Kandambili1
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 475
- 1,318
nijibu swali langu la pale juu basiHahaha yaan
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nijibu swali langu la pale juu basiHahaha yaan
Nitaandikia novelhapana sio kumkomesha....mfano mimi kuonana na girl nikampenda ni ngumu na majukumu yanabana
Sasa katika maumivu yale ndio nikamuona bestie ake.... tena siku yenyewe mainchick alihitaji viatu nikamwambia mama naomba nikakununulie mimi then nije nikuone alikuwa kwa wazazi that day, akasema anaweza asitoke so nimpe bestie friend atanunua mm nisihangaike
Bestie friend nikamtumia and sasa akawa anashangaa y friend ake anafanya maujinga yale .. the day I and bestie met nilienjoy sana, she breath positivity.... Upstairs she is so great na alikuja na makanga na ndala (I like simplicity)
Nikaanza date nae 3 week later baada ya kutotafutana na mainchick but ghafla amerudi tena
Naendelea kutesa kwa kuwa mchoyo sana kuendekeza pussies nikiwekeza juu ya Afya yangu Kiroho na kimwili kwa mlo bora, maombi ya kutosha na mazoezi mengi maana nilishastuka kitambo sana kuwa "no money no honey" nimebakiza miezi michache nigonge miaka mitano bila ya kuchepuka zaidi ya kuwa na PISI KALI wangu tu (Mke) [emoji3]Yaani wakianza kuomba hela, wanaomba wote kwa mara moja[emoji3] utadhani ni wameambizana na hawajuani. Hapa nina mizinga kama mitano, sijui nianze na upi niache upi.
Nimegundua ukiendekeza hizi mambo za kuhonga hamna hatua ya maisha utapiga, bora nyeto[emoji51].
Hahaha so u fall to bestie sbb ya usimple wakehapana sio kumkomesha....mfano mimi kuonana na girl nikampenda ni ngumu na majukumu yanabana
Sasa katika maumivu yale ndio nikamuona bestie ake.... tena siku yenyewe mainchick alihitaji viatu nikamwambia mama naomba nikakununulie mimi then nije nikuone alikuwa kwa wazazi that day, akasema anaweza asitoke so nimpe bestie friend atanunua mm nisihangaike
Bestie friend nikamtumia and sasa akawa anashangaa y friend ake anafanya maujinga yale .. the day I and bestie met nilienjoy sana, she breath positivity.... Upstairs she is so great na alikuja na makanga na ndala (I like simplicity)
Nikaanza date nae 3 week later baada ya kutotafutana na mainchick but ghafla amerudi tena
For Gods sake that shit aint working for me. Itakula kwa derevaee
Si tunaomba msamaha yanaisha 😌
Najibu shemejinijibu swali langu la pale juu basi
only if ikiisha vizuri mkuu...Nitaandikia novel
😀😀😀 acha kujitia ukauzu weweeFor Gods sake that shit aint working for me. Itakula kwa dereva
KWanini main adate na kadereva na Kila kitu tunampaDuh
Sa sikia
Mwambie ukweli.. achague kushuka kuwa kiside babe au asepe.
Ila umetengeneza uadui hapo balaaa
Kwanini mnatongoza marafiki? Hata kama mtu kakosea,, uwa mnakuwa na mlengo wa kumkomesha aliyekosea au?
Ukienda umeenda for Good labda nisijue😀😀😀 acha kujitia ukauzu wewee
PoleYes nilikuwa namhudumia vizuri tu , Moto napeleka vizuri (siwezi msemea yeye) shida kubwa kwamujibu wa Shem inaonekana alianza na the guy mda mrefu....
So I can't blame her, japo nahasira and I loved her sana kwakweli
NyieeK
Wanini main adate na kadereva na Kila kitu tunampa
vibinti vya humu vichawi baada ya kuona mwenzao anapendwa vikaanza kujirahisisha ili kuingilia mawimbi ya watu na jamaa kawagonga kweli na njaaa njaa zaoMkipendwaga mnavimba sana 🤣🤣🤣 yale yale ya yule hoodrat aliopendwa na smart911 akavimba...
Mwishowe ooh siwezi kumtoa kichwani 😀😀😀! Msipende kuvimba mjue mna excess ya 1M kwa idadi. Ukipendwa pendeka, tuliaaa
Kwanini sasa? Na wakati haina makombo 🤣Ukienda umeenda for Good labda nisijue
Mm najua Extrovert huo mda Hana umezingua anakushitFact mkuu....@Depal usinilaumu Sana ...na hiyo yote ni sababu mainchick aliona nampenda... Maana nilikuwa mtulivu kuna kipindi naumwa hoi lakini akiomba hela napiga simu anatumiwa, Hali akinihitaj anytime nipo free, outing na vngne vingi
but sisi introvert tunajaribu, nilijaribu mwaka mzima bila mafanikio ndio bestie akasogea kwangu
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Halafu wanajifanya hawamjui muhusika wakati wali Jam signals!vibinti vya humu vichawi baada ya kuona mwenzao anapendwa vikaanza kujirahisisha ili kuingilia mawimbi ya watu na jamaa kawagonga kweli na njaaa njaa zao
Huwa wanatoa siri zote, mafriji yao huwa hayagandishi hasa ukishamkoleza hana ujanja lazima afunguke yoteAnauza file za siri zote anamkaanga mwenzie 🤣
Fungukeni tujifunzeHuwa wanatoa siri zote, mafriji yao huwa hayagandishi hasa ukishamkoleza hana ujanja lazima afunguke yote
Yes i like simplicity sana pia yupo real sana anaongea unamsoma kuwa hapa kuna mtu...Hahaha so u fall to bestie sbb ya usimple wake
Case yako ni kamzozo
Muhimu hapo main aliporudi usingempokea.
Ila kwakuwa ushafanya kosa,, usiku mwandikie sms ya kumchana ukweli. Af mwache afanye mwenyewe maamuzi