Pipi kifua kuuzwa Tsh 1000

Mie sijui ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ
๐Ÿคช๐Ÿคช๐Ÿคช๐Ÿคช๐Ÿคช๐Ÿคช๐Ÿคช๐Ÿคช๐Ÿคช๐Ÿคช๐Ÿคช๐Ÿคช๐Ÿคช๐Ÿคช๐Ÿคช๐Ÿคช๐Ÿคช๐Ÿคช๐Ÿคช๐Ÿคช๐Ÿคช๐Ÿคช๐Ÿคช๐Ÿคช๐Ÿคช๐Ÿคช๐Ÿคช๐Ÿคช๐Ÿคช๐Ÿคช๐Ÿคช๐Ÿคช๐Ÿคช๐Ÿคช๐Ÿคช๐Ÿคช๐Ÿคช๐Ÿคช๐Ÿคช๐Ÿคช๐Ÿคช๐Ÿคช๐Ÿคช๐Ÿคช๐Ÿคช๐Ÿคช๐Ÿคช๐Ÿคช๐Ÿคช๐Ÿคช๐Ÿ˜ณ
 
Acha uongo,, pipi bei ile ile sh 50 za kitanzania.. ila nasikia zina namna yake ya kutumiwa kikubwa โ€˜mimi siijui.

Eti majirani? Nyie mnajua mtujuze? Amehlo Joannah Aaliyyah Lenie
Hii habari mpya ya kuuzwa buku ni shilingi 50 au 100 nafikiri
Matumiz yake wanaojua mapenzi wanasema kale kaubarid sijui kanafanyaje ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€Hebu ngoja nigoogle ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Ukimaliza kugoogle aunt angu share na mimi kuleeee ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Tukopi vya kukopika

Hii habari mpya ya kuuzwa buku ni shilingi 50 au 100 nafikiri
Matumiz yake wanaojua mapenzi wanasema kale kaubarid sijui kanafanyaje ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€Hebu ngoja nigoogle ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Kweli eti ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ cha nyongeza
Dendalapipitajwahapojuulinaukaliwakeโ€ฆ
Unajua hata bangi Mungu hakuiumba kimakosa..ila unapo misuse ndo Shida inakuja.. sasa Mmekuja na matumizi gani tena ya pipi zetu za kifua mnatukosea team jogging tuonekane wahovyoooo.. Oouk anyway nitalijaribu pia
 
Unajua hata bangi Mungu hakuiumba kimakosa..ila unapo misuse ndo Shida inakuja.. sasa Mmekuja na matumizi gani tena ya pipi zetu za kifua mnatukosea team jogging tuonekane wahovyoooo.. Oouk anyway nitalijaribu pia
Unajaribu ili uwe wa hovyo kabisa ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