VOICE OF MTWARA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 2,987
- 1,954
Wewe wa ajabu kweli mkuu wadada washawishiwe na wewe unalilia kushawishiwa hili hili taifa mnalipeleka wapi? Acha umayai mkuu gangamala.
Strange democracy this!
When 40 or so odd Sugus' try to impose their will on 286 sane parliamentarians, and the Sugus' expect the rest of us intelligent beings to understand their whimps and stomps.
Ikishindikana there is always the law of the jungle, the better man will win.
Jk amesaini mswada jana hakuna mjadala tena hatuwezi kuwa na taifa linaloongozwa kwa mashinikizo.
Demokrasia huwa ni utumbo, hukufundishwa shuleni?
Kwa msemo rahisi unoweza kuelewa unaitwa "Wengi wape".
Sasa kama nyie wachache mnaweza kuandamana dhidi ys wengi you are welcome.
waziri mkuu Pinda ameyasema hayo mkoani kigoma katika hadhara iyohudhuriwa na wananchi wachache, wengi wao wakiwa watoto. Nakuongeza kwamba tukatae kurudishwa nyuma na watu wanaotaka vurugu na wasioitakia mema nchi yao..Kwani wabunge wa ccm wamechaguliwa kwa kura nyingi,vile vile rais Kikwete..hivyo maamuz watakayofanya ni kwa niaba ya umma na ni halal.
My Take..
Waziri mkuu anaungana na makada wengi wa ccm wanaofanya kampeni ya kufa na kupona kuhakikisha kuwa rais anasaini mswada wa katiba mpya uliopitishwa kwa mbwembwe na wabunge wa ccm huku ukikosolewa vikal na asas za kiraia pamoja na kukataliwa na wabunge wote wa upinzani.
leo mh. pinda anaungana na mw/kiti wa jumuia ya wazaz wa ccm bw. Abdalah Bulembo anaekebeh kaz kubwa ya tume na kumuonya jaj warioba asiwalishe watanzania maoni na kwamba kaz yake ni kuandaa rasimu ya katiba bhaasi.
maono yangu..
kuna uwezekano mkubwa kuwa rais atasaini mswada huo uwe sheria ili ku keep up na pressure ya akina wasira,pinda, bulembo na chikawe...!
ITV
tym wil tell.
Mkuu with all due respect, the truth cannot be denied or bent to suit ones whims.Mkuu umenielewaa vibaya..however democracy haimaanishi wengi wape tuu, pia how you treat minority count a lot. Akili za wanasiasa wanafahamu democracy ni katika kipindi cha uchaguzi tu.
BTW pinda ni Mzigo katika hili taifa, hana impact yoyote nafasi yake inaonekana kama ceremonial position kiasi kwamba akienda sehemu kama Arusha akina mama wanamuona Lema mkombozi bila kujua Pinda ana nguvu ya kuleta mabadiliko ya harka kuliko Lema
Pinda ni aina ya wale watu waliokuwa waoga na wenye akili darasani (za kukariri), akiambiwa fanya hivi anafanya bila kushirikisha ubongo, in short pinda ni aibu kwa taifa.
Mkuu uwe unakubali basi kushindwa with grace!Yeah!!! 286 who were elected through unfair election.
We acha tu mkuu nchi hii tutaona na kusikia mengiHiyo kauli ya wengi wape kuna mahara pake na sio kwa kila jambo,ccm na wabunge wao wengi hatujawahi kuona wakipitsha jambo lenye masilahi kwa wapiga kura,walisaini mikataba ya madini hakuna maslihi kwa wananchi,walipitsha sheria ya manunuzi haina masilah kwa wananchi,walipitisha sheria ya mafao ya kujitoa haikuwa na masilahi kwa wananchi,wakapitisha sheria ya rushwa kuwa takrima nayo ni tatzo,wamepitisha sheria ya kodi ya simu ni kilio kila kona,natafta faida ya wingi wa wabunge wa ccm katka taifa hili sioni.
waziri mkuu Pinda ameyasema hayo mkoani kigoma katika hadhara iyohudhuriwa na wananchi wachache, wengi wao wakiwa watoto. Nakuongeza kwamba tukatae kurudishwa nyuma na watu wanaotaka vurugu na wasioitakia mema nchi yao..Kwani wabunge wa ccm wamechaguliwa kwa kura nyingi,vile vile rais Kikwete..hivyo maamuz watakayofanya ni kwa niaba ya umma na ni halal.
My Take..
Waziri mkuu anaungana na makada wengi wa ccm wanaofanya kampeni ya kufa na kupona kuhakikisha kuwa rais anasaini mswada wa katiba mpya uliopitishwa kwa mbwembwe na wabunge wa ccm huku ukikosolewa vikal na asas za kiraia pamoja na kukataliwa na wabunge wote wa upinzani.
leo mh. pinda anaungana na mw/kiti wa jumuia ya wazaz wa ccm bw. Abdalah Bulembo anaekebeh kaz kubwa ya tume na kumuonya jaj warioba asiwalishe watanzania maoni na kwamba kaz yake ni kuandaa rasimu ya katiba bhaasi.
maono yangu..
kuna uwezekano mkubwa kuwa rais atasaini mswada huo uwe sheria ili ku keep up na pressure ya akina wasira,pinda, bulembo na chikawe...
tym wil tell.[/QU
Tatizo wabunge hao wa CCM wameweka maslahi ya chama zaidi kuliko utaifa, akitokea mbunge mwenye mtazamo tofauti ataitwa msaliti
Acha kuongea kama umevurugwa tatizo lenu bavicha kila kitu manaweka ushabiki mnataka wabunge wa ccm wakubaliane na hoja za akina mbowe za kuleta fujo bungeni na kupigana bila hata ya kuheshimu kiti cha spika kitu ambacho ni ujuha mkubwa sana.