Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haikuwa pisi kali?
Inaelekea kila mtu ana maana yake tofauti na mwingine.
😂😂😂😂Kuna sehem nimepita nikasikia kijana anamuita mdada eti "pisi kama pisi"
Basi mzee mie nikaanza kuangaza ili nione hicho kipande ama kipisi alichobeba yule mwali hata sikuona kitu.....🧐🧐
Mwali, hapa naona nimeingilia mlango wa kutokea...👴😂😂😂😂
Aisee....Huyu anagongeka?View attachment 1633774
Hongera.Mimi...Ni pisi kali...Sihitaji outside validation...nikijiangalia najiona PISI KALI...
NAJIPENDA VIBAYA MNO...
Mwenyezi MUNGU kaniumba viZuri Sana[emoji16][emoji16][emoji16]
weka pichaMimi...Ni pisi kali...Sihitaji outside validation...nikijiangalia najiona PISI KALI...
NAJIPENDA VIBAYA MNO...
Mwenyezi MUNGU kaniumba viZuri Sana[emoji16][emoji16][emoji16]
SI nimeandika hapo Siitaji Outside validation?weka picha
Why?Duh! Futa hii post! [emoji2986][emoji2986][emoji2986]
Nothing! Kwavile umeamua kujiita hivyo ukubaliane na wanayoyafanya hao wanaoitwa pisi kali.Why?
Kwani pisi Kali SI msichana mrembo...au Kuna kingine Zaid ya msichana mrembo..Nothing! Kwavile umeamua kujiita hivyo ukubaliane na wanayoyafanya hao wanaoitwa pisi kali.
Labda sijui maana ya Pisi kaliHongera.
Wengine hawataki kuitwa Pisi kali. Eti ni kuwadhalilisha.
Haina haja ya kulumbana, kuitana pisi kali ni umalaya uliochangamka.Kwani pisi Kali SI msichana mrembo...au Kuna kingine Zaid ya msichana mrembo..
Mi navyojua pisi Kali inanasibishwa na urembo....AU WEWE UNAJUAJE?
[emoji16][emoji16][emoji16]... Aisee sikujua kabisaHaina haja ya kulumbana, kuitana pisi kali ni umalaya uliochangamka.
Nambie pisi kali? Mambo vipi?[emoji16][emoji16][emoji16]... Aisee sikujua kabisa
manzi nayo maana yake nini?pisi limeanza kutumika arusha likimaanisha manzi