Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,710
- 76,243
Je wewe unaongea au kuandika english sahihi au sio sahihi?Pasi shaka brother,karibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je wewe unaongea au kuandika english sahihi au sio sahihi?Pasi shaka brother,karibu
Makosa katika kuongea au kuandika hayakosekani hasa ukizingatia Kiingereza kwa wengi wetu ni 2nd au 3rd language after mother tongue,nikiri kwamba huwa nakosea sometimes japo najitahidi kuongea na kuandika english sahihi,sijui kama nimekujibu ipasavyo bro?Je wewe unaongea au kuandika english sahihi au sio sahihi?
Sikutegemea kama ungenijibu vizuri hivi.Makosa katika kuongea au kuandika hayakosekani hasa ukizingatia Kiingereza kwa wengi wetu ni 2nd au 3rd language after mother tongue,nikiri kwamba huwa nakosea sometimes japo najitahidi kuongea na kuandika english sahihi,sijui kama nimekujibu ipasavyo bro?
Nakuelewa saaaaana brother,mimi nimesoma linguistic na literature,imenisaidia (hasa lingustic)kuelewa mambo kadha wa kadha ambayo tunakosea sana,na imekuwa ni tabu hakika kuwarekebisha watu kwavile wameshatopea katika makosa hayo kiasi cha kuona na kuamini wako sawasawa.Fuatilia tu mfano mdogo wa neno "pizza",linatamkwa kama lilivyoandikwa lakini usahihi ni "pitsa" kimatamshi,ipo mifano mingi bro.Itoshe tu kusema nimefurahi kukutana na watu ambao tuna interest zinazofanana.Sikutegemea kama ungenijibu vizuri hivi.
Nilipokuwa nasoma nilipata tabu sana na yote hii ni baada ya kuwa naongea RPC. Maana nilikutana na watu wabishi sana kuelewa. Ahsante sana. Ukweli ni kwamba takribani asilimia 75 ya watanzania wanaoongea Kiingereza wanaongea Kiingereza cha Marekani na sio Uingereza. Mfano
Neno rangi kwa kiingereza ni COLOUR, lakini wengi wamefundishwa COLOR na linatamkwa KALA, lakini wengi wanatamka KOLO.
Natumai umenielewa.
Ahsante nashukuru sana.Nakuelewa saaaaana brother,mimi nimesoma linguistic na literature,imenisaidia (hasa lingustic)kuelewa mambo kadha wa kadha ambayo tunakosea sana,na imekuwa ni tabu hakika kuwarekebisha watu kwavile wameshatopea katika makosa hayo kiasi cha kuona na kuamini wako sawasawa.Fuatilia tu mfano mdogo wa neno "pizza",linatamkwa kama lilivyoandikwa lakini usahihi ni "pitsa" kimatamshi,ipo mifano mingi bro.Itoshe tu kusema nimefurahi kukutana na watu ambao tuna interest zinazofanana.
Is a Kansaaa."Colapusheni" -corruption
"Fenti Ford" - Front page
Du yu lavu colapusheni?!Is a Kansaaa.
Hahahaaa, human rights for what?
Chama ca CHADEMA badala ya Chama cha DEMA,CRDB Bank => CRD Bank
NMB Bank => NM Bank
Umekosea mzeeChama ca CHADEMA badala ya Chama cha DEMA,
Mimi muhanga namba 1Determine =wengi hutamka 'detamaini' badala ya 'ditamini '
huwa nakwazika sana mtu kutumia hili neno "kudipu" hasa wamama ndo wanapenda sana cjui nani aliwafahamishaga kutamka hivo.
Sio kudipu ni ku-beep
Yu willibi pumping yuwa oili bai graviteshe foses, mahakama maalumu that's why wi koli zemu mafisadi.Du yu lavu colapusheni?!
Aa yu colaputi?!