Pisi zitaniua

Pisi zitaniua

Binafsi pesa yangu Bora nitumie yote peke yangu kuliko kumpa Mwanamke tofauti na Mama Mzazi yaani nionge pesa kisa uchi labda Kama sio Mimi
Namshukuru Mungu Sana kaniumba tofauti yaani Mimi ujinga Sina. Kwanza nikiangalia mtaani watu wanavyoteseka eti nimpe Mwanamke pesa aisee Bora niitwe majina yote bahili , mchoyo nk kuliko kumpa pesa Malaya au demu wangu
 
😂😂😂😂
Hawa kondoo ni balaa tupu.
Nina kondoo wengine ambao hawamo kwenye kundi hili hapa. Hao nao napaswa kuwaongoza. Kwani wataisikia sauti yangu. Baadaye kutakuwa na kundi moja na mchungaji mmoja.

Mwanadamu.. huu ndio andiko la leo tutapo enda kuhubiri na kuokoa nafsi za watu waliopotea
 
Yaani wakianza kuomba hela, wanaomba wote kwa mara moja😀 utadhani ni wameambizana na hawajuani. Hapa nina mizinga kama mitano, sijui nianze na upi niache upi.

Nimegundua ukiendekeza hizi mambo za kuhonga hamna hatua ya maisha utapiga, bora nyeto😬.
Kwa hiyo unamiliki pisi siyo

Hongera kwa uwekezajj
 
Nina kondoo wengine ambao hawamo kwenye kundi hili hapa. Hao nao napaswa kuwaongoza. Kwani wataisikia sauti yangu. Baadaye kutakuwa na kundi moja na mchungaji mmoja.

Mwanadamu.. huu ndio andiko la leo tutapo enda kuhubiri na kuokoa nafsi za watu waliopotea
Hivi wewe si ndio ulikuwa na urafiki na @MzabiZab mnashindana kuzagamua au sio wewe ?
 
Hivi wewe si ndio ulikuwa na urafiki na @MzabiZab mnashindana kuzagamua au sio wewe ?
Mie nimeokoka na kuwa kiumbe kipya katika Yesu Kristo.. Nimeachana na mambo ya kuipenda dunia hii.. maana neno linasema dunia na vitu vyake vinapita, ila mapenzi ya Mungu hudumu milele. Kwaiyo mie sipo tena na hayo mambo, nawaombea hata wenzangu neema ya wokovu na kuwawezesha iwashukie waachana na tamaa na ubatili wa dunia, maana bila kuwezeshwa na Mungu hatuwezi neno lolote 😊
 
Mie nimeokoka na kuwa kiumbe kipya katika Yesu Kristo.. Nimeachana na mambo ya kuipenda dunia hii.. maana neno linasema dunia na vitu vyake vinapita, ila mapenzi ya Mungu hudumu milele. Kwaiyo mie sipo tena na hayo mambo, nawaombea hata wenzangu neema ya wokovu na kuwawezesha iwashukie waachana na tamaa na ubatili wa dunia, maana bila kuwezeshwa na Mungu hatuwezi neno lolote 😊
Sawa japo it too late to live with God fearing ,

Ubatili mnabidi kuukataa kwa nguvu zote u can't reap anything.
 
Yaani wakianza kuomba hela, wanaomba wote kwa mara moja😀 utadhani ni wameambizana na hawajuani. Hapa nina mizinga kama mitano, sijui nianze na upi niache upi.

Nimegundua ukiendekeza hizi mambo za kuhonga hamna hatua ya maisha utapiga, bora nyeto😬.
Endelea kujaza log book ya mademu, wenzako wanapata kidogo wanatafuta viwanja Kerege bagamoyo. Harafu ukizeeka uanze kulaumu watoto wako eti hawakujali wanamjali mama yao tu.

😅
 
Endelea kujaza log book ya mademu, wenzako wanapata kidogo wanatafuta viwanja Kerege bagamoyo. Harafu ukizeeka uanze kulaumu watoto wako eti hawakujali wanamjali mama yao tu.

😅
😀😀😀Hawa Wana fungu lao boss huwezi kua serious na maisha mda wote
 
Binafsi pesa yangu Bora nitumie yote peke yangu kuliko kumpa Mwanamke tofauti na Mama Mzazi yaani nionge pesa kisa uchi labda Kama sio Mimi
Namshukuru Mungu Sana kaniumba tofauti yaani Mimi ujinga Sina. Kwanza nikiangalia mtaani watu wanavyoteseka eti nimpe Mwanamke pesa aisee Bora niitwe majina yote bahili , mchoyo nk kuliko kumpa pesa Malaya au demu wangu
Umechafua tabia njema na utaganikiwa.

90% ya vijana wa Tz hawafanikiwi sio kwa sababu hawana fursa bali hata fursa ndogo wanayopata inaishia kwa wanawake.

Kuna siku nilikutana na vinana tukawa tunakunywa Madafu mmoja wa vijana pale akapigiwa simu na demu wake anataka elfu 30.

Basi tuliongea mengi. Mwenzake akamuuliza mzee kwenye hii bishaera yako kwa siku unapata faida bei gani akasema anapata kati ya elfu 5 hadi 10 kwa siku.

Sasa kijana mwenzie akamuuluza sasa ukitoa elfu 30 huoni kama umetoa faida ya wiki nzima??

Basi nikadakia nijamwambia na hapo huyo ni demu mmoja kuna wengine wana wawili watatu na wanaomba elfu 2 hadi elfu 5. Unaweza kuziona ni pesa ndogo ndogo lakini jitazame hiyo elfu 5 kwako wewe unaipataje? Ni rahisi kuipata? Kama faida ni buku 5. Ukiwa na mademu watatu wanakuomba kila siku elfu 2 hutokaa utoboe kwenye maisha yako utaishia kuilaum serikali na tozo
 
Binafsi sijawahi toka na demu wa kitaa chochote nilichowahi kuishi. Naonaga ganzi. 😅😅
Kuna vitu sio vya kufanya kama kudate na boss wako kazini au kupiga mpangaji mwenzio either au kupiga pisi ya kitaa
 
Back
Top Bottom