Uchaguzi 2020 Pinga pinga wa ndege, Zitto Kabwe aumbuliwa na ndugu zake

Uchaguzi 2020 Pinga pinga wa ndege, Zitto Kabwe aumbuliwa na ndugu zake

..dreamliner ni ndege ya masafa marefu, lakini atcl inairusha toka Dar-Kil-Mza.

..huhitaji PhD ya biashara kujua kuwa atcl inaendeshwa kwa HASARA.
Kisa ni ndege ya masafa marefu ikienda mza kupitia kilimanjaro ni hasara?
Hujui mpaka mwaka 2018 Atcl walikuwa wanaingiza Bili 4.5 kwa mwezi? Na ndege sio kama biashara ya maembe uanze kupata faida mara moja. Lazima urudishe gharama kisha uanze kuona faida. Inaweza kuchukua hata miaka sita.
 
Kisa ni ndege ya masafa marefu ikienda mza kupitia kilimanjaro ni hasara?
Hujui mpaka mwaka 2018 Atcl walikuwa wanaingiza Bili 4.5 kwa mwezi? Na ndege sio kama biashara ya maembe uanze kupata faida mara moja. Lazima urudishe gharama kisha uanze kuona faida. Inaweza kuchukua hata miaka sita.

..Ni hasara.

..haina tofauti na semi-trailer inayobeba mzigo mdogo-mdogo mjini, badala ya kubeba mzigo mkubwa na kwenda masafu marefu.
 
..Ni hasara.

..haina tofauti na semi-trailer inayobeba mzigo mdogo-mdogo mjini, badala ya kubeba mzigo mkubwa na kwenda masafu marefu.
Yaani semi ikibeba mzigo mjini ndio lazima ipate hasara? Je kama inalipwa vizuri? Kwa hiyo hizi semi zinazosambaza cement mjini zinapata hasara? Faida ni gharama kisha toa mauzo. Kama dreamliner ikienda mza na gharama ni ndogo kuliko mapato,utasema hasara?
 
Yaani semi ikibeba mzigo mjini ndio lazima ipate hasara? Je kama inalipwa vizuri? Kwa hiyo hizi semi zinazosambaza cement mjini zinapata hasara? Faida ni gharama kisha toa mauzo. Kama dreamliner ikienda mza na gharama ni ndogo kuliko mapato,utasema hasara?

..jibu lako linaonyesha hujui biashara.

..atcl inaendeshwa kwa hasara, na ni mzigo kwa walipa kodi.
 
..jibu lako linaonyesha hujui biashara.

..atcl inaendeshwa kwa hasara, na ni mzigo kwa walipa kodi.
Wewe ndio hujui unakariri tu ujinga. Kama running cost zikizidi mapato ndio utasema hasara.
Lakini kama walianza kupata zaidi ya bil 5 kwa mwezi ujue baada ya miaka kumi wangesimama vuzuri.
Una siasa za kukariri uongo.
 
Huo ni ujinga mkubwa sana; kwani Zitto alisema lini kwamba hatopanda ndege za Magufuli? Anachosema Zitto na wapinzani wengine wa kisiasa ni kwamba manunuzi ya ndege yamegubikwa na usiri mkubwa, bunge halijui gharama ya hizo ndege, taratibu za manunuzi zipoje nk, kifupi nj kwamba manunuzi ya hizo ndege hayakufuata taratibu za zabuni nk,

Hivyo kuna harufu ya ufisadi mkubwa katika mchakato mzima wa manunuzi na ndiyo maana mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali haruhusiwa kukagua hesabu za hizo ndege, kifupi ni kwamba kuna harufu ya ufisadi mkubwa juu ya pesa ya umma kuhusu hayo manunuzi, yawezekana hata huyo mwananchi aliyebeba bango la picha ya Zitto hajui pesa ya umma ni kitu gani!

