Pira "OBJECTIVE" ni mbinu ya Robertinho anayoitumia kuwapumbaza wanasimba wasimuhoji juu ya mbinu mbovu anazozitumia

Pira "OBJECTIVE" ni mbinu ya Robertinho anayoitumia kuwapumbaza wanasimba wasimuhoji juu ya mbinu mbovu anazozitumia

Ukweli mchungu lakini ni dawa endapo utafanyiwa kazi japokua unaumiza mioyo ya watu.

Nilimsikia Robertinho akihojiwa Tena aliulizwa na mwandishi '"kwa Nini unapata matokeo lakini timu haichezi vizuri"

Robertinho kwa kujiamini kabisa alisema "kuwa anacheza mpira wenye malengo(objective) yaani point tatu muhimu ili mradi timu isonge mbele"

Msemaji wa Simba sc (Ahmedy Ally) naye aligongelea msumari kwa kusapoti kauli mbiu ya kocha Robertinho kuwa "Simba sc inacheza mpira objective"

Kwa tunaojua mpira wenye akili kubwa Kama NALIA NGWENA hapa tunaona kabisa hii kauli ipo kisiasa kwa tafakuri hizi

Kama Robertinho anacheza pira "OBJECTIVE'' alivyopata magoli mawili ya kuongoza kwenye mchezo wa Simba vs Al ahly kwa Nini asiweke mbinu akashikilia bomba akaibuka na ushindi??

Mchezo wa Marudio Simba imeongoza lakini kocha Robertinho kashindwa kabisa kuweka mikakati mpaka Al ahly kachomoa kwa dakika chache Sasa mpira malengo upo wapi??

Hii kauli ya "PIRA OBJECTIVE" ipo kisiasa kufunika uozo wa mbinu hafifu za kocha Robertinho, huu ni ukweli usiopingika.
Tunachosubiri team yako imfunge Robertihno na mbinu zake mbovu hapo tutaamini historia ndefu uliyoandika .
 
Objective ya Robertinho 👇hii hapa.

images (4).jpeg
 
Shame to BOARD,, ROBERTINO weakness zilionekana miezi mingi sana..

-fianali ya ngao ya hisani TANGA, mwanzo mwisho very poor to simba
- Kufuzu champions LEAGUE kwa manusura
-Ufunguzi wa African league tumechezewa ma AL AHLY kinyonge mbele ya viongozi wakubwa, saidia tu papatu za magoli ya headers

  • simba haichezi soka inayoeleweka
  • timu wachezaji haina nguvu
  • line up za mechi simba , huelewi ROBERTINO. Vipi MANULA asiye na match fitness aanze

-simba inafungwa 5, sio wala kubahatisha uwezo;wa YANGA umeeonekana. Sikumbuki clear chances za simba ukiacha goal la KIBU na shuti la BALEKE
- subirini, championship league, hata robo sijui.

Shame to BOARD OF SIMBA
 
Back
Top Bottom