marashi ya pwani
Senior Member
- Sep 30, 2024
- 120
- 132
Kuna siku nilikuwa pub flan nishakura ngorondo zangu kiasi namanisha kilevi Cha bei rahisi
Kikanipa confidence ya kuongea na msichana sijui mwana mama kifupi PISI KARI
Kwakuwa nilikuwa na vitu kichwani yaani ilikuwa full confidence
Nilikuwa na uwezo wa kuongea hata na mtoto wa mboe
Nikakutana na PISI moja nikaongea nae yeye kalewa nami nimeliwa kifupi tumeelewana
Kwakuwa bajeti imefomea nikawa mpole wa kwanza kuweka AHADI mie
Siku ya AHADI Kila mtu mtakatifu no alico kichwani
Mimi nimemuelewa kama unavyojua asilimia kubwa wanaume ni wadhaifu kwa wanawake
Shida kwake Kona Kona kwa Kila ninacho muagizia sababu haziishi mara chipsi imeungua
Mara nyama imekaushwa sana full Kila sababu
Mwisho akaja kuliza unajua siku Ile nililewa co sikukuangalia vizur
Haijarishi vile unanihudumia muonekano wako tatizo tafuta wa kulingana nayo sio mimi
Kikanipa confidence ya kuongea na msichana sijui mwana mama kifupi PISI KARI
Kwakuwa nilikuwa na vitu kichwani yaani ilikuwa full confidence
Nilikuwa na uwezo wa kuongea hata na mtoto wa mboe
Nikakutana na PISI moja nikaongea nae yeye kalewa nami nimeliwa kifupi tumeelewana
Kwakuwa bajeti imefomea nikawa mpole wa kwanza kuweka AHADI mie
Siku ya AHADI Kila mtu mtakatifu no alico kichwani
Mimi nimemuelewa kama unavyojua asilimia kubwa wanaume ni wadhaifu kwa wanawake
Shida kwake Kona Kona kwa Kila ninacho muagizia sababu haziishi mara chipsi imeungua
Mara nyama imekaushwa sana full Kila sababu
Mwisho akaja kuliza unajua siku Ile nililewa co sikukuangalia vizur
Haijarishi vile unanihudumia muonekano wako tatizo tafuta wa kulingana nayo sio mimi