white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,566
- 13,770
Sasa kama ni hivyo je uamuzi sahihi ni kumuhamisha wizara?!! au huwa ni sandakalawe tu.Makamu wa rais amesema leo kuwa wizara ya utalii imejaa pesa na mitego ya pesa huwenda amezila au mtego umenasa
USSR
Huyu ametokea kota za Chang'ombe , sasa jiongeze kwenye kota zile wanaishi watu gani .Kwani huyu unayemuona Ni bint wa Nani Bab ake alipata kuwa Nani hapa nnchini
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kwenye Katiba mpya tumeweka kitu ili kukomesha huu uchafuSiku hz ccm na serikali yake wameona TISS ndo roho yao, ukienda kwa watendaji kata 70% ni hao hao... Makatibu tarafa ni hao hao, wakuu wa wilaya ni hao hao, makatibu tawala wa wilaya, ni hao hao.. wakuu wa mikoa nao pia...hii yote ni uoga wa kimadaraka tu, inapelekea hata sehemu inayohitaji mtaalamu wa hiyo fani basi anaachwa analetwa kada wa ccm na ambaye ni TISS... Kwahiyo nchi nzima wamejazwa jazwa wao tu hata kama uwezo huo hawana .. na wengi wao kwenye hiyo idara kichwani ni weupe sana, na ndo maana nchi haisogei kimaendeleo.. ni wapigaji na wakifanya ufisadi wanahamishwa hamishwa tu...
Tunawatakia ulaji mwemaAcha wale zikiisha wataanza kulana wao kabla ya kufika kwetu
Kitu kipiKwenye Katiba mpya tumeweka kitu ili kukomesha huu uchafu
Inatoa mikopo kwa wasaniiWizara ya Ngoma za asili utakula nn Sasa?
CCM ukisha ingia kundini basi wewe na kizazi chako mtaendelea kuwa kundini, wanaogopa wakikutoa utatoa siri ya hela kupelekwa China.Mwl Nyerere aliwahi kuwaambia Wanaccm wenzake kwamba, Nanukuu , "KAMA UNAMPENDA MTU KWA SABABU YA SURA YAKE BASI NENDA KANYWE NAYE CHAI” Mwisho wa kunukuu.
View attachment 2518743
Ni lazima Mamlaka ya Uteuzi ijifunze kutafuta watu wengine nje ya hawa watu wa TISS au watoto wa viongozi. Watanzania ni zaidi ya 60 milioni, haiwezekani wote hawa wasiwe na akili ila akili iwe kwa watoto wa viongozi, au hawa TISS wa kupachikwa ama na wale mamluki wenye Koneksheni tu , Hii si sawa hata kidogo .
Pindi Chana hana uwezo wa kuwa Waziri popote pale , kumpachika Wizarani kwa kulazimisha ni kudumaza maendeleo , kuna ulazima gani wa yeye kuwa Waziri wakati hana Uwezo , mbona Makada wa ccm huko Tiss na Kwingineko wako wengi tu , si wapachikeni wenye uwezo basi ?
View attachment 2518739
Naunga mkono hoja. Pindi Chhana Hana uwezo wa kuwa waziri. Labda arudi kwenye kazi za CCM tuMwl Nyerere aliwahi kuwaambia Wanaccm wenzake kwamba, Nanukuu , "KAMA UNAMPENDA MTU KWA SABABU YA SURA YAKE BASI NENDA KANYWE NAYE CHAI” Mwisho wa kunukuu.
View attachment 2518743
Ni lazima Mamlaka ya Uteuzi ijifunze kutafuta watu wengine nje ya hawa watu wa TISS au watoto wa viongozi. Watanzania ni zaidi ya 60 milioni, haiwezekani wote hawa wasiwe na akili ila akili iwe kwa watoto wa viongozi, au hawa TISS wa kupachikwa ama na wale mamluki wenye Koneksheni tu , Hii si sawa hata kidogo .
