Pisi kali zilikuwa zinanifilisi

Pisi kali zilikuwa zinanifilisi

Wenzio tupo tunahangaika na kutafta pesa huku tunakula vzr na kulala pazuri we mwenzetu unasumbuka na kitu kilichowashinda hadi mababu zetuu!!
 
Punguza ngono zembee bro utauza hadi hizo nyumba mlale njee shauri Yako na ulipambana kinyama hata ukafika hapo sipo ukiwa hata bia huwezi nunua acha matambo , hakuna pisi siku hizi ambazo unaweza uza hata simu ila wewe na umarangu wako umekuja mjini kwa forcing hujaja kwa kutambikia kwanza kwenu.

Tuwe serious nikweli umefulia kisa mademu na sio wengine
😀 😀 usiwe unakula ugali wa dona usiku
 
Udugu anashinda rotana siku hizi kapata bwana mpya [emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Watamtia mimba ss hiv aanze kunisumbua kumnunulia udongo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuu taratibuu bas
 
Back
Top Bottom