Hiyo ndiyo elimu ya Watz ilivyo.
Jomba wewe sio mbunge kwanza Sasa habari za bunge unazijuaje..usindandie maneno bila kuwa na uelewa...bungeni Nani kakwambia hawajui gharama halisi za ndege...Sasa serikali imenunuaje bila idhini ya bunge..Kama hamjui jinsi mifumo hii inavyofanya kazi kaeni kimyaaaa...shutup your mouth and shutdown and lockup..vema ukauliza ukaambiwa mama...umechemsha
 
Mada za great thinker wa lumumba za ajabuajabu kweli hazina kichwa Wala miguu .
 
Jomba wewe sio mbunge kwanza Sasa habari za bunge unazijuaje..usindandie maneno bila kuwa na uelewa...bungeni Nani kakwambia hawajui gharama halisi za ndege...Sasa serikali imenunuaje bila idhini ya bunge..Kama hamjui jinsi mifumo hii inavyofanya kazi kaeni kimyaaaa...shutup your mouth and shutdown and lockup..vema ukauliza ukaambiwa mama...umechemsha

1--Ununuzi wa ndege ulijadiliwa bungeni katika hotuba ya makadirio na matumizi ya wizara gani na kilikuwa kikao gani cha bunge na ndege ngapi zilipangwa kununuliwa??

2---Gharama za Ujenzi wa uwanja wa ndege wa Chato zipo katika hotuba ya bunge ya makadirio na matumizi ya wizara gani na katika kikao gani cha bunge ??!.

Kumbuka hizo ni fedha za umma, ni fedha zetu tunahitaji kujua, otherwise you better keep mum lest you don't expose your stupor publicly.
 
1--Ununuzi wa ndege ulijadiliwa bungeni katika hotuba ya makadirio na matumizi ya wizara gani na kilikuwa kikao gani cha bunge na ndege ngapi zilipangwa kununuliwa??

2---Gharama za Ujenzi wa uwanja wa ndege wa Chato zipo katika hotuba ya bunge ya makadirio na matumizi ya wizara gani na katika kikao gani cha bunge ??!.

Kumbuka hizo ni fedha za umma, ni fedha zetu tunahitaji kujua, otherwise you better keep mum lest you don't expose your stupor publicly.
Kazi yenu si kutoka bungeni..na kususia, embu ulizia ofisi za bunge Hilo suala kama hawajakupa details zitakazokushangaza..kuweni makini na bunge kwani hiyo ndio kazi mlioimba kwa wananchi..
 
Watu wengi huwa wanaelewa kile wanachokiwaza wao.

Wewe ulitegemea awaambie muwachague wapinzani wake?

Halafu wakishachaguliwa na kufika bungeni kazi iwe ileile kusisia na kutoka nje ya bunge badala ya kuwasilisha mahitaji ya wananchi wao? Halafu wananchi wasubiri rais akipita ndio wamdai maendeleo ambayo wawakilishi wao walitakiwa kuyafanyia kazi?

Rais anafanya kadri ya mtazamo wake kwa ngazi ya taifa, vile vilivyo mitaani wawakilishi wanatakiwa kuvijumuisha na kuwakilisha ili vifanyiwe kazi. Na ndio maana hata viongozi wa upinzani wanamshukuru kwamba hana ubaguzi, wacheck viongozi wako hapo chini👇


View attachment 1574183



Hilo la kudhalilisha wanawake mnalifanya nyie kwa tafsiri zenu wanaotaka na sio rais Magufuli ambae makamu wake ni mwanamke.
Ifike mahala tutofautishe siasa za kistaarabu na ujanjaujanja wa kutaka madaraka
Nani khanithi atawaambia watu wachague mpinzani wake unless km kuna agreement.
Wewe huoni tatizo hapo kuwatisha kuwa deprive watu of their rights to development just because umekua raisi na hawakukupigia kura.
Kama unaona hili si tatizo na uanaendekeza uchama utakua unawekwa mjini kwa kutetea lolote lile liwe baya liwe zuri. Yawezekana kodi ya nyumba unayokaa buzi la upande huo ndio linakulipia. Hivyo itakua pointless kwa mm kukubishia wewe.
Na km udhalilishaji wa nyie wanawake hujauona hata mara moja baasi mama D endelea kutetea ugali mama. Watoto wasijewakalala njaa. Do whatever you can watoto wapishane chooni lkn siku ikija ikiwa wewe ndio mtendwa au watoto wako Hapo ndipo utaamka. Kwa sasa chumia tumbo na familia yako mama. Uwe ukiomba karma isiguse wewe na kizazi chako kabla hamjarud mavumbini.
 
