Pitia hapa utathimini kama Mwanamke wako au Mkeo anataka/keshaanza kukusaliti!!

Pitia hapa utathimini kama Mwanamke wako au Mkeo anataka/keshaanza kukusaliti!!

Huwezi penda wanawake wote, ndo maana mimi nimechagua lifestyle ya kuwa na mmoja (Christianity like of relationship), ila naona hii lifestyle itanishinda.

Ujue ukiwa na wanawake wengi unakuwa una options, huna stress, unakuwa unajua akizingua huyu namchukua fulani. Ila Ukristo umebana sana, mke mmoja mpaka kufa, alafu haeleweki, anaficha makucha yake, kuna muda nishawahi kuwa atheist kwasababu hizihizi, baadaye nikajirudi kuwa theist kwasababu ya Physics.

Kwasababu nimechagua hii form of life, nitachunguza mpaka dakika ya mwisho, nisifanye kosa lolote .
umejitetea vizuri,

ila no one has figured out relationships, kusingekua na mifarakano, ila nakuelewa unatafuta ile confirmation bias😂

ni sawa pia
 
umejitetea vizuri,

ila no one has figured out relationships, kusingekua na mifarakano, ila nakuelewa unatafuta ile confirmation bias😂

ni sawa pia
Confirmation bias.🤣🤣🤣🤣......Dah naaply maisha ya trading mpaka huku, siko aggressive ila conservative.

Bila confirmation bias, sipull out kabisa.
 
1👉Je mwanamke wako ameanza kua na mitoko au safari kuliko ilivyokua huko nyuma??.

2👉Je mwanamke wako macho yake na akili yake yote ni Kua karibu na simu yake??

3👉Je kwa Sasa amekua active zaidi kwenye social media hususan IG na FB?

4👉Je anapost post picha za mitego?

5👉Je kwa Sasa hajali hata akuone unanukaribu na mwanamke mwingine?.

6👉Mkeo Kwa Sasa anazungumzia Maisha Mazuri nje ya Ndoa??.

7👉Amekua na Marafiki wengi wengi mtaani?.

8👉Ameanza kua Mkali unapomuuliza kuhusu marafiki zake wakiume?.

9👉Unaona amepata improvement kwenye Maisha yake ? Mfano kazin wamempa promotion?. Kaanza kujidiet Et kupunguza uzito?.

10👉Alikua Mgonv Mgonv ila siku hizi Hana kabisa muda ?.

11👉Anasifia Mabwana au waumenza marafiki zake?.

12👉Fanya kumuuliza kuhusu "Usaliti", muitikio wake ukoje, anakwepa kwepa kulijibu Hilo swali???


Sasa piga hesabu ndogo hapa

Kama unachezea hivi....

0---3 Huyu uwezekano wa kusaliti ni mdogoo.


3---6 Kuna Uwezekano kaanza kufikiria kukusaliti lakini hapa Kuna nafasi bado ipo ya Kumfanya asikusaliti.

6+++++ Keshaanza Kuliwa Ndugu yangu, huna chako, keshaanza kuchezeshewa shooo !!.

Nini Cha kufanya?.

Kabla ya yote faham kua, MWANAMKE ANASALITI PALE TU ANAPOKOSA EMOTIONAL SATISFACTION KUTOKA KWA MWANAUME WAKE.

Sasa ili uweze kumpa Emotional Satisfaction ,lazima upitie nyuzi zangu baadhi nlowah andika jinsi ya kucheza na Mind ya mwanamke, Kumfanya aamini wee ndo Maisha yake, n.k !!.


Pumbavu Kabisa.
 
1👉Je mwanamke wako ameanza kua na mitoko au safari kuliko ilivyokua huko nyuma??.

2👉Je mwanamke wako macho yake na akili yake yote ni Kua karibu na simu yake??

3👉Je kwa Sasa amekua active zaidi kwenye social media hususan IG na FB?

4👉Je anapost post picha za mitego?

5👉Je kwa Sasa hajali hata akuone unanukaribu na mwanamke mwingine?.

6👉Mkeo Kwa Sasa anazungumzia Maisha Mazuri nje ya Ndoa??.

7👉Amekua na Marafiki wengi wengi mtaani?.

8👉Ameanza kua Mkali unapomuuliza kuhusu marafiki zake wakiume?.

9👉Unaona amepata improvement kwenye Maisha yake ? Mfano kazin wamempa promotion?. Kaanza kujidiet Et kupunguza uzito?.

10👉Alikua Mgonv Mgonv ila siku hizi Hana kabisa muda ?.

11👉Anasifia Mabwana au waumenza marafiki zake?.

12👉Fanya kumuuliza kuhusu "Usaliti", muitikio wake ukoje, anakwepa kwepa kulijibu Hilo swali???


Sasa piga hesabu ndogo hapa

Kama unachezea hivi....

0---3 Huyu uwezekano wa kusaliti ni mdogoo.


3---6 Kuna Uwezekano kaanza kufikiria kukusaliti lakini hapa Kuna nafasi bado ipo ya Kumfanya asikusaliti.

