Pisi za uswahilini

Inategemea na unavyojiweka.

Pengine wanaogopa kukuingia.
 
Nacheka mbavu cna, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sawadakta, yaan mwanaume hauna hekaheka hapana,tunataka kusikia leo mwajuma akakufata kijiwen sijui aisha mlikuwa nae kwenye shughuli yaana ni heka heka mwanzo meisho[emoji23][emoji23]
Ndo maana ake, [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuwa makini acha watembee na wanaume wanaoendana nao usije kujuta
 
I wonder umesema mtoto wa KISHUA lakini watu wanamind hawakubali kama wewe ni wa kishua wakati hawakujui[emoji23][emoji23]….haya makasiriko yanatokea wapi?? Kwani mtu akiwa wakishua ni dhambi au haiwezekani??
 
Mkuu watoto wa kishua hata JF hawaijui mkuu..

Humu kuna watoto wa kubadilisha meals tu mkuu.

I wonder umesema mtoto wa KISHUA lakini watu wanamind hawakubali kama wewe ni wa kishua wakati hawakujui[emoji23][emoji23]….haya makasiriko yanatokea wapi?? Kwani mtu akiwa wakishua ni dhambi au haiwezekani??
 
Una mda gani hapo kitaa..?
Maana hao huwa wanakulana kimazoea.
 
Sawadakta, yaan mwanaume hauna hekaheka hapana,tunataka kusikia leo mwajuma akakufata kijiwen sijui aisha mlikuwa nae kwenye shughuli yaana ni heka heka mwanzo meisho emoji23][emoji23]
Kwaio unamaanisha wanawake hawataka mapenzi ya dhati??
 
Dogo tafta kaz ya kufanya
 
I wonder umesema mtoto wa KISHUA lakini watu wanamind hawakubali kama wewe ni wa kishua wakati hawakujui[emoji23][emoji23]….haya makasiriko yanatokea wapi?? Kwani mtu akiwa wakishua ni dhambi au haiwezekani??
poa wa wakishua
 
Nyie ni rainbow. Ni wadada tu. Hiyo kazi ya kukuziba tobo binti wa uswazi haitaki[emoji15]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…