutunga sheria nje ya Bunge kwa maandamano.
 
Siku zote huyu anaropoka, hajawahi hata siku moja kutoa kauli yenye mshiko, "Mafisadi wa EPA ni matajiri wakubwa sana nchini kama watakamatwa basi nchi itawaka moto." Hana alijualo zaidi ya kupayukapayuka bila kufikiri.
 
Huyu Mzee si akafuge nyuki tu..........! Sijawahi kuona akifanya maamuzi magumu hata siku moja!! Kazi yake ni kulopoka, kulia ku sympathize............!
 
Acha kuongea kama umevurugwa tatizo lenu bavicha kila kitu manaweka ushabiki mnataka wabunge wa ccm wakubaliane na hoja za akina mbowe za kuleta fujo bungeni na kupigana bila hata ya kuheshimu kiti cha spika kitu ambacho ni ujuha mkubwa sana.

mbowe hakuleta fujo ila udhaifu wa N/spika hajiamini,kwa nn asimpe nafasi aongee,tatizo ndugai anaingia bungeni kapiga viroba, mbona huyu anayeongea povu anapewa kila akiomba(lookv) we mwigulu umekalia ushabiki tu,huyo Pm hata hiyo sheria cjui alisomaje? Maana anaongea kauli tata cku zote huyo angepewa uwaziri wa wanyapori na waasi ra awe naibu wake wawe wanashinda polin na wanyama,maana hata hapo akibanwa tu anaanza kulia pm gani huyo
 
Huyu Mzee si akafuge nyuki tu..........! Sijawahi kuona akifanya maamuzi magumu hata siku moja!! Kazi yake ni kulopoka, kulia ku sympathize............!

Wanachama watiifu wa chama ndani ya CHADEMA kinachoitwa chadeMATUSI.
 
Siku zote huyu anaropoka, hajawahi hata siku moja kutoa kauli yenye mshiko, "Mafisadi wa EPA ni matajiri wakubwa sana nchini kama watakamatwa basi nchi itawaka moto." Hana alijualo zaidi ya kupayukapayuka bila kufikiri.
Mkuu you are always off point.
Jibuni demokrasia maana yake nini.
 
Kwa akili yako ya kibavicha unataka itumike njia ipi,
walipiga kura za ndiyo wakashindwa,
wakahesabu napo wakashindwa au ulitaka njia ya kutoka bungeni ndiyo itumike?

Ngoja nchi ikombolewe utatafutwa tu.
 
lakini kama nyie hamkubaliani na majority ya wabunge kua haiwakilishi watz 40 ml ni kwa namna gani wabunge wenu wachache wanawakilisha watz 40 ml? kuna siku kura itpigwa pia hamtakubaliana nayo na kudai ccm ni wengi. namtaka Rais asaini baadaye 2015 mkishika nchi andikeni mnayoitaka nyie. rasimu haina tatizo ila wanasiasa ndio wenye matatizo kwa kuweka maslahi yao binafsi na vyama vyao mbele,taifa na wananchi baadaye
 
Masikini kikwete,kila upande wa washauri wake ni wasaliti na wavurugaji wa malengo yake ya kupata katiba mpya! Wahafidhina ndani ya ccm wamejipanga kumkwamisha rais kikwete kuelekea kupata katiba mpya wakiwa na hoja kwamba haikuwa ajenda ya chama chao! Katika kundi hilo baadhi yao ni wabunge,mawaziri na viongozi ndani ya ccm!
 
Wadau mtambue kuwa huenda 2015 idad ya watanzania wenye umri wa kupiga kura itapungua,,,,,,,
kwa upuuzi unaoendelea kwenye siasa za TANZANIA
 
Acha kuongea kama umevurugwa tatizo lenu bavicha kila kitu manaweka ushabiki mnataka wabunge wa ccm wakubaliane na hoja za akina mbowe za kuleta fujo bungeni na kupigana bila hata ya kuheshimu kiti cha spika kitu ambacho ni ujuha mkubwa sana.

------- peke yake ndiye anae weza kusema kuwa wapinzani wanafanya fujo.Wakati wafanya fujo ni wabunge wa CCM wakiongozwa na Ndugai aliye Kifanya kiti kama mbeleko ya kuwabebea CCM.
 
Hivi Hawa wachache wanatishia ccm mpaka wanataka kutumia uwingi kulazimisha mswada wa katiba na sio maridhiano ya wote? tuache kuburuzana tukubaliane. Katika katiba...
 
Kwa akili yako ya kibavicha unataka itumike njia ipi,
walipiga kura za ndiyo wakashindwa,
wakahesabu napo wakashindwa au ulitaka njia ya kutoka bungeni ndiyo itumike?

kwa wehu wako wabunge hao wasitambua wajibu wao leo wakisema wapinzani wanyongwe basi kwa wingi wao tunyongwe kisa ni wengi wape,ujinga na utaahira usio na mwisho,endereeni kujidanganya ila kuna sku hamtaamini macho yenu.
 
Back
Top Bottom