6+++++ Keshaanza Kuliwa Ndugu yangu, huna chako, keshaanza kuchezeshewa shooo !!.

Nini Cha kufanya?.

Kabla ya yote faham kua, MWANAMKE ANASALITI PALE TU ANAPOKOSA EMOTIONAL SATISFACTION KUTOKA KWA MWANAUME WAKE.

Sasa ili uweze kumpa Emotional Satisfaction ,lazima upitie nyuzi zangu baadhi nlowah andika jinsi ya kucheza na Mind ya mwanamke, Kumfanya aamini wee ndo Maisha yake, n.k !!.
Kataa ndoa
 
Nilijua nachomoka bila bila kumbe nipo dah!
Hii imeenda [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hizo namba nimerudia kusoma naona unaingia ingia hivi[emoji23]

Hiyo namba 1, si ni jana tu au?[emoji23]
 
Kupoteza mda wako kujipa stress kwa mtu anaetumia hisia badala ya akili ni kupunguza siku zako za kuishi tu
 
1👉Je mwanamke wako ameanza kua na mitoko au safari kuliko ilivyokua huko nyuma??.

2👉Je mwanamke wako macho yake na akili yake yote ni Kua karibu na simu yake??

3👉Je kwa Sasa amekua active zaidi kwenye social media hususan IG na FB?

4👉Je anapost post picha za mitego?

5👉Je kwa Sasa hajali hata akuone unanukaribu na mwanamke mwingine?.

6👉Mkeo Kwa Sasa anazungumzia Maisha Mazuri nje ya Ndoa??.

7👉Amekua na Marafiki wengi wengi mtaani?.

8👉Ameanza kua Mkali unapomuuliza kuhusu marafiki zake wakiume?.

9👉Unaona amepata improvement kwenye Maisha yake ? Mfano kazin wamempa promotion?. Kaanza kujidiet Et kupunguza uzito?.

10👉Alikua Mgonv Mgonv ila siku hizi Hana kabisa muda ?.

11👉Anasifia Mabwana au waumenza marafiki zake?.

12👉Fanya kumuuliza kuhusu "Usaliti", muitikio wake ukoje, anakwepa kwepa kulijibu Hilo swali???


Sasa piga hesabu ndogo hapa

Kama unachezea hivi....

0---3 Huyu uwezekano wa kusaliti ni mdogoo.


3---6 Kuna Uwezekano kaanza kufikiria kukusaliti lakini hapa Kuna nafasi bado ipo ya Kumfanya asikusaliti.

6+++++ Keshaanza Kuliwa Ndugu yangu, huna chako, keshaanza kuchezeshewa shooo !!.

Nini Cha kufanya?.

Kabla ya yote faham kua, MWANAMKE ANASALITI PALE TU ANAPOKOSA EMOTIONAL SATISFACTION KUTOKA KWA MWANAUME WAKE.

Sasa ili uweze kumpa Emotional Satisfaction ,lazima upitie nyuzi zangu baadhi nlowah andika jinsi ya kucheza na Mind ya mwanamke, Kumfanya aamini wee ndo Maisha yake, n.k !!.
Asante mkuu, ila ya nini yote. Kuchunguzana kote huko wakati majukumu ya kuiwezesha familia yananitoa jasho?!
Anyway wako walio tayari na hayo, ila wengine tunaamini wake zetu siyo wasaliti, labda mpaka tuone LIVE!
THANKS BUT NO THANKS. Wacha niishi bila wasiwasi...
 
Huwezi penda wanawake wote, ndo maana mimi nimechagua lifestyle ya kuwa na mmoja (Christianity like of relationship), ila naona hii lifestyle itanishinda. Wanawake wamebadilika nowadays, na tabia haibadiliki.

Ujue ukiwa na wanawake wengi unakuwa una options, huna stress, unakuwa unajua akizingua huyu namchukua fulani. Ila Ukristo umebana sana, mke mmoja mpaka kufa, alafu haeleweki, anaficha makucha yake, kuna muda nishawahi kuwa atheist kwasababu hizihizi, baadaye nikajirudi kuwa theist kwasababu ya Physics.

Kwasababu nimechagua hii form of life, nitachunguza mpaka dakika ya mwisho, nisifanye kosa lolote .
Utachelewa sanaa
 
Sign ya uhakika ni demu ukimwona alikuwa rough ila ghafla akaanza kubadilika eg kuvaa vizuri, kujipulizia perfume n. k ujue tayari wahuni washafanya yao
 
ni kosa sana kumchukulia mwanamke serious ukiwa unaishi na mwanamke kaa ukijua ipo siku atakucheat tu kwahyo lazima ujiandae na dissapointment
 
Mi tangu nimekuwa mkubwa nimejielewa sijawahi kuw serious na Mahusiano huw had nashangaa watu wanaopat hasira wakisalitiwa.

Kwangu mm ukiw na mm yote sawa wenyew wansemag sjui ku care mara eti sipo Romantic,

na wote wakishanichokaga hiyo ndo inakuwaga Hoja ya Kuachana na mimi sasa sjui kosa langu ni lipi kweny haya mambo ya Mahusiano.
 
Back
Top Bottom