Haikuwa pisi kali?Kuna sehem nimepita nikasikia kijana anamuita mdada eti "pisi kama pisi"
Basi mzee mie nikaanza kuangaza ili nione hicho kipande ama kipisi alichobeba yule mwali hata sikuona kotu.....🧐🧐
kwaiyo we ndio PISI???MIMI NI CCM DAMU-----MIMI NI YANGA DAMU-----MIMI NI TANZANIA DAMU----MIMI NI TEAM MAGUFULI DAMU---- MIMI NASEMA KWA KAULI MOJA "BAADA YA MITANO TENA, KAZI IANZE"
Ohhhoooooo.....Haikuwa pisi kali?
Inaelekea kila mtu ana maana yake tofauti na mwingine.
Yaani hapo ni kama mpangilio wa hela anayopata kuanzia juu hadi chini kabisaMwanamke akiwa na mahusiano na tajiri anaitwa pisi Kali
Mwanamke akiwa na mahusiano na wenye kipato cha kati anaitwa mdangaji
Mwanamke akiwa na mahusiano na masikini anaitwa Malaya
Hapo kazi kwako kuelewa
Ndio hivyo mkuu kila sehemu INA majina yake ila bidhaa ni ile ileYaani hapo ni kama mpangilio wa hela anayopata kuanzia juu hadi chini kabisa
Angalia sura yake,imagine asingekuwa na chura!Kungekuwa na mwanamke hapo?Ila tuacheni utani jamani. Msambwanda unampa mwanamke "heshima" sana [emoji16][emoji16]
pisi limeanza kutumika arusha likimaanisha manziPisi maana yake ni kipande.
Hii kauli ilianziaga kwa wahudumu wa mabasi na baadae mtaan,kipind hicho mtu anakuuliza vp leo tunapata wapi pisi akimanisha tunapata wapi mademu...
Huyu anagongeka?View attachment 1633774
Hahahahaaa,nmekusomaPisi maana yake ni kipande.
Hii kauli ilianziaga kwa wahudumu wa mabasi na baadae mtaan,kipind hicho mtu anakuuliza vp leo tunapata wapi pisi akimanisha tunapata wapi mademu...
pisi kali ni kimsemo kitapita kama vingine lakn demu haliwezi poteaNafikiri ni lugha ya mtaani tu kama ilivyokuwa kwa neno demu