Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Unavoandika sasa kama kweli...Hujakuwa bado faza nini?? Zinasaidia sana kukata kichefuchefu cha mimba changa na mate kujaa mdomoni kwa mama kijacho.
Pia ukinunua kitu leo, haimaanishi unatakiwa kula hapo hapo kiishe⦠kuna kesho
Niko poa na ni mzima wa afya..Huyu last born wangu tunayeshea naye hiki kifaa atakuja kunivunjia heshima Mzee wake, maana si kwa maoni haya π π π€ͺ
Uko poa Mkuu wangu?
Tunasafisha Koo na KIFUA nyemelezπππππ
Daah sasa pakiti zima si ulimi utachubuka... Au ndo mmesema mna tumia kivingine
Zitakuwa 10, kapiga picha hizo 9 baada ya kula 1Ni Ngapi zinauzwa hiyo bei...?
Anhaaaa kumbe unatumiaga.Urongooo
πππππ Sasa ndo box zima..Tunasafisha Koo na KIFUA nyemelez
πππππ Sasa ndo box zima..Tunasafisha Koo na KIFUA nyemelez
Mkuu ππππ sio ad uumwe ndio ukimbilie hospital Kinga ni Bora kuliko tibaπππππ Sasa ndo box zima..
Sema tuu kuna kazi zenu tuu na hizo pipi..
Weee unaweza kununua pipi nyingi hivo...Zitakuwa 10, kapiga picha hizo 9 baada ya kula 1
Acha uzinziπAnhaaaa kumbe unatumiaga.
Kula pipi tiba....Mkuu ππππ sio ad uumwe ndio ukimbilie hospital Kinga ni Bora kuliko tiba
Na mimi nilihisi hivyo hivyo.na hiki ndicho alichokuwa anataka kukiwakilisha anaanza kuzuga na mambo ya bei.
Hahaha sijuiii mkuuMmmh mbona like unajua jamani!
Uzi-Nzi kiswahili lugha mbaya sana.Acha uzinziπ
Mkuu acha ubishi ππKula pipi tiba....
πππππ
Kama ni kijana basi upo kundi la wale vijana wa hovyo....ππππ€π€π€π€π€
Mrembo sijaelewa ata why zinauzwa ivyo,ila kuusu WA kuja nimezaliwa town nimekulia town manzeseHata kama zina soko sio Kwa buku[emoji28]wamekuona we WA kuja labda!