Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Alienda nan?Wanasema kule ni kuzuri, hakuna shida kila kitu kinapatikana; au huwa tunadanganywa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alienda nan?Wanasema kule ni kuzuri, hakuna shida kila kitu kinapatikana; au huwa tunadanganywa?
Hao hao tunao wapelekea michangoAlienda nan?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hao hao tunao wapelekea michango
Ukitangulia wewe mmi nitafwataHao hao tunao wapelekea michango
Ongezaaa sautiii uduguuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo, njia ya kufika huko ndio inatishaUkitangulia wewe mmi nitafwata
Andaeniii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwahiyo utaki kutanguliankak kwa babaTatizo, njia ya kufika huko ndio inatisha
Ata mpokea michango, hayuko tayari kutangulia 😀 😀Kwahiyo utaki kutanguliankak kwa baba
Ahahahah nitakutoa kafara kaka nisamehe tuAta mpokea michango, hayuko tayari kutangulia 😀 😀
Ka-fara ni nini?Ahahahah nitakutoa kafara kaka nisamehe tu
Ahahha utajuaKa-fara ni nini?
Sisi wazee wa maji huwa hazitupati hizoAhahha utajua
nimekumiss
Ahsanteeeeeeeeee!!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nasemajeeeeeeeee mimi ndio kiboko ya CW [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nataka wa Mbagalaa, kuna beseni imefanyika juzi yaan hatariiiii, machura wa mbagalaaa ndo wenyeweeeee.Limeisha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tutawaleta weupe watumbuize kwenye beseni la kumtoa nje mtoto udugu
Ebu niombee hili pepo la kutamani tamani linitoke 😀😀
Ni kweli, nipatie mbinu mbadalaItabidi kwa kweli maana kila limwili unalokutana nalo linakuachia balaa lake
Ulishawahi kuwaza kila unafanya hilo tendo ni kwamba umejiingiza kwenye agano na mikosi, laana, mizimu, mapepo, uchawi ..... kwa kiasi gani!?
Yaani my bro wana mabalaa hao watu,
Kwanza wanakupunguzia umri wa kuishi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nataka wa Mbagalaa, kuna beseni imefanyika juzi yaan hatariiiii, machura wa mbagalaaa ndo wenyeweeeee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Za kutoshaTshirt na jeans zipo?