Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Cute ananipa raha sanaUduguu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Upooo??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cute ananipa raha sanaUduguu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Upooo??
Zipo kwa kichwa, bado kurecord
Pesa = Pisi kali 😅😅View attachment 2672375Kitenzi Kikuu
Dogo kumbe ndo zako, 🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuu taratibuu bas
Hongera sanaTangu nikiwa mdogo
Kumbe waliishia kwenye wallet tu.Leo nimejaribu kukagua nguo zangu zote, karibia robo tatu zimepauka na zimepoteza mng'ao wake; nikawa najiuliza, hivi ni mimi equation x ndio huwa navaa haya mavazi?
Ama kweli, pisi kali zinatufilisi sana; tunajikuta tunahonga sana na kusahau kupendezesha miili yetu.
Nilikuwa najiuliza, kwa nini warembo wengi wanakuwa wana ning'ang'ania ng'ang'ania, mbaya zaidi hawaniletei zawadi za mavazi wala nini, zaidi ya kuniletea staili zao za popo kanyea mbingu n.k; kumbe walikuwa wanaangalia urahisi wa kufungua waleti.
Kwa sasa nimeshtuka, sitaki tena pisi kali, niacheni kwanza nami nivae nguo zinazong'aa, nionekane kijana; mambo ya kuonekana kama mzee mwenye miaka 90, sitaki tena huo ujinga.
Kabisaaa yaan [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] udugu sio shida zako
Subiriii kuitwa ankooo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dogo kumbe ndo zako, [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nasubiri kwa hamu, ccy ulete na kadi ya mwaliko 🤣🤣🤣🤣,Subiriii kuitwa ankooo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa dogo lakeee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dogo acha dharauuu, tunajilipuaa ili tupate pa kushikaaa.Nasubiri kwa hamu, ccy ulete na kadi ya mwaliko [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787],
Naona unamaliza chuo na fursa nje nje [emoji2]
Tena kwa nyie mnaojua style za popo kanyea mbingu....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dogo acha dharauuu, tunajilipuaa ili tupate pa kushikaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wachaaa wee,Tena kwa nyie mnaojua style za popo kanyea mbingu....
Mtapewa vitengo mpaka vya sirini humo. All the best usinisahsu sasa ukitoboa [emoji41][emoji6].
That's my sister 😍😍😍😘😘😘,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wachaaa wee,
Nakusahaujee dogo langu sasa?? Utashangaa unapewa kitengo hata cheti wala miaka ya uzoefu huna.
Sio shida zetuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]That's my sister [emoji7][emoji7][emoji7][emoji8][emoji8][emoji8],
Huna baya [emoji847][emoji847][emoji847]
😆😆😆😉🤗🤗🤗🤗🤗,Sio shida zetuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Popo ananyeaje mbingu? Tema mate chini mbinguni ni mahala patakatifu hapanyewiTena kwa nyie mnaojua style za popo kanyea mbingu....
Mtapewa vitengo mpaka vya sirini humo. All the best usinisahsu sasa ukitoboa [emoji41][emoji6].
Ni style ya ngono mkuu, inajulikana hivyo si matusi mkuuPopo ananyeaje mbingu? Tema mate chini mbinguni ni mahala patakatifu hapanyewi
Mapenzi kwa mwanaume ni liability mfano wa gari la kutembelea na kwa mwanamke ni assetLeo nimejaribu kukagua nguo zangu zote, karibia robo tatu zimepauka na zimepoteza mng'ao wake; nikawa najiuliza, hivi ni mimi equation x ndio huwa navaa haya mavazi?
Ama kweli, pisi kali zinatufilisi sana; tunajikuta tunahonga sana na kusahau kupendezesha miili yetu.
Nilikuwa najiuliza, kwa nini warembo wengi wanakuwa wana ning'ang'ania ng'ang'ania, mbaya zaidi hawaniletei zawadi za mavazi wala nini, zaidi ya kuniletea staili zao za popo kanyea mbingu n.k; kumbe walikuwa wanaangalia urahisi wa kufungua waleti.
Kwa sasa nimeshtuka, sitaki tena pisi kali, niacheni kwanza nami nivae nguo zinazong'aa, nionekane kijana; mambo ya kuonekana kama mzee mwenye miaka 90, sitaki tena huo ujinga.