Pinda: Wingi wa wabunge wa CCM bungeni hauwaondolei uhalali wao kufanya mamuzi kikatiba!

Pinda: Wingi wa wabunge wa CCM bungeni hauwaondolei uhalali wao kufanya mamuzi kikatiba!

hivi wewe unafikiri nini faida ya majority in the parliament kama wachache wanabadilisha maamuzi ya wengi? Rais atasaini tu kwani pamoja na kuwa yeye ni mkuu wa nchi, lakini pia ni mwenyekiti wa chama chenye majority bungeni

Wote hawa ni majanga ila mwenzake siwezi sana kumlaumu kwani tuko ktk dozi...Ila Lizaboni,Simiyu nao huenda wanamaambukizi pia.You damn sheet you are after quantity and not quality!wewe wingi usio na faida ndo mnaoushabikia ni lini uamuzi wao umekuwa na manufaa angalia kodi za kadi za simu ni wangapi wanaozipinga hata hayo maCCM menzako kama Nape alipinga bado hujaona ni akili zinazo-shake azina msimamo!kwa hili huo wingi wao umetusaidia nini.Hatuishi kutegemea wingi bali ubora hebu elimikeni acheni kuweka tumbo mbele kichwa nyuma ukombozi wa kifikra utawajia soon or later!
Wapigwe tuu..tukiwakamata mafisadi wa epa nchi itawaka moto...wanaoua albino nao wauawe..mtu wa mtiririko huu wa maneno unaweza kumuamini hata kumsikiliza?It is very dangerous to be a sincere unless you are a stupid!

 
Naona aibu kusema Pinda ni waziri mkuu wetu wa Tanzania, he is full of hypocrisy. Recently amekuwa akiongea utumbo utafikiri sio mwanasheria.
 
Hiyo kauli ya wengi wape kuna mahara pake na sio kwa kila jambo,ccm na wabunge wao wengi hatujawahi kuona wakipitsha jambo lenye masilahi kwa wapiga kura,walisaini mikataba ya madini hakuna maslihi kwa wananchi,walipitsha sheria ya manunuzi haina masilah kwa wananchi,walipitisha sheria ya mafao ya kujitoa haikuwa na masilahi kwa wananchi,wakapitisha sheria ya rushwa kuwa takrima nayo ni tatzo,wamepitisha sheria ya kodi ya simu ni kilio kila kona,natafta faida ya wingi wa wabunge wa ccm katka taifa hili sioni.
we mura acha hizo! kama si ccm budget ya mwaka huu ingepita? wewe na ndugu zako wanajeshi mngetapata wapi mishahara? waalimu je? manes najua huwapendi police shauri ya lile shamba lako la bange, ila kuna watu wanahitaji huduma zao anyway, je mshahara wangepata wapi? in fact kama unafuatilia maswala ya kimataifa sasa hivi USA wana tatizo kubwa kuptisha budget sababu ya kuwa na wabunge wengi wa upinzani kwa kisingizio cha Obamacare, na sas hivi serikal ipo kwenye shutdown process. so watanzania tunatakiwa kujifunza from there ila kama kawaida waafrika tupo wavivu sana kufikiri! wakenya wame copy na ku-paste katiba ya USA sasa ngoja tuone wataishia wapi! African! yaani tuna matatizo we acha tu! we never learn! so sad to say.
 
hivi wewe unafikiri nini faida ya majority in the parliament kama wachache wanabadilisha maamuzi ya wengi? Rais atasaini tu kwani pamoja na kuwa yeye ni mkuu wa nchi, lakini pia ni mwenyekiti wa chama chenye majority bungeni
..kama analysis yako ya kufanya maamuzi inabase kwenye uwingi wa watu tu, basi hufai kuwa hata baba wa familia,jiulize maamuzi ya kuingia vyama vingi yalizingatia nini. kwaakili yako ndogo utasema tuliona turuhusu demokrasia...! ni zaidi ya hilo bwana mdogo grow up acha kuchumia tumbo utaelewa dunia inakwendaje...
 
Kwani hiyo RASIMU itapigiwa kura wa WABUNGE TU. Mwacheni RAIS aisaini. Lakini ajue fika wakiirudisha kwetu WENYE NCHI tutaipigia KURA YA HAPANA. History has a tendecy of repeating itself. Mwai Kibaki alijaribu kufanya hivyo Kenya. Wakenya wakaishia kuikataa hio KATIBA. The problem is that CCM can't borrow a leaf from Kenya.

