Uchaguzi 2020 Pinga pinga wa ndege, Zitto Kabwe aumbuliwa na ndugu zake

Uchaguzi 2020 Pinga pinga wa ndege, Zitto Kabwe aumbuliwa na ndugu zake

Sasa kati ya zitto na mwananchi wa vijijini huko kigoma nani mwenye Akili timamu? huyo Magufuli Anapoteza mda kuchapisha hilo bango
Yes, nimeona hicho kitu mkuu.

Mwananchi gani mwenye akili zake akatie pesa kufanya graphic design na kulipa pesa za kuprint bango moja?, Hapo kuna kitu kimepandwa kwa huyo mzee wa watu pasipo yeye kujua.

Akija kushtuka muda umepita na atapaniki baada ya uchaguzi.
 
CAG alishakagua kwa nini chadema haina ofisi kwa miaka 30 sasa?
Tukumbuke CDM ni chama KIKUU cha upinzani ni dhahiri wanahitaji budget kubwa ili kujiendeleza kisiasa.Amini nasema Budget wanayoipata hailandani na Ukubwa wa chama Chao.

Nahisi ndio sababu ya kutoendeleza uchumi wa chama.
 
We hujaona kwamba chama kinashughulikia kadhia hiyo ya uchotajwi wa hizo ela ???!!.

Pia tunataka CAG ashughulikie kadhia ya mapato ya ndege na manununuzi yake.

Sasa unashuhulikia nn ela zmenunulia ndege, hazikupita njia rasmi lakini cha msingi ni matumizi yake yapo wazi, sasa chadema bana, hakuna matumizi, ofisi hamna,mmefika hatua mnachukua ela za wananchi
 
Huo ni ujinga mkubwa sana; kwani Zitto alisema lini kwamba hatopanda ndege za Magufuli? Anachosema Zitto na wapinzani wengine wa kisiasa ni kwamba manunuzi ya ndege yamegubikwa na usiri mkubwa, bunge halijui gharama ya hizo ndege, taratibu za manunuzi zipoje nk, kifupi nj kwamba manunuzi ya hizo ndege hayakufuata taratibu za zabuni nk,

Hivyo kuna harufu ya ufisadi mkubwa katika mchakato mzima wa manunuzi na ndiyo maana mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali haruhusiwa kukagua hesabu za hizo ndege, kifupi ni kwamba kuna harufu ya ufisadi mkubwa juu ya pesa ya umma kuhusu hayo manunuzi, yawezekana hata huyo mwananchi aliyebeba bango la picha ya Zitto hajui pesa ya umma ni kitu gani!

Hiyo ndiyo elimu ya Watz ilivyo.
Bado mnakimbilia elimu whenever mkifitiniwa,learn to grow up...hizi ni kampeni all gloves are off.find something to one up them... Natamani kila mgombea wa upinzani ,kabla ya kuanza kampeni angeuliza swali hili 'kama mTanzania yeyote ambaye maisha yake SASA Yana afadhali kuliko miaka Mitano iliyopita?'
 
Bado mnakimbilia elimu whenever mkifitiniwa,learn to grow up...hizi ni kampeni all gloves are off.find something to one up them... Natamani kila mgombea wa upinzani ,kabla ya kuanza kampeni angeuliza swali hili 'kama mTanzania yeyote ambaye maisha yake SASA Yana afadhali kuliko miaka Mitano iliyopita?'


It is much easier to miss- govern an ignorant than an educated person.
 
Leo wananchi wa Kigoma wameamua kumtolea uvivu Zitto Kabwe baada ya kuonyesha picha yake akishuka kwenye ndege aina ya bombardier mbele ya Rais Magufuli.

Picha hiyo ilibua shangwe uwanjani hapo na watu wengi walifurahi kwamba sasa unafiki wa ZitTo Kabwe na vibaraka wa mabeberu wenzake wameumbuka.!!

My take .

Ina maana Zito Kabwe amechokwa kiasi hiki na wana Kigoma kiasi cha kutwezwa utu wake mbele ya Rais Magufuli? Pole sana Zitto na mwenzako Lissu mkae mkijua watanzania siyo wajinga, wanajua upi ni mchele na zipi ni pumba na tarehe 28 Oktoba mtanyolewa kwa wembe mkali sana.

