Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maandiko yamekaa kibabe, ila kwa mke wa mtu pia marinda yako rehaniMethali 6:26
Mtu hupoteza kipande cha mkate kwa malaya, lakini kwa mke wa mtu mwingine utapoteza uhai wako wote.
😅😅😅 Chimbo gani tena?. Mimi sina chama chochote, na sio mwenyekiti 😅😅Tena we tulia
Kuna chimbo lenu nakuonaga we mwenyekiti wao
Majanaa yakataa ndoa yapo hatarini sana, maana wanasema wao watakuwa wanakula wake za watu 😅😅M
Maandiko yamekaa kibabe, ila kwa mke wa mtu pia marinda yako rehani
Hajalala jana 😅😅😅Mtetezi wako anakesha popo😀
Acha umalaya kamata mama moja uifanye main chick utulie zako. Kula mbususu hadi usaze. Kupoteza elf 10 kwa pisi yako sio hasara kama kuipoteza laki kwa malaya tofautiNajiona nikiteketea🥲
Big booty fan tulia 🤣😅😅😅 Chimbo gani tena?. Mimi sina chama chochote, na sio mwenyekiti 😅😅
Mfundeni huyo chaliiAcha umalaya kamata mama moja uifanye main chick utulie zako. Kula mbususu hadi usaze. Kupoteza elf 10 kwa pisi yako sio hasara kama kuipoteza laki kwa malaya tofauti
😂😂 si umtaje tu jinaNa ndicho kinamtesa huyo daktari wa meno Santos06
Chalii ni SoroMfundeni huyo chalii
Na wewe unateswa na pisi? 😂😂😂 si umtaje tu jina
nooooo mdogo ake john sinNa wewe unateswa na pisi? 😂
Bora kufa juu ya mbususj kuliko kusepa kwa kipindupi du au malariaUhuni utawaua
Mimi ni church boy. Utakuwa unamzungumzia mzabzab au Behaviourist , hao ndio karibu na mwenyekiti 😅😅😅Big booty fan tulia 🤣
Siwezi kuwa nimechanganya ID mie
Ni wewe mwenyekiti wao kwa uzi wenu ule
Umeona ehh hilo Andiko lina makali sana ,ndiyo ujue Mungu hataki mtu acheze na ndoa anataka iheshimiweM
Maandiko yamekaa kibabe, ila kwa mke wa mtu pia marinda yako rehani
🤣kupangua baadhi ya mizinga kama haina tija