Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanzo nilikuwa nabisha lakini sasa nimeamini kwamba Zanzibar inatawaliwa na Tanganyika .
Hivi kwa dunia ya sasa inaruhusiwa kutawala nchi nyingine kwa mabavu ?
Namimi pia yangu macho,Warioba alitaka kuwapa Uhuru wao wenyewe wakaukataa wakiong'ozwa na balozi wao wa nyumba kumi sasa wanapiga kelele za mini wakati uraisi wenyewe wa Zanzibar unajulikana kwamba mwisho chumbeImekuwa ikisemekana zanzibar ni nchi lakini hivi karibuni imegundulika sio nchi, wala dola, wala nchi iliyo huru bali ni sehemu ya Jamhuri ya muungano wa tanzania au unaweza kusema ni eneo la Tanzania au mkoa wa Tanzania au jimbo la tanzania
Hiyo bendera waliyonayo, wimbo walionao na rais wanaemchagua ni geresha tu
Wiki iliyopita wakati CAF wakiifutia zanzibar uanachama walihoji kama kuna nchi duniani inaitwa zanzibar inayojitegemea na mambo yake binafsi kama sudani kusini
Wakaangalia na ramani ya dunia kama kuna nchi inaitwa zanzibar hawakuiona bali waliishia kuiona Tanzania tu
So wale wanaosema zanzibar ni nchi hili wanalitoa wapi? Kama dunia haijui kuna nchi inaitwa zanzibar bali ni sehemu ya tanzania
Huu urais huko zanzibar
Na bendera waliyo nayo na wimbo walionao unawasaidiaje kuwa nchi inayotambulika?
Yangu macho
Muulize magufuli.Kwahiyo kuna Tanzania na Zanzibar? Tanganyika ipo wapi?
Raid??, uwe unapitia bandiko kabla ya kupostZanzibar ni mkoa wa Tanzania,hawana jeshi hawawezi kuwa nchi kuwa na raid sio shida,mbona yanga wana raid,kwahiyo yanga ni nchi
Sent using Jamii Forums mobile app
Wa-Africa hatuna AKILI zipo za kushikiwa tu kwa kuikataa ZNZ kutambulika.
UNITED KINGDOM ni Nchi moja inayotokana na sehemu Tatu
1)England
2)Scotland
3)Wales
Na hizo zote zinajiwakilisha zenyewe ukija kwenye INTARNATIONAL CUP kama World cup na Euro Cup ..............
Hapo tofauti ikwapi na ZANZIBAR na Jamhuri ya muungano Tanzania .
Kwenye nyekundu ndio mdudu gani huyo
Zimwi likujualo......
Basi tanganyika tunahitaji raisi wetu piaKuwa na raisi hakumaanishi Zanzibar ishakuwa nchi
Raisi wa nchi ni mmoja tu, na ambaye ni Magufuli
Sasa hao wanaosema zanzibar ni nchi wanaitolea wapiTANGANYIKA+ZANZIBAR=TANZANIA
So pia duniani hakuna nchi inayoitwa Tanganyika
Sent using Jamii Forums mobile app
TANGANYIKA=TANZANIASasa rais wa nini mbona tanganyika haina rais
Mbona hata Zanzibar Spices anajua kuwa hilo ni Koloni letu Zanzibar hawajapata Uhuru kama ilivyopotoshwa na Vyombo vya habari 12.January
Basi ni wilaya pekee yenye raisi bendera na jeshi i can say ts the best district among of them
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawana JeshiBasi ni wilaya pekee yenye raisi bendera na jeshi i can say ts the best district among of them
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sababu Tanganyika sio nchi. Nchi ni Tanzania na Zanzibar ni mkoa kama ilivyo Tabora na Lindi...tehe tehe tehe!Sasa rais wa nini mbona tanganyika haina rais
Kijana hijawah hata fatilia sherehe za mapinduz siku moja moja ungeliona jeshiPardon! Jeshi gani mkuu.