Uchaguzi 2020 Pinga pinga wa ndege, Zitto Kabwe aumbuliwa na ndugu zake

Uchaguzi 2020 Pinga pinga wa ndege, Zitto Kabwe aumbuliwa na ndugu zake

Mzee aliempa Magufuli jogoo ndie aliebaba lile bango lenye picha ya Zitto ubunifu uliofanyika ni kunyoa nywele tu.
 
Uwe unajipitisha hata Airport kusafisha macho uone watu walivyo bize kupanda ndege ,siyo kujifungia Nanjilinji alafu unatangaza ndege hazina faida Tanzania.

Wewe ni limbukeni wa ndege ndiyo maana hujui usemacho, mimi/sisi wapenda maendeleo hatusemi kwamba watu hawapandi ndege na hata kabla ya ndege za Magu watu walipanda ndege au hakukuwa na ndege???.

Tunachosema sisi hakukuwa na uharaka wa kununua ndege wakati kuna vipaumbele vya taifa, pesa hizo zikizonunulia ndege kama zingetumika kujenga barabara zingejengwa kilometa ngapi, watu wangapi na mizigo kiasi gani zingesafirishwa kupitia barabara hizo??? au hujui kuwa kuna mikoa mingine mfano Kigoma nk bado haina barabara muhimu???.

Magu alipata kusema wakati fulani; " "Tunashindwaa na vinchi vidogo kuwa na ndege"--- maana yake ni hii; tumenunua ndege kwasababu tu ya kushindana na hivyo vinchi vidogo sio kwasababu ya mahitaji ya ndege na ndiyo maana hatujui hasara ya uendeshaji wa hizo ndege kwani CAG amezuiliwa kukagua biashara ya hizo ndege.

Halafu unakuja kuleta pumba hapa.🤣🤣
 
Wewe ni limbukeni wa ndege ndiyo maana hujui usemacho, mimi/sisi wapenda maendeleo hatusemi kwamba watu hawapandi ndege na hata kabla ya ndege za Magu watu walipanda ndege au hakukuwa na ndege???.

Tunachosema sisi hakukuwa na uharaka wa kununua ndege wakati kuna vipaumbele vya taifa, pesa hizo zikizonunulia ndege kama zingetumika kujenga barabara zingejengwa kilometa ngapi, watu wangapi na mizigo kiasi gani zingesafirishwa kupitia barabara hizo??? au hujui kuwa kuna mikoa mingine mfano Kigoma nk bado haina barabara muhimu???.

Magu alipata kusema wakati fulani; " "Tunashindwaa na vinchi vidogo kuwa na ndege"--- maana yake ni hii; tumenunua ndege kwasababu tu ya kushindana na hivyo vinchi vidogo sio kwasababu ya mahitaji ya ndege na ndiyo maana hatujui hasara ya uendeshaji wa hizo ndege kwani CAG amezuiliwa kukagua biashara ya hizo ndege.

Halafu unakuja kuleta pumba hapa.🤣🤣

izi akili bado zpo nchi hii?
 
MATAGA wa kigoma bwana, wanasahau wenye uwezo wa kupanda hizo ndege ni watu wa jamii yakina zito lakini yeye Zito aliongea kwa niaba ya wanyonge, wacha waendelea kurushwa kama pepkoni na ma Takbiri ndio wataisoma namba vizuri.
 
MATAGA wa kigoma bwana, wanasahau wenye uwezo wa kupanda hizo ndege no watu wa jamii yakina zito lakini yeye Zito aliongea kwa niaba ya wanyonge, wacha waendelea kurushwa kama pepkoni na ma Takbiri ndio wataisoma namba vizuri.
Huna akili
 
Mataga mpooo
Ni nomaa
IMG-20220209-WA0000.jpg
 
Back
Top Bottom