Shame to BOARD,, ROBERTINO weakness zilionekana miezi mingi sana..
-fianali ya ngao ya hisani TANGA, mwanzo mwisho very poor to simba
- Kufuzu champions LEAGUE kwa manusura
-Ufunguzi wa African league tumechezewa ma AL AHLY kinyonge mbele ya viongozi wakubwa, saidia tu papatu za magoli ya headers
- simba haichezi soka inayoeleweka
- timu wachezaji haina nguvu
- line up za mechi simba , huelewi ROBERTINO. Vipi MANULA asiye na match fitness aanze
-simba inafungwa 5, sio wala kubahatisha uwezo;wa YANGA umeeonekana. Sikumbuki clear chances za simba ukiacha goal la KIBU na shuti la BALEKE
- subirini, championship league, hata robo sijui.
Shame to BOARD OF SIMBA