Pira "OBJECTIVE" ni mbinu ya Robertinho anayoitumia kuwapumbaza wanasimba wasimuhoji juu ya mbinu mbovu anazozitumia

Pira "OBJECTIVE" ni mbinu ya Robertinho anayoitumia kuwapumbaza wanasimba wasimuhoji juu ya mbinu mbovu anazozitumia

Ukweli mchungu lakini ni dawa endapo utafanyiwa kazi japokua unaumiza mioyo ya watu.

Nilimsikia Robertinho akihojiwa Tena aliulizwa na mwandishi '"kwa Nini unapata matokeo lakini timu haichezi vizuri"

Robertinho kwa kujiamini kabisa alisema "kuwa anacheza mpira wenye malengo(objective) yaani point tatu muhimu ili mradi timu isonge mbele"

Msemaji wa Simba sc (Ahmedy Ally) naye aligongelea msumari kwa kusapoti kauli mbiu ya kocha Robertinho kuwa "Simba sc inacheza mpira objective"

Kwa tunaojua mpira wenye akili kubwa Kama NALIA NGWENA hapa tunaona kabisa hii kauli ipo kisiasa kwa tafakuri hizi

Kama Robertinho anacheza pira "OBJECTIVE'' alivyopata magoli mawili ya kuongoza kwenye mchezo wa Simba vs Al ahly kwa Nini asiweke mbinu akashikilia bomba akaibuka na ushindi??

Mchezo wa Marudio Simba imeongoza lakini kocha Robertinho kashindwa kabisa kuweka mikakati mpaka Al ahly kachomoa kwa dakika chache Sasa mpira malengo upo wapi??

Hii kauli ya "PIRA OBJECTIVE" ipo kisiasa kufunika uozo wa mbinu hafifu za kocha Robertinho, huu ni ukweli usiopingika.
Pale akuna kocha ni takataka tu, uyo Robertinho bado mbinu zake ni za kizamani sana yaani amekaririshwa moja ni moja aiwezi kubadilika na kuwa mbili!
Kocha wa mbinu ni yule anayejua kumsoma mpinzani na kujua afanye Nini kwa wakati gani but Robertinho katika Hilo ameferi mazima maana hii ni mechi yake karibia ya 5 anashindwa kufanya sub zenye akili za kumpa matokeo chanya, utasema uyo ni kocha? Awezi kuwafikisha popote uyu mtakuja kuniambia
 
Ukweli mchungu lakini ni dawa endapo utafanyiwa kazi japokua unaumiza mioyo ya watu.

Nilimsikia Robertinho akihojiwa Tena aliulizwa na mwandishi '"kwa Nini unapata matokeo lakini timu haichezi vizuri"

Robertinho kwa kujiamini kabisa alisema "kuwa anacheza mpira wenye malengo(objective) yaani point tatu muhimu ili mradi timu isonge mbele"

Msemaji wa Simba sc (Ahmedy Ally) naye aligongelea msumari kwa kusapoti kauli mbiu ya kocha Robertinho kuwa "Simba sc inacheza mpira objective"

Kwa tunaojua mpira wenye akili kubwa Kama NALIA NGWENA hapa tunaona kabisa hii kauli ipo kisiasa kwa tafakuri hizi

Kama Robertinho anacheza pira "OBJECTIVE'' alivyopata magoli mawili ya kuongoza kwenye mchezo wa Simba vs Al ahly kwa Nini asiweke mbinu akashikilia bomba akaibuka na ushindi??

Mchezo wa Marudio Simba imeongoza lakini kocha Robertinho kashindwa kabisa kuweka mikakati mpaka Al ahly kachomoa kwa dakika chache Sasa mpira malengo upo wapi??

Hii kauli ya "PIRA OBJECTIVE" ipo kisiasa kufunika uozo wa mbinu hafifu za kocha Robertinho, huu ni ukweli usiopingika.
Kweli kabisa ni wazee wa objective tu.
 
Yaani mnahangaika... Mara Taifa linaenda kupata aibu, mara Ahly mabovu, mnabahatisha ... Mara Objective... Tumetolewa na MakamunBingwa wa Vilabu Duniani , tupone pole! Tumeliabisha Taifa, mtusamehe sana Utopolo!
Duh saivi ndiyo mnasingizia hivyo.
 
Ukweli mchungu lakini ni dawa endapo utafanyiwa kazi japokua unaumiza mioyo ya watu.

Nilimsikia Robertinho akihojiwa Tena aliulizwa na mwandishi '"kwa Nini unapata matokeo lakini timu haichezi vizuri"

Robertinho kwa kujiamini kabisa alisema "kuwa anacheza mpira wenye malengo(objective) yaani point tatu muhimu ili mradi timu isonge mbele"

Msemaji wa Simba sc (Ahmedy Ally) naye aligongelea msumari kwa kusapoti kauli mbiu ya kocha Robertinho kuwa "Simba sc inacheza mpira objective"

Kwa tunaojua mpira wenye akili kubwa Kama NALIA NGWENA hapa tunaona kabisa hii kauli ipo kisiasa kwa tafakuri hizi

Kama Robertinho anacheza pira "OBJECTIVE'' alivyopata magoli mawili ya kuongoza kwenye mchezo wa Simba vs Al ahly kwa Nini asiweke mbinu akashikilia bomba akaibuka na ushindi??

Mchezo wa Marudio Simba imeongoza lakini kocha Robertinho kashindwa kabisa kuweka mikakati mpaka Al ahly kachomoa kwa dakika chache Sasa mpira malengo upo wapi??

Hii kauli ya "PIRA OBJECTIVE" ipo kisiasa kufunika uozo wa mbinu hafifu za kocha Robertinho, huu ni ukweli usiopingika.
Wewe kakune nazi tu kitengo chako
 
Back
Top Bottom