Pitia hapa utathimini kama Mwanamke wako au Mkeo anataka/keshaanza kukusaliti!!

umejitetea vizuri,

ila no one has figured out relationships, kusingekua na mifarakano, ila nakuelewa unatafuta ile confirmation biasšŸ˜‚

ni sawa pia
 
umejitetea vizuri,

ila no one has figured out relationships, kusingekua na mifarakano, ila nakuelewa unatafuta ile confirmation biasšŸ˜‚

ni sawa pia
Confirmation bias.🤣🤣🤣🤣......Dah naaply maisha ya trading mpaka huku, siko aggressive ila conservative.

Bila confirmation bias, sipull out kabisa.
 


Pumbavu Kabisa.
 
Kataa ndoa
 
Nilijua nachomoka bila bila kumbe nipo dah!
Hii imeenda [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hizo namba nimerudia kusoma naona unaingia ingia hivi[emoji23]

Hiyo namba 1, si ni jana tu au?[emoji23]
 
Kupoteza mda wako kujipa stress kwa mtu anaetumia hisia badala ya akili ni kupunguza siku zako za kuishi tu
 
Asante mkuu, ila ya nini yote. Kuchunguzana kote huko wakati majukumu ya kuiwezesha familia yananitoa jasho?!
Anyway wako walio tayari na hayo, ila wengine tunaamini wake zetu siyo wasaliti, labda mpaka tuone LIVE!
THANKS BUT NO THANKS. Wacha niishi bila wasiwasi...
 
Utachelewa sanaa
 
Sign ya uhakika ni demu ukimwona alikuwa rough ila ghafla akaanza kubadilika eg kuvaa vizuri, kujipulizia perfume n. k ujue tayari wahuni washafanya yao
 
ni kosa sana kumchukulia mwanamke serious ukiwa unaishi na mwanamke kaa ukijua ipo siku atakucheat tu kwahyo lazima ujiandae na dissapointment
 
Mtakufa kwa pressure nyie watu
 
Mi tangu nimekuwa mkubwa nimejielewa sijawahi kuw serious na Mahusiano huw had nashangaa watu wanaopat hasira wakisalitiwa.

Kwangu mm ukiw na mm yote sawa wenyew wansemag sjui ku care mara eti sipo Romantic,

na wote wakishanichokaga hiyo ndo inakuwaga Hoja ya Kuachana na mimi sasa sjui kosa langu ni lipi kweny haya mambo ya Mahusiano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…