Pita hapa ujifunze maneno ya kiingereza tunayoyatamka kimakosa, usisahau nawe kuweka ya kwako

Acha Undezi wewe ukweli unaujua ila unajifanya Mpumbavu... Hii thread inazungumzia mambo ambayo ki fact yanakosewa na uhalisia wenyewe wewe unaleta upumbavu wako tena kwa kulazimisha unaona aibu ukiukubali ukweli hata TIN inaitwa TIN Number ila TIN inasimama kama ilivyo Taxi Identification Number... Hii Issue ingekuwa ni Mtihani na ubishi na upumbavu wako am sure ungefail lazima. Sioni sababu ya kuendelea na wewe umechangua ujinga so baki nao elimu ni gharama kwako.
 
Mkuu naomba unisaidia ndege aina ya Kanga anaitwaje kwa kizungu,,nshazunguka sana google huko nimekosa asee
 

Wenye akili na uelewa wao wanakuona we ndezi sana. Badala ya kushukuru nakufuta ujinga we unajifanya mjuaji

Ile ni CRDB Bank na sio CRD Bank...

Wanaosema TIN Number ni wajinga kama wewe unaedhani mpaka leo CRDB kuwa hapo "B" inasimama kama initial ya neno Bank

Ficha upumbavu na ufala wako. Fanya homework uende na wakati. Ukishaufuta ujinga uje hapa kunishukuru

Kwani shuleni ulienda kusomea ujinga?
 
Kwa sababu hata ku-google kumekushinda nimekusaidia kidogo tu hapa ili uondoe undezi, ujinga na upumbavu wako wa kutotaka kuelimishwa bure

 
Aaiii!
 
Niliwahi kumsikia MTU akisema


"Watch It" badala ya "Watch out"

Nashauri tu kuwa kama unaona kingereza kwako ni kigumu, ongea tu kiswahili bila kuchanganya na maneno ya kiingereza kati.
 
Hiyo Bank Tokea Inaanzishwa wafanyakazi wake wakitokea NBC nilikuwepo so mjinga kama wewe huna la kuniambia upuuzi wowote ule. CRDB nenda BRELA kawaombe Memorandum yao ya kwanza kabla ya changes zozote zile uisome ukienda pale unalipia nadhani kama elfu tatu tu... watu wa kigoma nyie lazima mtaenda kuhakikisha. ukishaisoma ndio utaelewa nini kirefu cha CRDB hayo mengine ati ni jina tu la Bank upuuzi huo kawaadhithie watoto wako pakee. Wapuuzi kama Nyie ndio waliingia hadi kwenye Dini zile asili zote wakazibadilisha wakaja na zao
Kwa sababu hata ku-google kumekushinda nimekusaidia kidogo tu hapa ili uondoe undezi, ujinga na upumbavu wako wa kutotaka kuelimishwa bure

View attachment 644674 View attachment 644674
Akili yako unaitegemea google inayotoa source sehemu ambazo zimeeditiwa na watu.. Pumbavu mkubwa wewe nimekuelekeza uende sehemu official ya Serikali bado u mpumbavu ndio maana nakuacha uendelee na ujinga wako. pole sana. Mtoa Mada kasema misemo ambayo watu huikosea sana tofauti na uhalisia wake. hiyo CRDB Bank sijui umeanza kuisikia baada ya ubinafsishaji wa Mkapa so nadhani bado una utoto mwingi.
 
Hiyo Bank Tokea Inaanzishwa wafanyakazi wake wakitokea NBC nilikuwepo so mjinga kama wewe huna la kuniambia upuuzi wowote ule. CRDB nenda BRELA kawaombe Memorandum yao ya kwanza kabla ya changes zozote zile uisome ukienda pale unalipia nadhani kama elfu tatu tu... watu wa kigoma nyie lazima mtaenda kuhakikisha. ukishaisoma ndio utaelewa nini kirefu cha CRDB hayo mengine ati ni jina tu la Bank upuuzi huo kawaadhithie watoto wako pakee. Wapuuzi kama Nyie ndio waliingia hadi kwenye Dini zile asili zote wakazibadilisha wakaja na zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…