Pindi Chana hana uwezo wa kuwa Waziri popote pale , kumpachika Wizarani kwa kulazimisha ni kudumaza maendeleo , kuna ulazima gani wa yeye kuwa Waziri wakati hana Uwezo , mbona Makada wa ccm huko Tiss na Kwingineko wako wengi tu , si wapachikeni wenye uwezo basi ?
View attachment 2518739
Chana Garage, Singasinga Tajiri Iringa mjiniKwani huyu unayemuona Ni bint wa Nani Bab ake alipata kuwa Nani hapa nnchini
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mwl Nyerere aliwahi kuwaambia Wanaccm wenzake kwamba, Nanukuu , "KAMA UNAMPENDA MTU KWA SABABU YA SURA YAKE BASI NENDA KANYWE NAYE CHAI” Mwisho wa kunukuu.
View attachment 2518743
Ni lazima Mamlaka ya Uteuzi ijifunze kutafuta watu wengine nje ya hawa watu wa TISS au watoto wa viongozi. Watanzania ni zaidi ya 60 milioni, haiwezekani wote hawa wasiwe na akili ila akili iwe kwa watoto wa viongozi, au hawa TISS wa kupachikwa ama na wale mamluki wenye Koneksheni tu , Hii si sawa hata kidogo .
Pindi Chana hana uwezo wa kuwa Waziri popote pale , kumpachika Wizarani kwa kulazimisha ni kudumaza maendeleo , kuna ulazima gani wa yeye kuwa Waziri wakati hana Uwezo , mbona Makada wa ccm huko Tiss na Kwingineko wako wengi tu , si wapachikeni wenye uwezo basi ?
View attachment 2518739
.....Ni lazima Mamlaka ya Uteuzi ijifunze kutafuta watu wengine nje ya hawa watu wa TISS au watoto wa viongozi.
kuna ulazima gani wa yeye kuwa Waziri wakati hana Uwezo , mbona Makada wa ccm huko Tiss na Kwingineko wako wengi tu , si wapachikeni wenye uwezo basi ?
Upo sahihi. Ila ungetaja sababu pia. Mie namfahamu huyu dada akiwa Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria miaka ya oyuma, ni mpuuzi kweli, arrogant na mbwembwe kibao. Hafai kuwa hata mtendaji wa Kata. Kinadharau sana watu wa chini yake kutoa amri zisizo halali.Hatutanyamazia madudu
Mkuu mbona na mm naishi keko nhc nisimfahamu huyu chana kweli na Niko karibu kabsa na Kota hzoHuyu ametokea kota za Chang'ombe , sasa jiongeze kwenye kota zile wanaishi watu gani .
Pindi chana ni mchapakazi,Umejuaje hafai na ndo kwanza kachaguliwa??
Muanzisha thread anajulikana Kwa majungu humu ndaniPindi chana ni mchapakazi,
Mengine ni majungu tu
Vigezo vyako vya uwezo wa uwaziri ni vipi?Mwl Nyerere aliwahi kuwaambia Wanaccm wenzake kwamba, Nanukuu , "KAMA UNAMPENDA MTU KWA SABABU YA SURA YAKE BASI NENDA KANYWE NAYE CHAI” Mwisho wa kunukuu.
View attachment 2518743
Ni lazima Mamlaka ya Uteuzi ijifunze kutafuta watu wengine nje ya hawa watu wa TISS au watoto wa viongozi. Watanzania ni zaidi ya 60 milioni, haiwezekani wote hawa wasiwe na akili ila akili iwe kwa watoto wa viongozi, au hawa TISS wa kupachikwa ama na wale mamluki wenye Koneksheni tu , Hii si sawa hata kidogo.
Pindi Chana hana uwezo wa kuwa Waziri popote pale , kumpachika Wizarani kwa kulazimisha ni kudumaza maendeleo , kuna ulazima gani wa yeye kuwa Waziri wakati hana Uwezo , mbona Makada wa ccm huko Tiss na Kwingineko wako wengi tu , si wapachikeni wenye uwezo basi?
View attachment 2518739