Hilo bango alipewa mzee aliyemuuzia jamaa kuku sikuizi anatembea nae
 
Nikikumbuka namna alivyokuwa akisema kuhusiana na fedha za world bank na pia corona huwa napata maswali mengi kuhusiana na uzalendo wa huyu mtu.
Nikiona binadamu yupo CCM nafrahi sana sababu najua mbinguni haendi kwaiyo tutakuwa wachache
 
Sasa unashuhulikia nn ela zmenunulia ndege, hazikupita njia rasmi


Hiyo njia isiyokuwa rasmi zilikopitia hizo ela za ndege ndicho tunachogombana kila siku na nyie, kwanini zisipitie katika njia rasmi, kuna siri gani hapo??!!-- hizo ela sio za CCM wala za serikali ni ela za UMMA.

Hiyo ilikuwa ni njia ya CCM kuchota pesa za umma ili kujenga/kukinusuru chama pia ilikuwa ni njia ya kifisadi kwa wakubwa kujichotea pesa za umma.
 
Hiyo njia isiyokuwa rasmi zilikopitia hizo ela za ndege ndicho tunachogombana kila siku na nyie, kwanini zisipitie katika njia rasmi, kuna siri gani hapo??!!-- hizo ela sio za CCM wala za serikali ni ela za UMMA.

Hiyo ilikuwa ni njia ya CCM kuchota pesa za umma ili kujenga/kukinusuru chama pia ilikuwa ni njia ya kifisadi kwa wakubwa kujichotea pesa za umma.


i believe binadam tuna hulka hio, lakini unavochota cha msingi unawaacha vp hawa wengine, yawezekana hata pesa hazikuchotwa ila ni mdomo tu chadema, but on the other side chama chenu(cdm) ndo wapigaji wakubwa , sasa upigaji wenu ndo umepitiliza , hauna maendeleo yoyote, lets assume walipiga but wakanunua ndege , thats reasonable ila sasa hawa wengine cdm upigaji wao daaah nmewavulia kofia, hata kujenga ofisi mnashindwa, basi lipieni lesseni ama mpaka mchange tena
 
Leo wananchi wa Kigoma wameamua kumtolea uvivu Zitto Kabwe baada ya kuonyesha picha yake akishuka kwenye ndege aina ya bombardier mbele ya Rais Magufuli.

Picha hiyo ilibua shangwe uwanjani hapo na watu wengi walifurahi kwamba sasa unafiki wa ZitTo Kabwe na vibaraka wa mabeberu wenzake wameumbuka.!!

My take .

Ina maana Zito Kabwe amechokwa kiasi hiki na wana Kigoma kiasi cha kutwezwa utu wake mbele ya Rais Magufuli? Pole sana Zitto na mwenzako Lissu mkae mkijua watanzania siyo wajinga, wanajua upi ni mchele na zipi ni pumba na tarehe 28 Oktoba mtanyolewa kwa wembe mkali sana.

Kama baada ya miaka 5 bado hatujamuelewa Meko anahakikisha kwenye Kampeni za mwaka huu anaweka wazi HULKA yake.

Tusijekulalamika akichukuwa Urais 2020-2025.

*Ukimpigia Kura mpinzani utalipa kodi kama kawaida lakini usitengeme huduma za Serikali*

28/10/2020 Kazi kwetu!
 
CCM akili hamna Zitto hajapinga ndege kununuliwa ila bunge limepitisha?hamuoni ni ufisadi wa 10% ukinunua cash..muwe na akili
 
Hii ni salaam pia Kwa Lissu, Ha haaaa siku ya tareh 28 next month Tunamkoa kwenzi nzito Sana Lissu akaangukie ubelgiji 😀 , CCM hatupend dharau.

Halaf juzi kaanguka baada ya kusikia kishindo cha JPM
Mkuu hivi hiyo clip unayo?
 
