Pisi kali zilikuwa zinanifilisi

Pisi kali zilikuwa zinanifilisi

Kwa hyo dada angu umemuacha?
Leo nimejaribu kukagua nguo zangu zote, karibia robo tatu zimepauka na zimepoteza mng'ao wake; nikawa najiuliza, hivi ni mimi equation x ndio huwa navaa haya mavazi?

Ama kweli, pisi kali zinatufilisi sana; tunajikuta tunahonga sana na kusahau kupendezesha miili yetu.

Nilikuwa najiuliza, kwa nini warembo wengi wanakuwa wana ning'ang'ania ng'ang'ania, mbaya zaidi hawaniletei zawadi za mavazi wala nini, zaidi ya kuniletea staili zao za popo kanyea mbingu n.k; kumbe walikuwa wanaangalia urahisi wa kufungua waleti.

Kwa sasa nimeshtuka, sitaki tena pisi kali, niacheni kwanza nami nivae nguo zinazong'aa, nionekane kijana; mambo ya kuonekana kama mzee mwenye miaka 90, sitaki tena huo ujinga.​
 
Matatizo ya Afya ya Akili yapo kwenye jamii zetu.
Pitia katika mitandao ya kijamii utashuhudia maajabu
 
Kuishi na mwanamke unapaswa kuzingatia kanuni tofauti tofauti hawa ni viumbe ambao wao huweza kubadilika wakati wwte
 
Mmmh! sema huna hela tu mtaalamu
0216F586-2B8B-4063-99AF-9215E5FAB930.jpeg
Kitenzi Kikuu
 
Punguza ngono zembee bro utauza hadi hizo nyumba mlale njee shauri Yako na ulipambana kinyama hata ukafika hapo sipo ukiwa hata bia huwezi nunua acha matambo , hakuna pisi siku hizi ambazo unaweza uza hata simu ila wewe na umarangu wako umekuja mjini kwa forcing hujaja kwa kutambikia kwanza kwenu.

Tuwe serious nikweli umefulia kisa mademu na sio wengine
 
Wee kweli?!! Ndiomana ngoma inavuma mwezi kisha inapotea mazima [emoji23][emoji23][emoji23]
Wenyewe wanaamini hivyo, wakienda huko mambo yanakaa fresh. Joh kwenye gere aliwachana "...mganga hana mashairi jomba ni bure kupiga ramli..."
 
Back
Top Bottom