Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magufuli alipokuwa anatumbua mliona hamnazo lakini aliwajua type hii ni majipu.Huyu alikuwa balozi wetu hapo Kenya, Magu alikula kichwa.Taarifa nyeti hivyo inatoka alafu Waziri wa Maliasili asiwe na taarifa? Kuna tatizo kubwa sana, au kaona watu wame react negatively, Waziri kageuza kibao.
Insurbordination na pia urefu wa kambaKama ni serikali ktk ministerial level ndio ilisitisha usafirishaji wa wanyama hai 2016 iweje 2022 mkurugenzi wa wanyama pori (idara) atoe kibali cha kusafirisha wanyama hao?
Pamoja na katazo nilitegemea liambatane na kukamatwa wote walio husika na tangazo la kuruhusu.
Kwahiyo aliyekanusha ni mwehu?Dogo uamuzi kama huu hufanywa na vikao vizito kuanzia Ikulu hadi wizarani.
Majinga mnoWachen wanasiasa wasio na akil wawaamulie mustakabal wa maisha yenuu.. kwanza wa Tz hamna shukran.. wacha watu wagawane nchi
Chuma gani tena Carlos?Kuna watu mwaka 2025 watashangazwaa sana Ndugu zangu
Kuweni na Amani , Mwaka 2025 Kuna Chuma kinakuja