National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Hao ni watu, mie na wewe ndio wanadamu 🤣🤣🤣🤣.. nakupitia mwanadamu twende tukakusanye kondoo waliopoteaHawa wanadamu nakuachia upambane nao mwanadamu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao ni watu, mie na wewe ndio wanadamu 🤣🤣🤣🤣.. nakupitia mwanadamu twende tukakusanye kondoo waliopoteaHawa wanadamu nakuachia upambane nao mwanadamu.
😂😂😂😂Hao ni watu, mie na wewe ndio wanadamu 🤣🤣🤣🤣.. nakupitia mwanadamu twende tukakusanye kondoo waliopotea
Nina kondoo wengine ambao hawamo kwenye kundi hili hapa. Hao nao napaswa kuwaongoza. Kwani wataisikia sauti yangu. Baadaye kutakuwa na kundi moja na mchungaji mmoja.😂😂😂😂
Hawa kondoo ni balaa tupu.
Kwa hiyo unamiliki pisi siyoYaani wakianza kuomba hela, wanaomba wote kwa mara moja😀 utadhani ni wameambizana na hawajuani. Hapa nina mizinga kama mitano, sijui nianze na upi niache upi.
Nimegundua ukiendekeza hizi mambo za kuhonga hamna hatua ya maisha utapiga, bora nyeto😬.
Hivi wewe si ndio ulikuwa na urafiki na @MzabiZab mnashindana kuzagamua au sio wewe ?Nina kondoo wengine ambao hawamo kwenye kundi hili hapa. Hao nao napaswa kuwaongoza. Kwani wataisikia sauti yangu. Baadaye kutakuwa na kundi moja na mchungaji mmoja.
Mwanadamu.. huu ndio andiko la leo tutapo enda kuhubiri na kuokoa nafsi za watu waliopotea
Mie nimeokoka na kuwa kiumbe kipya katika Yesu Kristo.. Nimeachana na mambo ya kuipenda dunia hii.. maana neno linasema dunia na vitu vyake vinapita, ila mapenzi ya Mungu hudumu milele. Kwaiyo mie sipo tena na hayo mambo, nawaombea hata wenzangu neema ya wokovu na kuwawezesha iwashukie waachana na tamaa na ubatili wa dunia, maana bila kuwezeshwa na Mungu hatuwezi neno lolote 😊Hivi wewe si ndio ulikuwa na urafiki na @MzabiZab mnashindana kuzagamua au sio wewe ?
Sawa japo it too late to live with God fearing ,Mie nimeokoka na kuwa kiumbe kipya katika Yesu Kristo.. Nimeachana na mambo ya kuipenda dunia hii.. maana neno linasema dunia na vitu vyake vinapita, ila mapenzi ya Mungu hudumu milele. Kwaiyo mie sipo tena na hayo mambo, nawaombea hata wenzangu neema ya wokovu na kuwawezesha iwashukie waachana na tamaa na ubatili wa dunia, maana bila kuwezeshwa na Mungu hatuwezi neno lolote 😊
Endelea kujaza log book ya mademu, wenzako wanapata kidogo wanatafuta viwanja Kerege bagamoyo. Harafu ukizeeka uanze kulaumu watoto wako eti hawakujali wanamjali mama yao tu.Yaani wakianza kuomba hela, wanaomba wote kwa mara moja😀 utadhani ni wameambizana na hawajuani. Hapa nina mizinga kama mitano, sijui nianze na upi niache upi.
Nimegundua ukiendekeza hizi mambo za kuhonga hamna hatua ya maisha utapiga, bora nyeto😬.
Yaani ukimsemesha tu anajua tayari kapata mteja.Tasfri ya ngono kwao ni biashara
Tupatie mbinu kuepuka uongo wenuUhuni utawaua
Mungu hafungwi na mda wa dunia hii.. so kwa Mungu hakuna kuwahi wala kuchelewa.. Yesu aliwapa watu kazi shambani, ila alie anza na alie kuja mwisho wote aliwapa ujira sawaSawa japo it too late to live with God fearing ,
Binafsi sijawahi toka na demu wa kitaa chochote nilichowahi kuishi. Naonaga ganzi. 😅😅Ukiloweka mtaa mzima unanyea kambi
😀😀😀Hawa Wana fungu lao boss huwezi kua serious na maisha mda woteEndelea kujaza log book ya mademu, wenzako wanapata kidogo wanatafuta viwanja Kerege bagamoyo. Harafu ukizeeka uanze kulaumu watoto wako eti hawakujali wanamjali mama yao tu.
😅
Umechafua tabia njema na utaganikiwa.Binafsi pesa yangu Bora nitumie yote peke yangu kuliko kumpa Mwanamke tofauti na Mama Mzazi yaani nionge pesa kisa uchi labda Kama sio Mimi
Namshukuru Mungu Sana kaniumba tofauti yaani Mimi ujinga Sina. Kwanza nikiangalia mtaani watu wanavyoteseka eti nimpe Mwanamke pesa aisee Bora niitwe majina yote bahili , mchoyo nk kuliko kumpa pesa Malaya au demu wangu
Angalau wewe unawapa fungu mwingine anazama nazo zote😅😅😀😀😀Hawa Wana fungu lao boss huwezi kua serious na maisha mda wote