Pisi kali zilikuwa zinanifilisi

Pisi kali zilikuwa zinanifilisi

Limeisha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tutawaleta weupe watumbuize kwenye beseni la kumtoa nje mtoto udugu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nataka wa Mbagalaa, kuna beseni imefanyika juzi yaan hatariiiii, machura wa mbagalaaa ndo wenyeweeeee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ebu niombee hili pepo la kutamani tamani linitoke 😀😀

Itabidi kwa kweli maana kila limwili unalokutana nalo linakuachia balaa lake

Ulishawahi kuwaza kila unafanya hilo tendo ni kwamba umejiingiza kwenye agano na mikosi, laana, mizimu, mapepo, uchawi ..... kwa kiasi gani!?

Yaani my bro wana mabalaa hao watu,
Kwanza wanakupunguzia umri wa kuishi
 
Itabidi kwa kweli maana kila limwili unalokutana nalo linakuachia balaa lake

Ulishawahi kuwaza kila unafanya hilo tendo ni kwamba umejiingiza kwenye agano na mikosi, laana, mizimu, mapepo, uchawi ..... kwa kiasi gani!?

Yaani my bro wana mabalaa hao watu,
Kwanza wanakupunguzia umri wa kuishi
Ni kweli, nipatie mbinu mbadala
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nataka wa Mbagalaa, kuna beseni imefanyika juzi yaan hatariiiii, machura wa mbagalaaa ndo wenyeweeeee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wee usinambie?? Sema kweli!!!! Bas limeisha hilo nitakuletea kikubwa ujitahidi mtoto atoke na uzito mzuri uache kuswampa mimba itatoka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom