Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Mzee wa NovidaUsipokaza nyapu zinaweza kukufilisi. Hazina huruma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee wa NovidaUsipokaza nyapu zinaweza kukufilisi. Hazina huruma
Hahaha hongera mkuu....sema kama umemgonga si umzingie like unamwambia uchumi wako umeyumba so unampa nusu pesa uliyomzoesha.Ndio ila yule ni chuma ulete, ndio KE ambae nikiwa nae kesho yake lazima kichwa iume kwa hesabu ya fedha.
Na leo Bamako tunashinda. Naandika kwa experience kaka. Mwaka jana nimekula nyapu za kila aina. Ninatoa pisi Mwanza inakuja Dom hapo laki 3 imekata. Hapa naandika kuna text imeingia naambiwa "mambo hubby" kinachofata ni mzinga.😂😂 Experience kutoka Kwa shabiki wa Simba anyway Jana tumeshinda
Sasa unaacha nyapu ili ufanyejeNa leo Bamako tunashinda. Naandika kwa experience kaka. Mwaka jana nimekula nyapu za kila aina. Ninatoa pisi Mwanza inakuja Dom hapo laki 3 imekata. Hapa naandika kuna text imeingia naambia "mambo hubby" kinachofata ni mzinga.
K zinafilisi, naacha k
bado hajajua mpaka sasa maana bestie ni msiri....ila kila anachomsimulia bestie nakuja ambiwa vyote hahahaha.....bestie hataki main chick apewe hata vocha[emoji1787] Hahaha like nobodyz business, mainchick na beste ni maadui sasa
Mkuu kuna hatari but ni pisi kwakweli sijawahi miliki pisi na bestie yake kali hivi.....Mwamba huyu apa katika kupambania kombe
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Real definition ya wanawake hawapendani but ulifanya great move. Kuna wanawake wanatupendaga sema wanashindwa express feelings cause we taken.bado hajajua mpaka sasa maana bestie ni msiri....ila kila anachomsimulia bestie nakuja ambiwa vyote hahahaha.....bestie hataki main chick apewe hata vocha
Nabaki na hii ya home. Nikipiga hesabu ya hela zilizotoa kwa malaya milioni inafika. Unajua hiyo ninge top up kwa wife na maza ningeombewa maombi mazito sana ya kufunguliwa kimiujizaSasa unaacha nyapu ili ufanyeje
hilo hana shida ila lijanja sana, ndie alieniharibia penzi langu kisa wivu wa kipuuzi.Hahaha hongera mkuu....sema kama umemgonga si umzingie like unamwambia uchumi wako umeyumba so unampa nusu pesa uliyomzoesha.
Wanawake Wanapendana kwenye sms ushai Ina chats zao🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Real definition ya wanawake hawapendani but ulifanya great move. Kuna wanawake wanatupendaga sema wanashindwa express feelings cause we taken.
Ikitokea fursa kama hio hawalazagi damu.
Kama kali siiachii hata nukta lazma nipite nayo tena mashemej njia huwa sio ndefu 😀 ni kugusa tu mmedondokea hubani.Mkuu kuna hatari but ni pisi kwakweli sijawahi miliki pisi na bestie yake kali hivi.....
😂😂😂Ahaa umeoa nikajua nawe ni kataa ndoa maana sisi ndo tunatoboka vibaya🤣Nabaki na hii ya home. Nikipiga hesabu ya hela zilizotoa kwa malaya milioni inafika. Unajua hiyo ninge top up kwa wife na maza ningeombewa maombi mazito sana ya kufunguliwa kimiujiza
Hahahaha hawapendani kabisa....maana akati mainchick kasafiri kilasiku bestie alikuwa ananiita niende kwake maana wanaish same street....[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Real definition ya wanawake hawapendani but ulifanya great move. Kuna wanawake wanatupendaga sema wanashindwa express feelings cause we taken.
Ikitokea fursa kama hio hawalazagi damu.
Makopa kibao ila sasa mambo kwa ground sio poa🤣🤣🤣Wanawake Wanapendana kwenye sms ushai Ina chats zao
hahahaha nataka nifanye permanent maana hii bestie ni material haswa....yani hata vizinga hadi nijiongeleshe.... Pia anajua maisha sanaKama kali siiachii hata nukta lazma nipite nayo tena mashemej njia huwa sio ndefu [emoji3] ni kugusa tu mmedondokea hubani.