Pita hapa ujifunze maneno ya kiingereza tunayoyatamka kimakosa, usisahau nawe kuweka ya kwako

Pita hapa ujifunze maneno ya kiingereza tunayoyatamka kimakosa, usisahau nawe kuweka ya kwako

There's no "be" toa nta kwa masikio usikie vizuri
Kwa received pronounciation huwezi kusikia be, sijui english ya wapi unayoongea, English halisi United Kingdom, labda dirty english ndio inatamkwa be tena may be germany na nchi nyingine sio Uk.
 
Wanaoshangaa "CRDB Bank PLC", wangeanza kwanza kuwashangaa "PPF Pensions Fund" na mwenziwe "LAPF Pensions Fund" maana hawa wawili ni wa karibuni zaidi (ingawa wanaenda "kufa").

Inashangaza, zama hizi za "gugo na intaneti" mtu anabishana mpaka mishipa inamsimama.... anashindwa kujiongeza kidogo tu kufanya utafifi kidogo tu kwenye mtandao?

Ni mada nzuri, ingefaa sana kwa walimu kwani wanayo nafasi kubwa ya kuelimisha.
 
Labda masikio yangu yana matatizo!
Pia, Pronunciation is the way in which a word is pronounced.
Nambie kuhusu received pronounciation ambayo ndio english sahihi ile anayo ongea Queen mwenyewe pamoja na watu wake wa England, Scotland, Northern Ireland na Wales.
 
Kumekuwepo na kasumba ya watu kutamka maneno ya kingereza kimakosa ima kwa kujua au pasina kujua, ifuatayo ni orodha ya hayo maneno, waweza ongezea mengine msomaji wangu ikiwa unayo

1.Centmirror/site mirror ikiwa na maana ya side mirror

2.herement/ element(kofia ngumu) ikiwa na maana ya helmet.

3. Flampeni(kifaa cha kukaangia) ikiwa na maana ya frying pan
4.________________________.

5._______________________


Ongeza na we we msomaji wangu ili tujiimarishe Zaidi kimsamiati.

Ahsanteni.
Plate number badala ya number plate
 
Sakaveta badala ya excavator
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Nafahamu kuwa received pronunciation ni standard form kwa kutamka Kiingereza.
Sifahamu kuwa English sahihi ni received pronounciation!
Ndio uelewe kuanzia leo, kwani tukiongelea English Tunamaanisha lugha gani? Najua jibu ni Kiingereza, na kama Tukiongelea kiingereza tunamkusudia nani? Najua jibu ni mwingereza, Sasa mwingereza ni nani? Najua jibu ni mtu kutoka katika nchi za United Kingdom {England, Scotland, Wales na Northern Ireland}. Sasa hao wote wako chini ya Queen Elizabeth. Na Queen mwenyewe ndio anaongea Received Pronunciation.
 
Ndio uelewe kuanzia leo, kwani tukiongelea English Tunamaanisha lugha gani? Najua jibu ni Kiingereza, na kama Tukiongelea kiingereza tunamkusudia nani? Najua jibu ni mwingereza, Sasa mwingereza ni nani? Najua jibu ni mtu kutoka katika nchi za United Kingdom {England, Scotland, Wales na Northern Ireland}. Sasa hao wote wako chini ya Queen Elizabeth. Na Queen mwenyewe ndio anaongea Received Pronunciation.
Huitaji tochi kuelewa ufafanuzi huu,siongezi wala kupunguza neno,IMEJITOSHELEZA
 
Back
Top Bottom