Pisi kali zilikuwa zinanifilisi

Kwa hyo dada angu umemuacha?
 
Matatizo ya Afya ya Akili yapo kwenye jamii zetu.
Pitia katika mitandao ya kijamii utashuhudia maajabu
 
Kuishi na mwanamke unapaswa kuzingatia kanuni tofauti tofauti hawa ni viumbe ambao wao huweza kubadilika wakati wwte
 
Punguza ngono zembee bro utauza hadi hizo nyumba mlale njee shauri Yako na ulipambana kinyama hata ukafika hapo sipo ukiwa hata bia huwezi nunua acha matambo , hakuna pisi siku hizi ambazo unaweza uza hata simu ila wewe na umarangu wako umekuja mjini kwa forcing hujaja kwa kutambikia kwanza kwenu.

Tuwe serious nikweli umefulia kisa mademu na sio wengine
 
Wee kweli?!! Ndiomana ngoma inavuma mwezi kisha inapotea mazima [emoji23][emoji23][emoji23]
Wenyewe wanaamini hivyo, wakienda huko mambo yanakaa fresh. Joh kwenye gere aliwachana "...mganga hana mashairi jomba ni bure kupiga ramli..."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…