Masikitiko yangu makubwa ni kwamba tumepoteza mapesa yetu bure kwenye huu mchakato KANGAROO wa kuandika KATIBA mpya.

I believe katiba mpya tutaipata CDM watakapoingia madarakani 2015. Labda kama nao watatusaliti, lakini ni bora tujaribishe another alternative.
 
...kauli za huyu mzee huwa sizipi hadhi ya waziri mkuu,maana katoa kauli,matamko na maamuzi meengi ambayo wakubwa wake wakayapuuzia on the spot. na alipolilia uwaziri mkuu hapo ndo nika mtoa kabsaa kwenye rekodi zangu, so naiona kawaida sana...
 
Wote hawa ni majanga ila mwenzake siwezi sana kumlaumu kwani tuko ktk dozi...Ila Lizaboni,Simiyu nao huenda wanamaambukizi pia.You damn sheet you are after quantity and not quality!wewe wingi usio na faida ndo mnaoushabikia ni lini uamuzi wao umekuwa na manufaa angalia kodi za kadi za simu ni wangapi wanaozipinga hata hayo maCCM menzako kama Nape alipinga bado hujaona ni akili zinazo-shake azina msimamo!kwa hili huo wingi wao umetusaidia nini.Hatuishi kutegemea wingi bali ubora hebu elimikeni acheni kuweka tumbo mbele kichwa nyuma ukombozi wa kifikra utawajia soon or later!
Wapigwe tuu..tukiwakamata mafisadi wa epa nchi itawaka moto...wanaoua albino nao wauawe..mtu wa mtiririko huu wa maneno unaweza kumuamini hata kumsikiliza?It is very dangerous to be a sincere unless you are a stupid!

hakuna serikali yoyote duniani inayoendeshwa kwa quality and quantity! wake up! serikali zote zinaendeshwa kwa mtindo wa majority and minority! na ndio maana ya kupiga kura au alternatively ni zile za monarchy rule ngoja tuone hiyo ya cdm itakuwa kivutio cha utalii watu watakuja kujifunza maana tembo na twiga watakua wameisha.
 
hakuna serikali yoyote duniani inayoendeshwa kwa quality and quantity! wake up! serikali zote zinaendeshwa kwa mtindo wa majority and minority! na ndio maana ya kupiga kura au alternatively ni zile za monarchy rule ngoja tuone hiyo ya cdm itakuwa kivutio cha utalii watu watakuja kujifunza maana tembo na twiga watakua wameisha.

Unakimbilia penye dot badala ya tundu.nilimaanisha wingi sii hoja bali kilichoamuliwa na hao wengi is it material or immaterial!Pia inategemea aina ya management inayoongoza kwani nijuavyo zipo za aina 3!
 
Unakimbilia penye dot badala ya tundu.nilimaanisha wingi sii hoja bali kilichoamuliwa na hao wengi is it material or immaterial!Pia inategemea aina ya management inayoongoza kwani nijuavyo zipo za aina 3!


Tuna hakika gani kwmba hao wabunge wengi ndio wanawakilisha mawazo ya watz.
Na km ccm inawakilisha mawazo ya watz wengi lwa nini tulopoteza fedha kuunda tume kwa nini hao ccm wasingekaa pale mjengoni wakatengeneza katiba yao. Kumbe haya yote ya kuunda tume ni kiini macho tu. Poor maccm
 
hivi wewe unafikiri nini faida ya majority in the parliament kama wachache wanabadilisha maamuzi ya wengi? Rais atasaini tu kwani pamoja na kuwa yeye ni mkuu wa nchi, lakini pia ni mwenyekiti wa chama chenye majority bungeni

Rais ni taasisi inayo jitegemea kwahiyo haiwezi shurutishwa na maamuzi ya wengi au wachache. Uzuri wa Ofisi ya Rais ina wataalamu wengi ambao anaweza kuwatumia akihitaji ushauri wao. Suala ni je Rais atakubali ushauri kutoka kwa upande gani? Mathalani ulipotokea mkanganyano wa ile sharia ya kuunda tume ya kurekebisha katiba Rais aliamuru ifanyiwe marekebisho mapema tu baada ya kupitishwa.
Mfano mwingine mzuri ni Rais Zuma hivi karibuni amegoma kuridhia sharia ya Siri kwa kudai inakiuka haki za binadamu na katiba ya nchi. Kumbuka sharia hii imepitishwa na Bunge lenye wabunge wengi wa chama chake.

Cha msingi ni Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania ana dhamira ya dhati kwenye heri jambo au ndo geresha ya Rais ya HUU NI UPEPO NAO UTAPITA.
 
