Pitso Matsomane mtu kazi, kocha mpya Simba

Pitso Matsomane mtu kazi, kocha mpya Simba

Kabla ya kufikiria kusajili kocha tujiulize kama bodi iliyopo Ina uwezo wa kuongoza Simba au walikuwa wamejificha kwenye kivuli Cha marehemu Hanspope
 
Simba sports club are in talks with former Al Ahly head coach Pitso Matsomane, hao ndio Simba.

Zoran Mack ameomba mwenyewe ku terminate contract na Simba wamekubali baada ya kuona their discussions with Pitso Matsomane are in good condition.

Welcome Pitso Matsomane
Kwa tabia za Simba na yanga zilivyo,hata huyo atatimuliwa tu
 
Hii haiwezekani,kwanza Simba haina uwezo wa kumlipia,pia kama uwezo upo hawakubali kupata hasara,Pitso kumlipa ni ishu halafu huwa ananunua mchezaji anayemtaka ,sasa gharama hiyo Simba wataweza?
 
Simba sports club are in talks with former Al Ahly head coach Pitso Matsomane, hao ndio Simba.

Zoran Mack ameomba mwenyewe ku terminate contract na Simba wamekubali baada ya kuona their discussions with Pitso Matsomane are in good condition.

Welcome Pitso Matsomane
Mashabiki wa Simba ni mbumbumbu - Aden Rage
 
Mikia Zoran kaona giza Msimbazi
IMG-20220906-WA0023.jpg
 
Matola atafute leseni class A ya caf simba kuisimamia ataweza na njia nyeupe sana. .akomae na shule
 
Simba sports club are in talks with former Al Ahly head coach Pitso Matsomane, hao ndio Simba.

Zoran Mack ameomba mwenyewe ku terminate contract na Simba wamekubali baada ya kuona their discussions with Pitso Matsomane are in good condition.

Welcome Pitso Matsomane
Hata huyu hana timu.
JamiiForums-1526832095_720x569.jpg
 
Hawa jamaa wanapelekwa pelekwa tu kama magari mabovu na viongozi wao!

Hivi wameambiwa kweli sababu ya msingi ya kutimuliwa kwa huyo kocha ndani ya miezi miwili tu!!! Au wenyewe muda huu watakuwa wanashangilia tu kama kawaida yao!!
Kocha alipewa vipengele vigumu kwenye mkataba na kasoma alama za nyakati akajipima akaona hatoshi hivyo alianza mipango ya kutafuta kazi pengine na ameshapata kazi Misri. Kifupi kocha ndiiye kaomba po, na kwa vile kelele zishakuwa nyingi kwa washabiki uongozi ukaamua kumkubalia yaishe.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Unaokoteza huko na kuleta humu
Simba sports club are in talks with former Al Ahly head coach Pitso Matsomane, hao ndio Simba.

Zoran Mack ameomba mwenyewe ku terminate contract na Simba wamekubali baada ya kuona their discussions with Pitso Matsomane are in good condition.

Welcome Pitso Matsomane
 
Team iliyoshindwa kumsajili manzoki ndo wamsajili pitso kweli akili ni nywele
 
Back
Top Bottom