Pira "OBJECTIVE" ni mbinu ya Robertinho anayoitumia kuwapumbaza wanasimba wasimuhoji juu ya mbinu mbovu anazozitumia

Pira "OBJECTIVE" ni mbinu ya Robertinho anayoitumia kuwapumbaza wanasimba wasimuhoji juu ya mbinu mbovu anazozitumia

Tatizo simba mnawaamini sana waropokaji wenu. Yaani mnatembea mitaani vifuani mwenu mmejazwa Ujinga wa ahamed ally. Mnakumbuka hata kipindi cha manara? Ilikuwa akiwajaza mnajazika. Mpira si bla blaa za ahamed ally. Ondokeni huko. Pira ni pareeee...! Uwanjani
 
Shame to BOARD,, ROBERTINO weakness zilionekana miezi mingi sana..

-fianali ya ngao ya hisani TANGA, mwanzo mwisho very poor to simba
- Kufuzu champions LEAGUE kwa manusura
-Ufunguzi wa African league tumechezewa ma AL AHLY kinyonge mbele ya viongozi wakubwa, saidia tu papatu za magoli ya headers

  • simba haichezi soka inayoeleweka
  • timu wachezaji haina nguvu
  • line up za mechi simba , huelewi ROBERTINO. Vipi MANULA asiye na match fitness aanze

-simba inafungwa 5, sio wala kubahatisha uwezo;wa YANGA umeeonekana. Sikumbuki clear chances za simba ukiacha goal la KIBU na shuti la BALEKE
- subirini, championship league, hata robo sijui.

Shame to BOARD OF SIMBA
KWELI KABISA UMEONGEA KIMPIRA SANA
 
Tatizo simba mnawaamini sana waropokaji wenu. Yaani mnatembea mitaani vifuani mwenu mmejazwa Ujinga wa ahamed ally. Mnakumbuka hata kipindi cha manara? Ilikuwa akiwajaza mnajazika. Mpira si bla blaa za ahamed ally. Ondokeni huko. Pira ni pareeee...! Uwanjani
[emoji16]
 
[emoji16][emoji2772]
1699349380062.jpg
 
simba itafute kocha kutoka kenya watafanya poa sana
 
Back
Top Bottom