Jk amesaini mswada jana hakuna mjadala tena hatuwezi kuwa na taifa linaloongozwa kwa mashinikizo.

Hongera zake! Aongeze na mkataba wa kutawala milele, akichoka yeye anashika mke wake then watoto wake!!
 
Naona aibu kusema Pinda ni waziri mkuu wetu wa Tanzania, he is full of hypocrisy. Recently amekuwa akiongea utumbo utafikiri sio mwanasheria.

Demokrasia huwa ni utumbo, hukufundishwa shuleni?
Kwa msemo rahisi unoweza kuelewa unaitwa "Wengi wape".

Sasa kama nyie wachache mnaweza kuandamana dhidi ys wengi you are welcome.
 
hivi wewe unafikiri nini faida ya majority in the parliament kama wachache wanabadilisha maamuzi ya wengi? Rais atasaini tu kwani pamoja na kuwa yeye ni mkuu wa nchi, lakini pia ni mwenyekiti wa chama chenye majority bungeni

Rais ni taasisi inayo jitegemea kwahiyo haiwezi shurutishwa na maamuzi ya wengi au wachache. Uzuri wa Ofisi ya Rais ina wataalamu wengi ambao anaweza kuwatumia akihitaji ushauri wao. Suala ni je Rais atakubali ushauri kutoka kwa upande gani? Mathalani ulipotokea mkanganyano wa ile sharia ya kuunda tume ya kurekebisha katiba Rais aliamuru ifanyiwe marekebisho mapema tu baada ya kupitishwa.
Mfano mwingine mzuri ni Rais Zuma hivi karibuni amegoma kuridhia sharia ya Siri kwa kudai inakiuka haki za binadamu na katiba ya nchi. Kumbuka sharia hii imepitishwa na Bunge lenye wabunge wengi wa chama chake.

Cha msingi ni Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania ana dhamira ya dhati kwenye heri jambo au ndo geresha ya Rais ya HUU NI UPEPO NAO UTAPITA.
 
Pinda ni aibu kwa wanasheria wote TZ! Makinda ni aibu kwa wahasibu wote Tz!
Kigwangala ni aibu kwa madaktari Tz!
Serukamba ni aibu kwa mainjinia wote!
Lusinde (kibajaj) ni aibu kwa wasiosoma wote Tz!
Mama Lwakatare na wizi wa umeme ni aibu kwa wachungaji wote Tanzania!
Lowasa ni aibu kwa mafisadi wote Tz!
Hadi sasa sijaona makosa ya Prof. Maji marefu, hongera sana wachawi wa Tz!
 
Pinda ni aibu kwa wanasheria wote TZ! Makinda ni aibu kwa wahasibu wote Tz!
Kigwangala ni aibu kwa madaktari Tz!
Serukamba ni aibu kwa mainjinia wote!
Lusinde (kibajaj) ni aibu kwa wasiosoma wote Tz!
Mama Lwakatare na wizi wa umeme ni aibu kwa wachungaji wote Tanzania!
Lowasa ni aibu kwa mafisadi wote Tz!
Hadi sasa sijaona makosa ya Prof. Maji marefu, hongera sana wachawi wa Tz!
Heri nyie mnaoongozwa na Josephine kwa remote control!
 
Tuna hakika gani kwmba hao wabunge wengi ndio wanawakilisha mawazo ya watz.
Na km ccm inawakilisha mawazo ya watz wengi lwa nini tulopoteza fedha kuunda tume kwa nini hao ccm wasingekaa pale mjengoni wakatengeneza katiba yao. Kumbe haya yote ya kuunda tume ni kiini macho tu. Poor maccm

Mkuu nimemjibu mj..nga fulani aitwae m23 kwamba wabunge wao magamba kwa vile ni wengi wahahaki ya kuamua mambo.mi nikamuuliza tuangalie wingi (quantity) au tuangalie ubora (Quality) ndo likaja na kajibu ya ajabu
 
Pinda amepinda kimawazo sana,kwake siku hizi ni wapigwe tu,liwalo na liwe na nk! Kikwete sijui ataokolewa na nani!
 
Mkuu it is vice versa...Have a great day 🙂🙂

Strange democracy this!
When 40 or so odd Sugus' try to impose their will on 286 sane parliamentarians, and the Sugus' expect the rest of us intelligent beings to understand their whimps and stomps.

Ikishindikana there is always the law of the jungle, the better man will win.
 
Back
Top Bottom