Pitia CV's za 'Kienyeji' za hawa watu wawili kisha niambie kati yao Mcha Mungu wa kweli ni yupi?

Pitia CV's za 'Kienyeji' za hawa watu wawili kisha niambie kati yao Mcha Mungu wa kweli ni yupi?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
#1. adriz

Anasali kila siku, anatoa Sadaka, anaimba kwaya, ana maisha ya juu (Tajiri) husoma neno Kanisani, ana maringo (majipu), dharau anazimiliki yeye, mpenda majungu, Mfitini tukuka na anaaminika na wasiomjua.

#2. GENTAMIYCINE

Ana mwaka wa 11 sasa hata Mlango wa Kanisa Katolilki haujui, Mzinzi, Muongo, mwingi wa Habari, mpenda Watu, anashiriki Shughuli zote za Kijamii, siyo Mchoyo akiwa nacho, mpenda Haki na hana Unafiki.

Kati ya hawa Wawili ni yupi mbele ya Mwenyezi Mungu Mbinguni ndiyo atajulikana alikuwa Mcha Mungu hasa bila Sisi Wanadamu Kuhukumu kwa Mioyo yetu na Hisia zetu?

adriz Jamaa yako Kalemera Rwigyema Mazimpaka Kadogoo Kisungura kutoka Gisenyi Rwanda anakusalimu.
 
1. adriz
Anasali kila Siku, anatoa Sadaka, anaimba Kwaya, ana Maisha ya Juu (Tajiri ) husoma neno Kanisani, ana maringo (Majipu), dharau anazimiliki yeye, mpenda Majungu, Mfitini tukuka na anaaminika na wasiomjua.

2. GENTAMIYCINE
Ana mwaka wa 11 sasa hata mlango wa Kanisa Katolilki haujui, Mzinzi, Muongo, Masikini Mkomavu, mwingi wa habari, mpenda Watu, anashiriki Shughuli zote za Kijamii, siyo Mchoyo akiwa nacho, mpenda haki na hana Unafiki.

Kati ya hawa Wawili ni yupi mbele ya Mwenyezi Mungu Mbinguni ndiyo atajulikana alikuwa Mcha Mungu hasa bila sisi wanadamu kuhukumu kwa Mioyo yetu na hisia zetu?

adriz Jamaa yako Kalemera Rwigyema Mazimpaka Kadogoo Kisungura kutoka Gisenyi Rwanda anakusalimu.
 
(Luka 6:37-38,41-42)
1 “Usihukumu ili usije ukahukumiwa. 2 Kwa maana jinsi unavyowahukumu wengine, ndivyo utakavyohukumiwa, na kwa kipimo kile upimiacho, ndicho utakachopimiwa.

3 “Mbona unatazama kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako, na wala huoni boriti iliyo ndani ya jicho lako mwenyewe?

4Au unawezaje kumwambia ndugu yako, ‘Acha nitoe kibanzi kwenye jicho lako,’ wakati kuna boriti kwenye jicho lako mwenyewe?

5Ewe mnafiki, ondoa boriti ndani ya jicho lako kwanza, ndipo utaweza kuona dhahiri jinsi ya kuondoa kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako.
 
Dhambi ni mtazamo!
Mungu anatupenda hawezi kutupiga fqyaaa
 
#1. adriz

Anasali kila Siku, anatoa Sadaka, anaimba Kwaya, ana Maisha ya Juu ( Tajiri )husoma Neno Kanisani, ana Maringo ( Majipu ), Dharau anazimiliki Yeye, mpenda Majungu, Mfitini tukuka na anaaminika na wasiomjua...
Hawa wote hawatoingia mbinguni mpaka watubu dhambi zao, wamkiri na kumpokea Kristo Yesu ili awe Bwana na Mwokozi wa maisha yao. Kuingia kanisani kila siku bila kumkiri na kumpokea Kristo Yesu matokeo yake ni kushindwa kushinda dhambi.
 
1. adriz
Anasali kila Siku, anatoa Sadaka, anaimba Kwaya, ana Maisha ya Juu (Tajiri ) husoma neno Kanisani, ana maringo (Majipu), dharau anazimiliki yeye, mpenda Majungu, Mfitini tukuka na anaaminika na wasiomjua...
Hapo ngumu kumeza .
 
Back
Top Bottom