Pisi zitaniua

Pisi zitaniua

😂😂 Experience kutoka Kwa shabiki wa Simba anyway Jana tumeshinda
Na leo Bamako tunashinda. Naandika kwa experience kaka. Mwaka jana nimekula nyapu za kila aina. Ninatoa pisi Mwanza inakuja Dom hapo laki 3 imekata. Hapa naandika kuna text imeingia naambiwa "mambo hubby" kinachofata ni mzinga.
K zinafilisi, naacha k
 
Na leo Bamako tunashinda. Naandika kwa experience kaka. Mwaka jana nimekula nyapu za kila aina. Ninatoa pisi Mwanza inakuja Dom hapo laki 3 imekata. Hapa naandika kuna text imeingia naambia "mambo hubby" kinachofata ni mzinga.
K zinafilisi, naacha k
Sasa unaacha nyapu ili ufanyeje
 
bado hajajua mpaka sasa maana bestie ni msiri....ila kila anachomsimulia bestie nakuja ambiwa vyote hahahaha.....bestie hataki main chick apewe hata vocha
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Real definition ya wanawake hawapendani but ulifanya great move. Kuna wanawake wanatupendaga sema wanashindwa express feelings cause we taken.

Ikitokea fursa kama hio hawalazagi damu.
 
Nabaki na hii ya home. Nikipiga hesabu ya hela zilizotoa kwa malaya milioni inafika. Unajua hiyo ninge top up kwa wife na maza ningeombewa maombi mazito sana ya kufunguliwa kimiujiza
😂😂😂Ahaa umeoa nikajua nawe ni kataa ndoa maana sisi ndo tunatoboka vibaya🤣
 
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Real definition ya wanawake hawapendani but ulifanya great move. Kuna wanawake wanatupendaga sema wanashindwa express feelings cause we taken.

Ikitokea fursa kama hio hawalazagi damu.
Hahahaha hawapendani kabisa....maana akati mainchick kasafiri kilasiku bestie alikuwa ananiita niende kwake maana wanaish same street....

ila ukiwaona picha za pamoja na wanapostiana status huwez dhani hahahahaha.
 
Depal nina swali kidogo naomba unisaidie.

Hivi jamaa kama umekubalia one month alfu akawa anataka mzigo
Like "Mimi hisia juu mambo yangu hayaendi nawewe haujali maumivu yangu ya mwili na roho, naomba game"

Is it okay? Man kwenda direct kuomba utamu Kwa situation hiyo...
 
Back
Top Bottom