Mount Kibo
JF-Expert Member
- Apr 7, 2013
- 1,956
- 553
hivi wewe unafikiri nini faida ya majority in the parliament kama wachache wanabadilisha maamuzi ya wengi? Rais atasaini tu kwani pamoja na kuwa yeye ni mkuu wa nchi, lakini pia ni mwenyekiti wa chama chenye majority bungeni
Wote hawa ni majanga ila mwenzake siwezi sana kumlaumu kwani tuko ktk dozi...Ila Lizaboni,Simiyu nao huenda wanamaambukizi pia.You damn sheet you are after quantity and not quality!wewe wingi usio na faida ndo mnaoushabikia ni lini uamuzi wao umekuwa na manufaa angalia kodi za kadi za simu ni wangapi wanaozipinga hata hayo maCCM menzako kama Nape alipinga bado hujaona ni akili zinazo-shake azina msimamo!kwa hili huo wingi wao umetusaidia nini.Hatuishi kutegemea wingi bali ubora hebu elimikeni acheni kuweka tumbo mbele kichwa nyuma ukombozi wa kifikra utawajia soon or later!
Wapigwe tuu..tukiwakamata mafisadi wa epa nchi itawaka moto...wanaoua albino nao wauawe..mtu wa mtiririko huu wa maneno unaweza kumuamini hata kumsikiliza?It is very dangerous to be a sincere unless you are a stupid!