kombo alawi
JF-Expert Member
- Dec 5, 2015
- 234
- 110
Zanzibar sio nchi lakini ina Rais wake, Tanganyika ninchi lakini haina Rais ndo maana inasherehekea uhuru wake, yaani maajabu haya ulimwenguni unayakuta Afrika tu ni maajabu ambayo mimi nashindwa hata kushangaaSasa rais wa nini mbona tanganyika haina rais
Magufuli ni raisi wa tanganyika tangu liniTANGANYIKA=TANZANIA
MAGUFULI RAIS WETU
Wengine wanasema ni nchiZanzibar sio nchi, dola wala nchi huru
Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by eden kimario, Today at 11:37 AM.
Yaani unasema 'sio nchi', halafu unasema 'wala nchi huru'. Kama sio nchi unahoji vipi uhuru wa nchi?
Tanganyika yetu iko wapi sasa na rais wake ni yupiZanzibar ni nchi ndani ya mipaka ya Tanzania na sio nchi ukiwa nje ya mipaka ya Tanzania. Ni nchi kwa kuwa ina mihimili yote. Inayotakikana kuwepo kutokana na jinsi huo mwungano ulivyotengenezwa. Ilitakuwa Iwe mkoa lakini walikubaliana ibaki kuwa nchi huru ndani ya mwungano
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkoa tangu lini ukawa na rais anaechaguliwa na wapiga kuraKwa sababu Tanganyika sio nchi. Nchi ni Tanzania na Zanzibar ni mkoa kama ilivyo Tabora na Lindi...tehe tehe tehe!
Atakayewaza kuuvunja muungano atavunjika yeye.
Teh teh teh teh hahahaaaaZanzibar sio nchi lakini ina Rais wake, Tanganyika ninchi lakini haina Rais ndo maana inasherehekea uhuru wake, yaani maajabu haya ulimwenguni unayakuta Afrika tu ni maajabu ambayo mimi nashindwa hata kushangaa
Soma article 1 ya Montevideo Convention on the rights and duties of state of 1933.
Zanzibar siyo nchi kwa sababu imekosa kipengele (d) capacity to inter into legal relation. Ili Zanzibar iingie mkataba wowote wa kimataifa lazima ipate kibali kutoka serikali ya muungano kwa hiyo haina capacity ya kujiamria kuingia kwenye mikataba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tanganyika Haina Raisi. Huyu aliyeko Madarakani ni wa Mwungano. Ndiyo maana hata Zanzibar walimpigia kura. Viongozi wa Tanganyika ni kuanzia Waziri Mkuu na Mawaziri wote ambayo hawako ndani ya Serikali ya Mwungano. Kumbuka kuwa ni Wizara 4 (Ulinzi, Fedha, Mambo ya Ndani na Mambo ya Nje) ndo za ziko ndani ya Mwungano wetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mbona RC wa Zanzibar anachaguliwa kwa kura?
Kwani yeye ndiye aliyeasisi muungano?
Ondoa mkwara mbuzi wako hapa, jaribuni kuleta fyoko muone!Siku siyo nyingi mtakuja kulia na kusaga meno.
Mtakuja kujutia hata kwanini Mzee Nyerere alifikiria kuileta Zanzibar kwenye Muungano.
Hakuna Marefu yasiyo na ncha: Hii ni kanuni ya kihistoria.
hivi unajua kuwa ukuwa wa ardhi ya zenji nindogo kuliko wilaya ya tandahimba? hata huwezi kufananisha na mkoa. nakumbuka yule mbunge aliyesema kule zenji mtu akiwa jimbo hili akitoa harufu mbaya inasikika jimbo lingine,Imekuwa ikisemekana Zanzibar ni nchi lakini hivi karibuni imeonekana huenda sio nchi, wala dola, wala nchi iliyo huru bali ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Wiki iliyopita wakati CAF wakiifutia Zanzibar uanachama walihoji kama kuna nchi duniani inaitwa Zanzibar inayojitegemea na mambo yake binafsi kama Sudani Kusini. Wakaangalia na ramani ya dunia kama kuna nchi inaitwa Zanzibar hawakuiona bali waliishia kuiona Tanzania tu.
So wale wanaosema Zanzibar ni nchi hili wanalitoa wapi?
Kuwa na Rais na Bendera kunawasaidiaje kuwa nchi inayotambulika?
Ndio hivyo zanzibar sio nchi ndugu au unabishaOndoa mkwara mbuzi wako hapa, jaribuni kuleta fyoko muone!
ukweli mchungu.Ndio hivyo zanzibar sio nchi ndugu au unabisha
Kama sio yeye aliyeasisi muungano.mbona kawazuia UAMSHO magerezani?Kwani yeye ndiye aliyeasisi muungano?
Maagizo kutoka juu.Kama sio yeye aliyeasisi muungano.mbona kawazuia UAMSHO magerezani?
Sent using Jamii Forums mobile app