Huo ni ujinga mkubwa sana; kwani Zitto alisema lini kwamba hatopanda ndege za Magufuli? Anachosema Zitto na wapinzani wengine wa kisiasa ni kwamba manunuzi ya ndege yamegubikwa na usiri mkubwa, bunge halijui gharama ya hizo ndege, taratibu za manunuzi zipoje nk, kifupi nj kwamba manunuzi ya hizo ndege hayakufuata taratibu za zabuni nk,

Hivyo kuna harufu ya ufisadi mkubwa katika mchakato mzima wa manunuzi na ndiyo maana mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali haruhusiwa kukagua hesabu za hizo ndege, kifupi ni kwamba kuna harufu ya ufisadi mkubwa juu ya pesa ya umma kuhusu hayo manunuzi, yawezekana hata huyo mwananchi aliyebeba bango la picha ya Zitto hajui pesa ya umma ni kitu gani!

Hiyo ndiyo elimu ya Watz ilivyo.
Alisema hazina maana kwa hiyo alitakiwa kuja kigoma kwa gari, sasa kwa nini yeye apande ndege wakati anajua huko kigoma hakuna mtu mwenye uwezo wa kupanda ndege,
Kumbe huko kigoma ndege hupeleka mbuzi na sio watu.
 
Alisema hazina maana kwa hiyo alitakiwa kuja kigoma kwa gari, sasa kwa nini yeye apande ndege wakati anajua huko kigoma hakuna mtu mwenye uwezo wa kupanda ndege,
Kumbe huko kigoma ndege hupeleka mbuzi na sio watu.

Hazina maana kwasababu ya hasara zinazoleta, inasemekana gharama za uendeshaji ni kubwa kuliko faida inayopatikana na ndiyo maana kwa kuficha aibu hawataki CAG akague hesabu za hizo ndege. Ni bora badala ya kununua ndege ela yake wangejengea barabara nk.

Swali lipo palepale, ni lini Mwami Zitto alisema hatopanda ndege za Magufuli???.
 
Atcl zinajiendesha kwa hasara ila mnataka Fastjet irudi washamba wakubwa nyie

Mshamba ni yupi kati ya yule anayetia hasara UMMA au yule anayepinga UMMA kuingia hasara??!!.

Inabidi nawe utathimini kichwa chako kama kiko sawa.
 
Banyamulenge nao ubishi wao ndio unawasumbua! Ushabiki wao huu ndio umesababisha wapo nyuma hivi.Wewe angalia pamoja nakuwa na wachezaji wengi na vipaji lukuki hawana Timu Daraja la kwanza na lami ndio kwanza wanafikiriwa sasa.usafiri wao ni kulundikana kwenye treni chafu na dagaa na mifugo ni kama wapo Congo! Badirikeni na gubu lenu huyo Zito anawapotosha tu
 
Kama kwenu ni masikini wa kutopanda ndege tulia ,wenzio tuko bize kubook ndege hapa Airport, na zimeja

Mngekuwa tajiri kwenu mngenunua private jet au mngekodi chatter plane kwa usafiri. 🤣
 
Huo ni ujinga mkubwa sana; kwani Zitto alisema lini kwamba hatopanda ndege za Magufuli? Anachosema Zitto na wapinzani wengine wa kisiasa ni kwamba manunuzi ya ndege yamegubikwa na usiri mkubwa, bunge halijui gharama ya hizo ndege, taratibu za manunuzi zipoje nk, kifupi nj kwamba manunuzi ya hizo ndege hayakufuata taratibu za zabuni nk,

Hivyo kuna harufu ya ufisadi mkubwa katika mchakato mzima wa manunuzi na ndiyo maana mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali haruhusiwa kukagua hesabu za hizo ndege, kifupi ni kwamba kuna harufu ya ufisadi mkubwa juu ya pesa ya umma kuhusu hayo manunuzi, yawezekana hata huyo mwananchi aliyebeba bango la picha ya Zitto hajui pesa ya umma ni kitu gani!

Hiyo ndiyo elimu ya Watz ilivyo.
POINT SANA ILA WENGI NI WAGUMU KUELEWA
 
Back
Top Bottom