Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,582
- 26,053
Mhhh na hio pochi yako ya mawazo.Hawaachiki kirahisi, wanajua kung'ang'ania sana 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhhh na hio pochi yako ya mawazo.Hawaachiki kirahisi, wanajua kung'ang'ania sana 😀
😀 😀 usiwe unakula ugali wa dona usikuPunguza ngono zembee bro utauza hadi hizo nyumba mlale njee shauri Yako na ulipambana kinyama hata ukafika hapo sipo ukiwa hata bia huwezi nunua acha matambo , hakuna pisi siku hizi ambazo unaweza uza hata simu ila wewe na umarangu wako umekuja mjini kwa forcing hujaja kwa kutambikia kwanza kwenu.
Tuwe serious nikweli umefulia kisa mademu na sio wengine
Haya siku moja utanikumbuka😀 😀 usiwe unakula ugali wa dona usiku
Pesa inatawala duniaView attachment 2672375Kitenzi Kikuu
Toka lini hiyo?Shooo ya kibabe 😀 😀
ha ha ha kesho wapiHaya siku moja utanikumbuka
Wenyewe wanaamini hivyo, wakienda huko mambo yanakaa fresh. Joh kwenye gere aliwachana "...mganga hana mashairi jomba ni bure kupiga ramli..."
Tangu nikiwa mdogoToka lini hiyo?
Nini kifanyike ili kumaliza hilo tatizoShida , na kufekisha maisha ,
Aende kufanya nini? Hapo alipo ana hits mpaka za 2050 huko. Labda kuanzia 2050 ndio aanze kwenda hukoYeye Joh haendi uko ngende mpk awachane wenzie?!! [emoji12]
Uduguu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaaa sasa.
Watu wanataka kupendeza na wao, lol
Uduguu
Aende kufanya nini? Hapo alipo ana hits mpaka za 2050 huko. Labda kuanzia 2050 ndio aanze kwenda huko
Uduguu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uduguu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuu taratibuu basUdugu anashinda rotana siku hizi kapata bwana mpya [emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Watamtia mimba ss hiv aanze kunisumbua kumnunulia udongo
Zipo kwa kichwa, bado kurecordMmhmm!! Ebu tupe moja ya 2030 tu baby [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuu taratibuu bas