Tanzania ina wananchi wa aina zote ,wasio wa kawaida na wa kawaida.

MATAGA wenzangu kuna vitu wapinzani wanalaumu ambavyo vina mantiki sana. Sio dhambi kuwa ndege kama nchi, ila kwa aina uchumi wetu na biashara ya shirika la ndege sio kipaumbele ukizingatia haukuwepo mpango wa kununua hizo ndege(kwa sauti yake mwenyewe, "ukishindwa kupanga, umepanga kushindwa"). Tuna mambo mengi ya kuanzia, sera ya viwanda hasa vya kati ilikuwa ni jambo la kuzingatia sana.

Kabla hatujaanza kuimba mapambio yetu na kuwabeza Lissu na Zitto. Hebu tujiulize haya yafuatayo:
  • Ikiwa lengo la ndege ni kuwaleta watalii toka nje, je mna data za ni idadi gani hadi sasa walishaletwa na hizi ndege?
  • Ikiwa lengo la ndege ni kuchangia kuingiza pato, ni nini pato lake kwa mwaka wa fedha uliopita?
  • Je, thamani ya ndege moja ni Tshs ngapi? Je, hizi fedha zingejenga viwanda vingapi ama kutolewa mikopo kwenye viwanda na zingewezesha viwanda vingapi? Je, ndege moja inatoa ajira kiasi gani na pato la kodi linatokana na ndege ni kiasi gani ukilinganisha na ajira za ki/viwanda ambavyo vingewezeshwa, na je kodi inayotokana na viwanda husika ingekuwa kiasi gani?
Biashara ya ndege ingependeza tukawaachia sekta binafsi, serikali ikawekeza kwenye miundombinu tu.
 
Kazi yenu si kutoka bungeni..na kususia, embu ulizia ofisi za bunge Hilo suala kama hawajakupa details zitakazokushangaza..kuweni makini na bunge kwani hiyo ndio kazi mlioimba kwa wananchi..


Kwahiyo mlipanga sababu za wabunge wa upinzani watoke ili mpitishe miradi yenu ya kifisadi kwa uhuru licha ya wingi wenu bungeni???.

All in all, tunataka CAG akague hasara gani inapatikana katika uendeshaji wa hizo ndege, kumbuka hasara ipo, ila tunataka kujua ni kiasi gani cha hasara.
 
Yule atembea na picha Hana hata uwezo wa kununua ndala sembuse kuprint bango ndo yule aliyetoa zawadi ya jogoo


Leo wananchi wa Kigoma wameamua kumtolea uvivu Zitto Kabwe baada ya kuonyesha picha yake akishuka kwen
K
 
Nani khanithi atawaambia watu wachague mpinzani wake unless km kuna agreement.
Wewe huoni tatizo hapo kuwatisha kuwa deprive watu of their rights to development just because umekua raisi na hawakukupigia kura.
Kama unaona hili si tatizo na uanaendekeza uchama utakua unawekwa mjini kwa kutetea lolote lile liwe baya liwe zuri. Yawezekana kodi ya nyumba unayokaa buzi la upande huo ndio linakulipia. Hivyo itakua pointless kwa mm kukubishia wewe.
Na km udhalilishaji wa nyie wanawake hujauona hata mara moja baasi mama D endelea kutetea ugali mama. Watoto wasijewakalala njaa. Do whatever you can watoto wapishane chooni lkn siku ikija ikiwa wewe ndio mtendwa au watoto wako Hapo ndipo utaamka. Kwa sasa chumia tumbo na familia yako mama. Uwe ukiomba karma isiguse wewe na kizazi chako kabla hamjarud mavumbini.

Poleee
 
Back
Top Bottom