Pipi kifua kuuzwa Tsh 1000

Hujakuwa bado faza nini?? Zinasaidia sana kukata kichefuchefu cha mimba changa na mate kujaa mdomoni kwa mama kijacho.

Pia ukinunua kitu leo, haimaanishi unatakiwa kula hapo hapo kiishe… kuna kesho
Unavoandika sasa kama kweli...
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…