Pira "OBJECTIVE" ni mbinu ya Robertinho anayoitumia kuwapumbaza wanasimba wasimuhoji juu ya mbinu mbovu anazozitumia

Tunachosubiri team yako imfunge Robertihno na mbinu zake mbovu hapo tutaamini historia ndefu uliyoandika .
 
Ukiwa na afya timamu ya mwili uliandika SIMBA 0-AHLY 6 nikajiuliza sana kwanini serikali inaliacha janga la afya ya akili kuumiza raia wake.
Screen shot hiyo uweke hapa Kama niliandika.
 
Shame to BOARD,, ROBERTINO weakness zilionekana miezi mingi sana..

-fianali ya ngao ya hisani TANGA, mwanzo mwisho very poor to simba
- Kufuzu champions LEAGUE kwa manusura
-Ufunguzi wa African league tumechezewa ma AL AHLY kinyonge mbele ya viongozi wakubwa, saidia tu papatu za magoli ya headers

  • simba haichezi soka inayoeleweka
  • timu wachezaji haina nguvu
  • line up za mechi simba , huelewi ROBERTINO. Vipi MANULA asiye na match fitness aanze

-simba inafungwa 5, sio wala kubahatisha uwezo;wa YANGA umeeonekana. Sikumbuki clear chances za simba ukiacha goal la KIBU na shuti la BALEKE
- subirini, championship league, hata robo sijui.

Shame to BOARD OF SIMBA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…